12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sheria <strong>ya</strong> Mungu haibadilike, ufunuo wa tabia <strong>ya</strong> Muumba wake. Mungu ni mapendo, na<br />

sheria <strong>ya</strong>ke ni mapendo. “Mapendo ni utimilifu wa sheria.” Asema mwandishi wa Zaburi:<br />

“Na sheria <strong>ya</strong>ko ni kweli”; “maana maagizo <strong>ya</strong>ko yote ni haki.” Paulo anasema: “Basi torati<br />

ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na <strong>ya</strong> haki na njema.” Waroma 13:10; Zaburi 119:142,172;<br />

Waroma 7:12. Sheria kama hiyo inapaswa kuwa <strong>ya</strong> kuendelea kama Muumba wake.<br />

Ni kazi <strong>ya</strong> toba na utakaso kwa kupatanisha watu kwa Mungu kwa njia <strong>ya</strong> kuwapatanisha<br />

katika umoja pamoja na kanuni za sheria. Katika mwanzo, mutu alikuwa katika umoja kamili<br />

pamoja na sheria <strong>ya</strong> Mungu. Lakini zambi ikamtenga kwa Muumba wake. Moyo wake<br />

ulikuwa kwa vita juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu. “Kwa sababu nia <strong>ya</strong> mwili ni uadui juu <strong>ya</strong> Mungu,<br />

kwa maana haitii sheria <strong>ya</strong> Mungu, wala haiwezi.” Waroma 8:7. Lakini “Kwa maana Mungu<br />

alivyopenda ulimwengu, hata kutoa Mwana wake wa pekee,” ili mutu aweze kupatanishwa<br />

kwa Mungu, kurudishwa kwa umoja pamoja na Muumba wake. Badiliko hili ni kuzaliwa<br />

kup<strong>ya</strong>, isipokuwa hivyo “hawezi kuona ufalme wa Mungu.” Yoane 3:16,3.<br />

Kukubali Zambi<br />

Hatua <strong>ya</strong> kwanza kwa upatanisho na Mungu ni kukubali zambi. “Zambi ni uasi (wa<br />

sheria).” “Kwa njia <strong>ya</strong> sheria zambi inajulikana.” 1 Yoane 3:4; Waroma 3:20. Ili kuweza<br />

kuona kosa lake, mwenye zambi anapaswa kupima tabia <strong>ya</strong>ke kwa kioo cha Mungu<br />

kinachoonyesha ukamilifu wa tabia <strong>ya</strong> haki na kumwezesha kutambua pungufu ndani <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe.<br />

Sheria inafunulia mtu zambi zake, lakini haitoi dawa. Inatangaza kwamba kifo ni sehemu<br />

<strong>ya</strong> mkosaji. Injili <strong>ya</strong> kristo peke <strong>ya</strong>ke inaweza kumweka huru kwa hukumu ao uchafu wa<br />

zambi. Anapashwa kuzoea kutubu mbele <strong>ya</strong> Mungu, kwa sheria <strong>ya</strong>ke iliyovunjwa, na imani<br />

katika Kristo, kafara <strong>ya</strong> upatanisho wake. Kwa hivyo anapata “ondoleo la zambi zile<br />

zilizopita” (Waroma 3:25) na anakuwa mwana wa Mungu.<br />

Je, sasa anakuwa huru kuvunja sheria <strong>ya</strong> Mungu? Asema Paulo: “Basi, tunafanyiza sheria<br />

kuwa bule kwa njia <strong>ya</strong> imani? Hapana, hata kidogo; lakini tunasimamisha sheria.” “Sisi<br />

tuliokufia zambi, namna gani tutakaa ndani <strong>ya</strong>ke tena?” Yoane anasema: “Kwa maana<br />

kupenda Mungu ni kushika amri zake; na amri zake si nzito.” Katika kuzaliwa kup<strong>ya</strong> moyo<br />

unaletwa katika umoja pamoja na Mungu, katika upatano pamoja na sheria <strong>ya</strong>ke. Wakati<br />

badiliko hili linafanyika ndani <strong>ya</strong> mwenye zambi amepita toka mauti hata katika uzima,<br />

kutoka kwa kosa na uasi hata kwa utii na uaminifu. Maisha <strong>ya</strong> zamani <strong>ya</strong>meisha; maisha<br />

map<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> upatanisho, imani, na mapendo <strong>ya</strong>meanza. Basi “haki <strong>ya</strong> sheria” “vita itimizwa<br />

ndani yetu, tusiotembea kufuata maneno <strong>ya</strong> mwili, lakini kufuata maneno <strong>ya</strong> Roho.” Lugha<br />

<strong>ya</strong> nafsi itakuwa: “Ee ninapenda sana sheria <strong>ya</strong>ko! Ni mawazo <strong>ya</strong>ngu muchana kutwa.”<br />

Waroma 3:31; 6:2; 1 Yoane 5:3; Waroma 8:4; Zaburi 119:97.<br />

Bila sheria, watu hawakubali kweli zambi <strong>ya</strong>o na hawaone haja <strong>ya</strong> kutubu. Hawafahamu<br />

moyoni mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> damu <strong>ya</strong> upatanisho wa Kristo. Tumaini la wokovu limekubaliwa bila<br />

191

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!