Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 2. Ubatizo wa Moto<br />
Yesu alifunulia wanafunzi wake maarifa <strong>ya</strong> watu wake tangu wakati ambao alipaswa<br />
kuchukuliwa kutoka kwao, hata kurudi kwake katika uwezo na utukufu. Kuingia ndani sana<br />
<strong>ya</strong> wakati ujao, jicho lake likaona zoruba kali zilipaswa kupiga juu <strong>ya</strong> wafuasi wake kwa<br />
miaka iliyokuwa karibu <strong>ya</strong> mateso. Tazama Matayo 24:9,21,22. Wafuasi wa Kristo<br />
wanapaswa kupitia kwa njia <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong> laumu na mateso ambayo Bwana wao alipitia.<br />
Uadui juu <strong>ya</strong> Mkombozi wa ulimwengu ulipaswa kuonekana juu <strong>ya</strong> wote wanaopaswa<br />
kuamini jina lake.<br />
Upagani ulifahamu kwamba injili ikishinda, hekalu na mazabahu zake <strong>ya</strong>lipaswa<br />
kuondolewa; kwa sababu hii mioto <strong>ya</strong> mateso ikawashwa. Wakristo walin<strong>ya</strong>nganywa mali<br />
zao na kufukuzwa nyumbani mwao. Hesabu kubwa <strong>ya</strong> wenye cheo na watumwa, watajiri na<br />
masikini, wenye elimu na wajinga, waliuawa bila huruma.<br />
Ya kianzia chini <strong>ya</strong> utawala wa Nero, mateso <strong>ya</strong>kaendelea kwa karne nyingi. Wakristo<br />
walitangazwa kwa uongo kuwa ni wao walioleta njaa, tauni, na matetemeko <strong>ya</strong> inchi.<br />
Wachongezi wakasimama ta<strong>ya</strong>ri, kwa ajili <strong>ya</strong> faida tu, kwa kusaliti wasio na kosa kama waasi<br />
na tauni kwa jamii. Hesabu kubwa wakatupwa kwa n<strong>ya</strong>ma wa pori ama kuchomwa wahai<br />
katika viwanja v<strong>ya</strong> michezo (amphitheatres). Wengine wakasulubiwa; wengine wakafunikwa<br />
na ngozi za n<strong>ya</strong>ma wa pori na kusukumwa kwa nguvu katika uwanja (arena) wa kuchezea ili<br />
kupasuliwa kwa waimbwa. Kwa siku kuu za wote makutano mengi sana <strong>ya</strong>likusanyika kwa<br />
kufurahisha macho na kusalimia walioumizwa kwa kifo na kuwachekele<strong>ya</strong> na kushangilia.<br />
Wafuasi wa Kristo walilazimishwa kutafuta maficho katika mahali pa ukiwa na pekee.<br />
Chini <strong>ya</strong> milima inje <strong>ya</strong> muji wa Roma, vyumba virefu vilifunuliwa katika inchi na miamba<br />
kwa maelfu ngambo <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong> kuta za mji. Ndani <strong>ya</strong> makimbilio ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> chini <strong>ya</strong> udongo<br />
wafuasi wa Kristo wakazika wafu wao, na hapo pia walipaswa kukimbilia, walipozaniwa<br />
maovu na kugombezwa, walipata makao. Wengi wakakumbuka maneno <strong>ya</strong> Bwana wao,<br />
kwamba kama wakiteseka kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo, inafaa wafurahi sana. Zawadi <strong>ya</strong>o itakuwa<br />
kubwa mbinguni, kwa maana ndivyo walivyotesa manabii waliokuwa mbele <strong>ya</strong>o. Tazama<br />
Matayo 5:11,12.<br />
Nyimbo za ushindi zikapanda katikati <strong>ya</strong> ndimi za moto zenye kutatarika. Kwa imani<br />
waliona Kristo na malaika wakiwatazama pamoja na usikizi mwingi sana na kutazama<br />
kusimama imara kwao pamoja na kibali. Sauti ikaja kutoka kwa kiti cha enzi cha Mungu:<br />
“Uwe mwaminifu mpaka kufa, nami nitakupa taji <strong>ya</strong> uzima”. Ufunuo 2:10.<br />
Nguvu za Shetani kwa kuharibu kanisa la Kristo kwa mauaji zilikuwa bure. Watumishi<br />
wa Mungu waliuawa, lakini injili iliendelea kutawanyika na wafuasi wake kuongezeka.<br />
Mkristo mmoja akasema: “Tunazidi kuongezeka kwa hesabu namna munavyozidi kutuuwa,<br />
damu <strong>ya</strong> Wakristo ni mbegu”.<br />
12