Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti kwa umoja katika kazi munamo mwaka 1844 wangepokea ujumbe wa malaika wa tatu na kuutangaza katika uwezo wa Roho Mtakatifu, miaka iliyopita ulimwengu ungekuwa umekwisha kuonywa na Kristo angekuwa amekwisha kuja kwa ajili ya ukombozi wa watu wake. Si Mapenzi ya Mungu Haikuwa mapenzi ya Mungu kwamba Israeli azunguke zunguke miaka makumi ine jangwani; alitamani kuwaongoza mara moja kwa Kanana na kuwaimarisha kule, watu watakatifu na wafuraha. Lakini “hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.” Waebrania 3:19. Ni namna ileile, haikuwa mapenzi ya Mungu kwamba kuja kwa Kristo kupate kuchelewa wakati mrefu na watu wake wadumu miaka mingi sana duniani hii ya zambi na huzuni. Kutoamini kukawatenga kwa Mungu. Katika rehema kwa ulimwengu, Yesu akakawisha kuja kwake, ili wenye zambi wasikie onyo na kupata kimbilio kabla ya hasira ya Mungu kumiminika. Sasa kama katika vizazi vya kwanza, kutangazwa kwa ukweli kutaamsha upinzani. Wengi kwa kijicho wanashambulia tabia na makusudi ya wale wanaosimama katika kutetea ukweli usiopendwa na wengi. Elia alitangazwa kuwa mwenye kuleta taabu katika Israeli. Yeremia msaliti, Paulo mwenye kuchafua hekalu. Tangu siku ile hata leo, wale ambao wangekuwa waaminifu kwa kweli wameshitakiwa kuwa kama wafitini, wajushi, ao wenye kutengana. Kukiri kwa imani kulikofanywa na watakatifu na wafia dini, mifano hiyo ya utakatifu ukamilifu imara, kunatia moyo ndani ya wale wanaoitwa sasa kusimama kama washahidi kwa ajili ya Mungu. Kwa mtumishi wa Mungu kwa wakati huu kunaagizo linalosema: “Paza sauti yako kama baragumu, uhubiri watu wangu kosa lao, na nyumba ya Yakobo zambi zao.” “Nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba ya Israeli; kwa hivi sikia neno kwa kinywa changu, na uwape maonyo toka kwangu.” Isaya 58:1; Ezekieli 33:7. Kizuizi kikubwa kwa kukubali kweli ni kwamba inahusika na taabu na laumu. Hii ni mabishano tu kinyume cha ukweli ambayo wateteaji wake hawakuweza kamwe kupinga. Lakini wafuasi wa kweli wa Kristo hawangojei ukweli kukubaliwa na watu wengi. Wanakubali msalaba, pamoja na Paulo kuhesabu kwamba “Mateso yetu mepesi yaliyo kwa dakika tu, yanatufanyia utukufu wa milele unaouzito mwingi”; pamoja na mmoja wa zamani, “akihesabu ya kuwa kulaumiwa kwa Kristo ni utajiri mwingi kuliko hazina za Misri.” 2 Wakorinto 4:17; Waebrania 11:26. Inatupasa kuchagua haki kwa sababu inakuwa haki, na kuacha matokeo kwa Mungu. Kwa watu wa kanuni, imani na uhodari, dunia inakuwa na deni kwa ajili ya matengenezo yake makubwa. Kwa watu wa namna ile kazi ya matengenezo kwa wakati huu inapashwa kuendelea mbele. 188

Kupinga ya Kiprotestanti Sura 27. Mabadiliko ya Kweli Popote Neno la Mungu lilipohubiriwa kwa uaminifu, matokeo yaliyofuata ni ya kushuhudia asili yake ya kimungu. Wenye zambi walijisikia zamiri zao kuamka. Hakikisho la kosa likashikilia nia zao na mioyo yao. Walikuwa na utambuzi wa haki ya Mungu, na wakapaza sauti: “Nani atakayeniokoa na mwili huu wa kufa?” Waroma 7:24. Kama vile msalaba ulivyofunuliwa, waliona kwamba hakuna kitu kingine bali tabia nzuri tu za Kristo ziliweza kupatanisha kwa ajili ya makosa yao. Kwa damu ya Yesu walikuwa na “ondoleo la zambi zile zilizopita.” Waruma 3:25. Roho hizi zikaamini na zikabatizwa na wakasimama kwa kutembea katika upya wa uzima, kwa imani ya Mwana wa Mungu kwa kufuata hatua zake, kuonyesha tabia yake, na kujitakasa wao wenyewe kama yeye ni mutakatifu. Vitu walivyokuwa wakichukia sasa wakavipenda, na vile walivyokuwa wakipenda wakavichukia. Mwenye kiburi akawa mpole, mtu asiyefaa na wa kujivuna akawa wa maana na mnyenyekevu. Mlevi akawa mwenye busara, mpotovu akawa mtakatifu. Wakristo hawakutafuta “kujipamba kwa kusuka nywele, na kuvaa vitu vya zahabu, ao kuvaa mavazi; lakini ... katika mapambo yasiyoharibika, ndiyo roho ya upole na utulivu iliyo ya damani kubwa mbele ya Mungu.” 1 Petro 3:3,4. Maamsho yaliamshwa na miito ya upole kwa mwenye zambi. Matunda yalionekana katika roho zilizojitenga si kwa kujikana mwenyewe bali wakafurahi kwamba walihesabiwa kustahili kuteswa kwa ajili ya Kristo. Watu wakaona badiliko katika wale waliotangaza jina la Yesu. Ni vile mambo yalivyokuwa katika miaka ya kwanza iliofuata nyakati za uamsho wa dini. Lakini maamsho mengi ya nyakati za kisasa yanaonyesha tofauti kubwa. Ni kweli kwamba wengi wanatangaza toba, na wengi wanaingia ndani ya makanisa. Hata hivyo matokeo si ya namna kama ya kushuhudia imani kwamba hapo kumekuwa na maendeleo ya kulingana ya maisha ya kiroho ya kweli. Nuru ambayo inawaka kwa muda ikafa kwa upesi. Maamsho ya watu wengi mara nyingi yanaamsha sikitiko, hupendeza watu kwa kitu kinachokuwa kipya na cha kwanza. Kwa hivyo wale waliogeuka wanakuwa na haja kidogo kusikiliza kweli ya Biblia. Isipokuwa hudumu ya kanisa inakuwa na kitu cha tabia ya ajabu, kama si vile, haina mvuto kwao. Kwa kila roho iliyogeuka kweli uhusiano kwa Mungu na kwa vitu vya milele utakuwa ni kitu kikubwa chakuzungumuziwa katika maisha. Ni pahali gani katika makanisa ya watu wengi ya leo kunapatikana roho ya kujitoa kwa Mungu? Waliogeuka hawaache kiburi na mapendo ya dunia. Hawakubali tena kuikana nafsi na kufuata Yesu mpole na mnyenyekevu kuliko mbele ya toba yao. Utawa karibu kutoka kwa wengi wa makanisa. Ijapo imani ilipunguka mahali pengi sana, kunakuwa wafuasi wa kweli wa Kristo katika makanisa haya. Kabla ya kufika kwa hukumu za Mungu za mwisho, kutakuwa katikati ya 189

