Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Tangu siku ile hata sasa Sabato imeshikwa. Ingawa “mtu wa zambi” alifaulu katika<br />
kugandamiza chini <strong>ya</strong> mguu siku takatifu <strong>ya</strong> Mungu, lakini ilifichwa katika mahali pa siri<br />
roho aminifu zikaitolea heshima. Tangu wakati wa Matengenezo (Reformation), wengine<br />
katika kila kizazi wameimarisha kushikwa kwake.<br />
Mambo ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kweli katika kuhusiana pamoja na “habari njema <strong>ya</strong> milele” <strong>ya</strong>tatofautisha<br />
kanisa la Kristo kwa wakati wa kutokea kwake. “Hapa ni uvumilivu wa watakatifu<br />
wanaoshika amri za Mungu, na imani <strong>ya</strong> Yesu.” Ufunuo 14:12.<br />
Wale waliokubali nuru juu <strong>ya</strong> Pahali patakatifu na sheria <strong>ya</strong> Mungu walijazwa na furaha<br />
kwa namna walioona umoja wa kweli. Walitamani nuru <strong>ya</strong> kugawanywa kwa Wakristo wote.<br />
Lakini kweli tafauti pamoja na ulimwengu haikukaribishwa kwa wengi waliojidai kufuata<br />
Kristo.<br />
Kwa namna haki <strong>ya</strong> Sabato ilivyoonyeshwa, wengi wakasema: “Tulikuwa tukishika<br />
Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza) sikuzote, wazazi wetu waliishika. Kushika kwa Sabato mp<strong>ya</strong><br />
kungetutupa inje <strong>ya</strong> umoja pamoja na ulimwengu. Kundi ndogo linaloshika siku <strong>ya</strong> saba<br />
linaweza kufan<strong>ya</strong> nini juu <strong>ya</strong> ulimwengu wote unaoshika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma)?”<br />
Kwa mabishano <strong>ya</strong> namna moja Wayuda wakatoa sababu zao za kukana Kristo. Vivyo hivyo<br />
wakati wa Luther, Wakristo wa dini <strong>ya</strong> Roma wakafikiri kwamba Wakristo wa kweli walikufa<br />
katika imani <strong>ya</strong> Kikatoliki; kwa sababu hiyo dini ile ilikuwa <strong>ya</strong> kutosha. Wazo la namna ile<br />
lingehakikisha kizuizi zaidi kwa maendeleo yote katika imani.<br />
Wengi walishurutisha kwamba kushika kwa Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma) ilikuwa<br />
desturi <strong>ya</strong> kanisa iliyoenea sana <strong>ya</strong> kanisa kwa karne nyingi. Kinyume cha mabishano ha<strong>ya</strong><br />
ilionyeshwa kwamba Sabato na kushikwa kwake kulikuwa kwa zamani zaidi kuliko, hata kwa<br />
zamani za ulimwengu wenyewe--uliyoimarishwa na Mzee wa Siku.<br />
Kwa ukosefu wa ushuhuda wa Biblia, wengi wakashurutisha: “Sababu gani watu wetu<br />
wakubwa hawafahamu swali hili la Sabato? Wachache wanaamini kama unavyo amini.<br />
Haiwezekani kuwa kwamba unakuwa na hakika na watu wote waliojifunza kuwa wakosefu.”<br />
Kwa kupinga mabishano <strong>ya</strong> namna hii ilikuwa tu lazima <strong>ya</strong> kuita Maandiko na matendo<br />
<strong>ya</strong> Bwana pamoja na watu wake katika vizazi vyote. Sababu mara kwa mara Mungu hakuwa<br />
akichagua watu waliojifunza na cheo kwa kuongoza katika matengenezo ni kwamba<br />
wanatumainia kanuni za imani <strong>ya</strong> kanisa na desturi za elimu <strong>ya</strong> tabia na sifa za Mungu na dini<br />
na kutoona haja kamwe <strong>ya</strong> kufundishwa na Mungu. Watu wanaokuwa na majifunzo <strong>ya</strong> chini<br />
wanaitwa n<strong>ya</strong>kati zingine kutangaza kweli, si kwa sababu wanakuwa wasiojifunza, lakini kwa<br />
sababu si watu wenye majivuno <strong>ya</strong> kukataa kufundishwa na Mungu. Unyenyekevu wao na<br />
utii vinawafan<strong>ya</strong> kuwa wakubwa.<br />
Historia <strong>ya</strong> Israeli wa zamani ni onyesho la kushangaza <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong> wakati<br />
uliopita <strong>ya</strong> jamii <strong>ya</strong> Waadventisti. Mungu aliongoza watu wake katika mwendo wakurudi kwa<br />
Yesu,ijapo kama vile alivyoongoza wana wa Israeli kutoka Misri. Kama wote waliotumika<br />
187