Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 27. Mabadiliko <strong>ya</strong> Kweli<br />
Popote Neno la Mungu lilipohubiriwa kwa uaminifu, matokeo <strong>ya</strong>liyofuata ni <strong>ya</strong><br />
kushuhudia asili <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kimungu. Wenye zambi walijisikia zamiri zao kuamka. Hakikisho<br />
la kosa likashikilia nia zao na mioyo <strong>ya</strong>o. Walikuwa na utambuzi wa haki <strong>ya</strong> Mungu, na<br />
wakapaza sauti: “Nani atakayeniokoa na mwili huu wa kufa?” Waroma 7:24. Kama vile<br />
msalaba ulivyofunuliwa, waliona kwamba hakuna kitu kingine bali tabia nzuri tu za Kristo<br />
ziliweza kupatanisha kwa ajili <strong>ya</strong> makosa <strong>ya</strong>o. Kwa damu <strong>ya</strong> Yesu walikuwa na “ondoleo la<br />
zambi zile zilizopita.” Waruma 3:25.<br />
Roho hizi zikaamini na zikabatizwa na wakasimama kwa kutembea katika up<strong>ya</strong> wa uzima,<br />
kwa imani <strong>ya</strong> Mwana wa Mungu kwa kufuata hatua zake, kuonyesha tabia <strong>ya</strong>ke, na kujitakasa<br />
wao wenyewe kama yeye ni mutakatifu. Vitu walivyokuwa wakichukia sasa wakavipenda, na<br />
vile walivyokuwa wakipenda wakavichukia. Mwenye kiburi akawa mpole, mtu asiyefaa na<br />
wa kujivuna akawa wa maana na mnyenyekevu. Mlevi akawa mwenye busara, mpotovu<br />
akawa mtakatifu. Wakristo hawakutafuta “kujipamba kwa kusuka nywele, na kuvaa vitu v<strong>ya</strong><br />
zahabu, ao kuvaa mavazi; lakini ... katika mapambo <strong>ya</strong>siyoharibika, ndiyo roho <strong>ya</strong> upole na<br />
utulivu iliyo <strong>ya</strong> damani kubwa mbele <strong>ya</strong> Mungu.” 1 Petro 3:3,4.<br />
Maamsho <strong>ya</strong>liamshwa na miito <strong>ya</strong> upole kwa mwenye zambi. Matunda <strong>ya</strong>lionekana katika<br />
roho zilizojitenga si kwa kujikana mwenyewe bali wakafurahi kwamba walihesabiwa<br />
kustahili kuteswa kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo. Watu wakaona badiliko katika wale waliotangaza jina<br />
la Yesu. Ni vile mambo <strong>ya</strong>livyokuwa katika miaka <strong>ya</strong> kwanza iliofuata n<strong>ya</strong>kati za uamsho wa<br />
dini.<br />
Lakini maamsho mengi <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati za kisasa <strong>ya</strong>naonyesha tofauti kubwa. Ni kweli kwamba<br />
wengi wanatangaza toba, na wengi wanaingia ndani <strong>ya</strong> makanisa. Hata hivyo matokeo si <strong>ya</strong><br />
namna kama <strong>ya</strong> kushuhudia imani kwamba hapo kumekuwa na maendeleo <strong>ya</strong> kulingana <strong>ya</strong><br />
maisha <strong>ya</strong> kiroho <strong>ya</strong> kweli. Nuru ambayo inawaka kwa muda ikafa kwa upesi.<br />
Maamsho <strong>ya</strong> watu wengi mara nyingi <strong>ya</strong>naamsha sikitiko, hupendeza watu kwa kitu<br />
kinachokuwa kip<strong>ya</strong> na cha kwanza. Kwa hivyo wale waliogeuka wanakuwa na haja kidogo<br />
kusikiliza kweli <strong>ya</strong> Biblia. Isipokuwa hudumu <strong>ya</strong> kanisa inakuwa na kitu cha tabia <strong>ya</strong> ajabu,<br />
kama si vile, haina mvuto kwao.<br />
Kwa kila roho iliyogeuka kweli uhusiano kwa Mungu na kwa vitu v<strong>ya</strong> milele utakuwa ni<br />
kitu kikubwa chakuzungumuziwa katika maisha. Ni pahali gani katika makanisa <strong>ya</strong> watu<br />
wengi <strong>ya</strong> leo kunapatikana roho <strong>ya</strong> kujitoa kwa Mungu? Waliogeuka hawaache kiburi na<br />
mapendo <strong>ya</strong> dunia. Hawakubali tena kuikana nafsi na kufuata Yesu mpole na mnyenyekevu<br />
kuliko mbele <strong>ya</strong> toba <strong>ya</strong>o. Utawa karibu kutoka kwa wengi wa makanisa.<br />
Ijapo imani ilipunguka mahali pengi sana, kunakuwa wafuasi wa kweli wa Kristo katika<br />
makanisa ha<strong>ya</strong>. Kabla <strong>ya</strong> kufika kwa hukumu za Mungu za mwisho, kutakuwa katikati <strong>ya</strong><br />
189