Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Hapawezi kuwa kujiinua mwenyewe, hapana madai <strong>ya</strong> kujisifu kwa uhuru wa zambi kwa<br />
upande wa wale wanaotembea katika kivuli cha msalaba wa Kalvari. Waliona kwamba<br />
ilikuwa ni zambi <strong>ya</strong>o ambayo ilianzisha maumivu makuu <strong>ya</strong>liyovunja moyo wa Mwana wa<br />
Mungu, na wazo hili litaongoza kwa kujinyenyekeza. Wale wanaoishi karibu sana na Yesu<br />
wanatambua wazi zaidi uzaifu na hali <strong>ya</strong> zambi <strong>ya</strong> wanadamu, na tumaini lao moja tu<br />
linakuwa katika tabia nzuri <strong>ya</strong> Mwokozi aliyesulibiwa na kufufuka.<br />
Utakaso sasa unaoendelea mbele kwa sifa katika watu wa dini unaeneza roho <strong>ya</strong> kujiinua<br />
na kutojali kwa sheria <strong>ya</strong> Mungu ambayo inauonyesha kama jambo la kigeni kwa Biblia.<br />
Watetezi wake hufundisha kwamba utakaso ni kazi <strong>ya</strong> dakika moja, ambayo, katika “imani<br />
tu,” wanafikia utakatifu kamili. “Uamini tu,” wanavyosema, “na mibaraka ni <strong>ya</strong>ko.” Hapana<br />
juhudi <strong>ya</strong> zaidi kwa upande wa mwenye kupokea inayopashwa kufanywa. Kwa wakati ule ule<br />
wakakataa mamlaka <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu, kushurutisha kwamba wamewekwa huru kwa<br />
kanuni <strong>ya</strong> kushika amri. Lakini inawezekana kuwa mutakatifu pasipo kuja katika umoja na<br />
kanuni ambazo zinaonyesha tabia <strong>ya</strong> Mungu na mapenzi <strong>ya</strong>ke?<br />
Ushuhuda wa Neno la Mungu unakuwa kinyume cha mafun-disho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> mtego <strong>ya</strong> imani<br />
pasipo matendo. Si imani inayotafuta kibali cha Mungu bila kushika tabia inayohitajiwa kwa<br />
ajili <strong>ya</strong> rehema <strong>ya</strong> kutolewa. Ni kiburi. Tazama Yakobo 2:14-24.<br />
Hebu watu wasijidanganye wenyewe kwamba wanaweza kuwa watakatifu wanapovunja<br />
kwa makusudi mojawapo <strong>ya</strong> matakwa <strong>ya</strong> Mungu. Zambi inayojulikana inan<strong>ya</strong>mazisha<br />
ushuhuda wa sauti <strong>ya</strong> Roho na inatenga nafsi toka kwa Mungu. Ingawa Yoane alidumu kabisa<br />
juu <strong>ya</strong> mapendo, hakusita kufunua tabia <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> kundi linalojidai kuwa takatifu wakati<br />
wanapoishi katika kuvunja sheria <strong>ya</strong> Mungu. “Yeye anayesema; Nimemujua, wala hashiki<br />
amri zake, ni mwongo, wala kweli si ndani <strong>ya</strong>ke. Lakini yeye anayeshika neno lake, katika<br />
huyu mapendo <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>mekamilishwa kweli kweli.” 1 Yoane 2:4,5. Hapa kuna jaribio<br />
<strong>ya</strong> ushuhuda wa kila mtu. Kama watu wanapungua na kuzarau amri za Mungu, kama<br />
“wakivunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kufundisha watu hivyo” (Matayo 5:18,19),<br />
tunaweza kujua kwamba madai <strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>na msingi.<br />
Kusema hana zambi ni ushuhuda kwamba yeye anatangaza ha<strong>ya</strong> anakuwa mbali kwa<br />
utakatifu. Hana wazo la kweli la usafi usiokuwa na mwisho na utakatifu wa Mungu, na uovu<br />
na uba<strong>ya</strong> wa zambi. Zaidi anajitenga mbali kwa Kristo,zaidi anajiona yeye mwenyewe kuwa<br />
mwema.<br />
Utakaso wa Biblia<br />
Utakaso unahusu hali kamili <strong>ya</strong> mtu--roho, nafsi, na mwili. Tazama 1 Watesalonika 5:23.<br />
Wakristo wanaalikwa kutoa miili <strong>ya</strong>o, “iwe zabihu iliyo hai, takatifu, <strong>ya</strong> kupendeza Mungu.”<br />
Waroma 12:1. Kila desturi yo yote inayozoofisha nguvu za mwili ao akili inaondolea mtu<br />
uwezo kwa kazi <strong>ya</strong> Muumba. Wale wanaompenda Mungu kwa moyo wao wote watatafuta<br />
daima kuleta nguvu zote za maisha <strong>ya</strong>o kwa umoja pamoja na sheria zinazoendeleza nguvu<br />
193