12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

watu wa Bwana uamsho wa utawa wa zamani za mababu ambao haujashuhudiwa tangu<br />

n<strong>ya</strong>kati za mitume. Roho <strong>ya</strong> Mungu itamwangiwa. Wengi watajitenga kwa makanisa hayo<br />

ambayo mapendo <strong>ya</strong> dunia hii <strong>ya</strong>liondoa upendo kwa Mungu na Neno lake. Wahubiri wengi<br />

na watu watakubali kwa furaha zile kweli kubwa ambazo zinata<strong>ya</strong>risha watu kwa kuja kwa<br />

Bwana mara <strong>ya</strong> pili.<br />

Adui wa roho anataka kuzuia kazi hii, na kabla <strong>ya</strong> kufika kwa mwenendo wa namna hiyo,<br />

atafan<strong>ya</strong> nguvu kuuzuia kwa njia <strong>ya</strong> kuingiza mwigo. Katika makanisa <strong>ya</strong>le ambayo anaweza<br />

kuleta chini <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong>ke ataifan<strong>ya</strong> kuonekana kwamba baraka <strong>ya</strong> kipekee <strong>ya</strong> Mungu<br />

imemwangwa juu <strong>ya</strong>o. Makutano <strong>ya</strong>tashangilia, “Mungu anatumika kwa ajabu,” wakati ile<br />

kazi ni <strong>ya</strong> roho ingine. Chini <strong>ya</strong>mtindo wa dini, Shetani atatafuta kueneza mvuto wake kwa<br />

ulimwengu wa Wakristo. Hapo kunakuwa mwamsho wa maono, mchanganyiko wa kweli na<br />

uwongo, uliotengenezwa vizuri sana kwa kudangan<strong>ya</strong>.<br />

Lakini katika nuru <strong>ya</strong> Neno la Mungu si vigumu kutambua tabia <strong>ya</strong> kazi hizi. Pahali pote<br />

watu wanapozarau ushuhuda wa Biblia, kugeukia mbali na hizi zilizo zaili zinazo jaribu roho<br />

ambazo zinaomba kujikana mwenyewe na kukana dunia, hapo tunaweza kuwa na hakika<br />

kwamba baraka <strong>ya</strong> Mungu haikutolewa. Na kwa amri, “Mutawatambua kwa njia <strong>ya</strong> matunda<br />

<strong>ya</strong>o,” (Matayo 7:16), ni ushuhuda kwamba kazi hizi si kazi <strong>ya</strong> Roho <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Ukweli <strong>ya</strong> Neno la Mungu inakuwa ngao juu <strong>ya</strong> madanganyo <strong>ya</strong> Shetani. Kuzarau kweli<br />

hizi kulifungua mlango kwa maovu <strong>ya</strong>nayoenea sasa katika ulimwengu. Umuhimu wa sheria<br />

<strong>ya</strong> Mungu umesahauliwa kwa eneo kubwa sana. Wazo mba<strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

limeongoza kwa makosa katika toba na utakaso, kwa kushusha kipimo cha utawa. Hapa ndipo<br />

panapopatikana siri <strong>ya</strong> ukosefu wa Roho <strong>ya</strong> Mungu katika maamsho <strong>ya</strong> wakati wetu.<br />

Sheria <strong>ya</strong> Uhuru<br />

Waalimu wengi wa dini wanatetea kwamba Kristo kwa mauti <strong>ya</strong>ke aliondoa sheria.<br />

Wengine wanaionyesha kama kongwa mzito wa kuhuzunisha, na kwa kinyume “utumwa” wa<br />

sheria walioonyesha “uhuru” wa kufurahia chini <strong>ya</strong> habari njema.<br />

Lakini si vile manabii na mitume walivyofan<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong> sheria takatifu <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Akasema Dawidi: “Na nitatembea huru kwa kuwa nimetafuta maagizo <strong>ya</strong>ko.” Zaburi 119:45.<br />

Mtume Yakobo anatumia Amri kumi kama “sheria .kamili, <strong>ya</strong> uhuru.” Yakobo 1:25.<br />

Mfumbuzi anatangaza baraka juu <strong>ya</strong>o “wanaoshika amri zake (wanaofua nguo zao), wawe na<br />

haki <strong>ya</strong> kula mti wa uzima, na kuingia katika mji kwa milango <strong>ya</strong>ke.” Ufunuo 22:14.<br />

Kama ingewezekana kwa sheria kugeuzwa ao kuwekwa pembeni, Kristo hangehitaji kufa<br />

kwa kuokoa mtu kwa azabu <strong>ya</strong> zambi. Mwana wa Mungu alikuja “kutukuza sheria na<br />

kuifanyiza kuwa na heshima.” Isa<strong>ya</strong> 42:21. Akasema: “Musizanie nilikuja kuharibu torati”;<br />

“hata mbingu na inchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja haitaondoka, hata yote<br />

<strong>ya</strong>timie.” Juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe akasema: “Ninafurahi kufan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ko, Ee Mungu<br />

wangu; Ndiyo, sheria <strong>ya</strong>ko ni moyoni mwangu.” Matayo 5:17,18; Zaburi 40:8.<br />

190

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!