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kwa umoja katika kazi munamo mwaka 1844 wangepokea ujumbe wa malaika wa tatu na<br />

kuutangaza katika uwezo wa Roho Mtakatifu, miaka iliyopita ulimwengu ungekuwa<br />

umekwisha kuonywa na Kristo angekuwa amekwisha kuja kwa ajili <strong>ya</strong> ukombozi wa watu<br />

wake.<br />

Si Mapenzi <strong>ya</strong> Mungu<br />

Haikuwa mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kwamba Israeli azunguke zunguke miaka makumi ine<br />

jangwani; alitamani kuwaongoza mara moja kwa Kanana na kuwaimarisha kule, watu<br />

watakatifu na wafuraha. Lakini “hawakuweza kuingia kwa sababu <strong>ya</strong> kutokuamini kwao.”<br />

Waebrania 3:19. Ni namna ileile, haikuwa mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kwamba kuja kwa Kristo<br />

kupate kuchelewa wakati mrefu na watu wake wadumu miaka mingi sana duniani hii <strong>ya</strong> zambi<br />

na huzuni. Kutoamini kukawatenga kwa Mungu. Katika rehema kwa ulimwengu, Yesu<br />

akakawisha kuja kwake, ili wenye zambi wasikie onyo na kupata kimbilio kabla <strong>ya</strong> hasira <strong>ya</strong><br />

Mungu kumiminika.<br />

Sasa kama katika vizazi v<strong>ya</strong> kwanza, kutangazwa kwa ukweli kutaamsha upinzani. Wengi<br />

kwa kijicho wanashambulia tabia na makusudi <strong>ya</strong> wale wanaosimama katika kutetea ukweli<br />

usiopendwa na wengi. Elia alitangazwa kuwa mwenye kuleta taabu katika Israeli. Yeremia<br />

msaliti, Paulo mwenye kuchafua hekalu. Tangu siku ile hata leo, wale ambao wangekuwa<br />

waaminifu kwa kweli wameshitakiwa kuwa kama wafitini, wajushi, ao wenye kutengana.<br />

Kukiri kwa imani kulikofanywa na watakatifu na wafia dini, mifano hiyo <strong>ya</strong> utakatifu<br />

ukamilifu imara, kunatia moyo ndani <strong>ya</strong> wale wanaoitwa sasa kusimama kama washahidi kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> Mungu. Kwa mtumishi wa Mungu kwa wakati huu kunaagizo linalosema: “Paza sauti<br />

<strong>ya</strong>ko kama baragumu, uhubiri watu wangu kosa lao, na nyumba <strong>ya</strong> Yakobo zambi zao.”<br />

“Nimekuweka kuwa mlinzi kwa nyumba <strong>ya</strong> Israeli; kwa hivi sikia neno kwa kinywa changu,<br />

na uwape maonyo toka kwangu.” Isa<strong>ya</strong> 58:1; Ezekieli 33:7.<br />

Kizuizi kikubwa kwa kukubali kweli ni kwamba inahusika na taabu na laumu. Hii ni<br />

mabishano tu kinyume cha ukweli ambayo wateteaji wake hawakuweza kamwe kupinga.<br />

Lakini wafuasi wa kweli wa Kristo hawangojei ukweli kukubaliwa na watu wengi.<br />

Wanakubali msalaba, pamoja na Paulo kuhesabu kwamba “Mateso yetu mepesi <strong>ya</strong>liyo kwa<br />

dakika tu, <strong>ya</strong>natufanyia utukufu wa milele unaouzito mwingi”; pamoja na mmoja wa zamani,<br />

“akihesabu <strong>ya</strong> kuwa kulaumiwa kwa Kristo ni utajiri mwingi kuliko hazina za Misri.” 2<br />

Wakorinto 4:17; Waebrania 11:26.<br />

Inatupasa kuchagua haki kwa sababu inakuwa haki, na kuacha matokeo kwa Mungu. Kwa<br />

watu wa kanuni, imani na uhodari, dunia inakuwa na deni kwa ajili <strong>ya</strong> matengenezo <strong>ya</strong>ke<br />

makubwa. Kwa watu wa namna ile kazi <strong>ya</strong> matengenezo kwa wakati huu inapashwa<br />

kuendelea mbele.<br />

188

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!