You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
badiliko la asili <strong>ya</strong> moyo wala matengenezo <strong>ya</strong> maisha. Hivi mabadiliko <strong>ya</strong> kijuujuu inajaa,<br />
na makutano <strong>ya</strong>naungana na kanisa ambayo hawakuwa wenye kuungama na Kristo.<br />
Utakaso ni Nini?<br />
Maelezo yenye makosa juu <strong>ya</strong> utakaso pia <strong>ya</strong>naonekana kwa kutojali wala kukana kwa<br />
sheria <strong>ya</strong> Mungu. Maelezo ha<strong>ya</strong>, <strong>ya</strong> uwongo katika mafundisho na <strong>ya</strong> hatari katika matokeo<br />
<strong>ya</strong> maisha, kwa kawaida <strong>ya</strong>napata kibali.<br />
Paulo anatangaza, “Maana ha<strong>ya</strong> ni mapenzi <strong>ya</strong> Mungu, hata utakaso wenu.” Biblia<br />
inafundisha wazi wazi utakaso ni nini na namna gani unaweza kufikiwa. Mwokozi aliombea<br />
wanafunzi wake: “Uwatakase kwa kweli; neno lako ni kweli.” Na Paulo anafundisha kwamba<br />
waaminifu wanapashwa “kutakaswa na Roho Mtakatifu.’‘ 1 Watesalonika 4:3; Yoane 17:17;<br />
Waroma 15:16.<br />
Kazi <strong>ya</strong> Roho Mtakatifu ni nini? Yesu akawambia wanafunzi wake: “Lakini wakati<br />
anapokuja yule Roho wa kweli, atawaongoza ninyi katika yote <strong>ya</strong>liyo kweli.” Yoane 16:13.<br />
Na mwandishi wa Zaburi anasema: “Sheria <strong>ya</strong>ko ni <strong>ya</strong> kweli.” Kwa hivi sheria <strong>ya</strong> Mungu ni<br />
“takatifu na <strong>ya</strong> haki na njema,” tabia iliyofanywa kwa utii kwa sheria ile itakuwa takatifu.<br />
Kristo aliye mufano kamili wa tabia <strong>ya</strong> namna ile Anasema: “Nimeshika amri za Baba <strong>ya</strong>ngu.”<br />
“Ninafan<strong>ya</strong> saa zote mambo <strong>ya</strong>nayomupendeza.” Yoane 15:10; 8:29. Wafuasi wa Kristo<br />
wanapaswa kuwa kama yeye--kwa neema <strong>ya</strong> Mungu kufan<strong>ya</strong> tabia katika umoja pamoja na<br />
kanuni za sheria <strong>ya</strong>ke takatifu. Huu ni utakaso wa Biblia.<br />
lla tu Kwa Njia <strong>ya</strong> Imani<br />
Kazi hii inaweza kutimizwa tu kwa njia <strong>ya</strong> imani katika Kristo, kwa uwezo wa kukaa<br />
ndani <strong>ya</strong> Roho <strong>ya</strong> Mungu. Mukristo atajisikia mwenye mivuto <strong>ya</strong> zambi, lakini atashikilia vita<br />
isiyobadilika juu <strong>ya</strong>ke. Hapa ndipo msaada wa Kristo unahitajiwa. Uzaifu wa binadamu<br />
unaambatana na nguvu za kimungu, na imani inapaza sauti: “Asante kwa Mungu anayetupa<br />
sisi ushindi kwa njia <strong>ya</strong> Bwana wetu Yesu Kristo.” 1 Wakorinto 15:57.<br />
Kazi <strong>ya</strong> utakaso ni <strong>ya</strong> kuendelea mbele. Wakati katika toba mwenye zambi anapopata<br />
amani pamoja na Mungu maisha <strong>ya</strong> Mukristo imeanza tu. Sasa anapashwa kuendelea katika<br />
ukamilifu,” kukua “hata kufika kipimo cha kimo cha wa utimilifu wa Kristo.” “Ninakaza<br />
mwendo hata nifikie mwisho wa zawabu <strong>ya</strong> mwito mukubwa wa Mungu katika Kristo Yesu.”<br />
Waebrania 6:1; Waefeso 4:13; Wafilipi 3:14.<br />
Wale wanaozoea maisha <strong>ya</strong> utakaso wa Biblia wataonyesha unyenyekevu. Wanaona<br />
kutostahili kwao wenyewe katika tofauti pamoja na ukamilifu wa Mungu. Nabii Danieli<br />
alikuwa mufano wa utakaso wa kweli. Badala <strong>ya</strong> kujitangaza kuwa safi na mtakatifu, nabii<br />
huyu wa heshima akajitambulisha mwenyewe pamoja na wenye zambi wa kweli wa Israeli<br />
wakati alipokuwa akimlilia Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake. Danieli ; 9:15,18,20; 10:8,11.<br />
192