You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 26. Washujaa kwa Ajili <strong>ya</strong> Ukweli<br />
Matengenezo juu <strong>ya</strong> sabato katika siku za mwisho <strong>ya</strong>metabiriwa katika Isa<strong>ya</strong>: “Bwana<br />
anasema hivi: Shikeni hukumu, na mufanye haki; kwa sababu wokovu wangu ni karibu kuja,<br />
na haki <strong>ya</strong>ngu kufunuliwa. Heri mtu anayefan<strong>ya</strong> maneno ha<strong>ya</strong>, na mwana wa mtu<br />
anaye<strong>ya</strong>shika sana; anayeshika sabato asizivunje, anayezuiza mkono wake usifanye uovu wo<br />
wote... Vilevile wana wa mgeni, wanaojiunga na Bwana, kumutumikia, na kupenda jina la<br />
Bwana, kuwa watumishi wake, yeyote anayeshika sabato asiivunje, na kushika sana agano<br />
langu; hata wale nitawaleta kwa mlima wangu mtakatifu, na kuwafurahisha katika nyumba<br />
<strong>ya</strong>ngu <strong>ya</strong> maombi.” Isa<strong>ya</strong> 56:1,2,6,7.<br />
Maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>naelekea kwa wakati wa kikristo, kama inavyoonyeshwa kwa maneno<br />
(mstari 8). Hapa ni kuonyesha mbele mkusanyiko wa Mataifa kwa njia <strong>ya</strong> habari njema,<br />
wakati watumishi wake wanapohubiri kwa mataifa yote habari za furaha.<br />
Bwana anaamuru, “Tia muhuri juu <strong>ya</strong> sheria katikati <strong>ya</strong> wanafunzi wangu.: Isa<strong>ya</strong> 8:16.<br />
Muhuri wa sheria <strong>ya</strong> Mungu unapatikana katika amri <strong>ya</strong> ine. Hii tu, <strong>ya</strong> amri zote kumi,<br />
inayoleta maoni <strong>ya</strong> jina na anwani <strong>ya</strong> Mutoa sheria. Wakati Sabato ilipogeuzwa kwa mamlaka<br />
<strong>ya</strong> Papa (kanisa la Roma), muhuri uliondolewa kutoka kwa sheria. Wanafunzi wa Yesu<br />
wanaitwa kwa kuurudisha kwa kuinua Sabato kama ukumbusho wa Muumba na alama <strong>ya</strong><br />
mamlaka <strong>ya</strong>ke.<br />
Agizo limetolewa: “Piga kelele, usiache, pandisha sauti <strong>ya</strong>ko kama baragumu, uhubiri<br />
watu wangu kosa lao.” Wale ambao Bwana anawataja kama “watu wangu” wanapaswa<br />
kukaripiwa kwa ajili <strong>ya</strong> makosa <strong>ya</strong>o, kundi linalojifikiri wao wenyewe kuwa la haki katika<br />
kazi <strong>ya</strong> Mungu. Lakini kemeo la upole la mwenye kutafuta mioyo linawashuhudia kuvunja<br />
amri za Mungu. Isa<strong>ya</strong> 58:1,2.<br />
Kwa hiyo nabii anaonyesha amri ambayo iliyoachwa: “Utan<strong>ya</strong>nyulisha misingi <strong>ya</strong> vizazi<br />
vingi; nawe utaitwa, Mwenye kutengeneza pahali pa kubomoka; Mwenye kurudisha njia za<br />
kukalia. Kama ukigeuza mguu wako kutoka katika Sabato, usifanye mapenzi <strong>ya</strong>ko katika siku<br />
<strong>ya</strong>ngu takatifu na kuita sabato siku <strong>ya</strong> furaha, siku takatifu <strong>ya</strong> Bwana, yenye heshima; kama<br />
ukiiheshimu, pasipo kufuata njia zako mwenyewe, wala kutafuta mapenzi <strong>ya</strong>ko mwenyewe,<br />
wala kusema maneno <strong>ya</strong>ko mwenyewe; ndipo utajifurahisha katika Bwana.” Isa<strong>ya</strong> 58:12-14.<br />
“Tundu” lilifanywa katika sheria <strong>ya</strong> Mungu wakati Sabato ilipogeuzwa kwa mamlaka <strong>ya</strong><br />
Roma. Lakini wakati umefika kwa tundu kutengenezwa.<br />
Sabato ilishikwa na Adamu katika usafi wake katika Edeni; na Adamu, aliyeanguka lakini<br />
akatubu, wakati alipofukuzwa kwa shamba ao cheo chake. Ilishikwa na mababa wote tangu<br />
Abeli hata Noa, kwa Abrahamu, hata Yakobo. Wakati Bwana alipookoa Israeli, akatangaza<br />
sheria <strong>ya</strong>ke kwa makutano.<br />
Sabato <strong>ya</strong> Kweli Kila Mara Ilishikwa<br />
186