Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti Wakatoliki wa Roma wanatambua kwamba badiliko la Sabato lilifanywa na kanisa lao, na kutangaza kwamba Waprotestanti, kwa kushika Jumapili (siku ya kwanza ya juma), wanatambua mamlaka ya Roma. Maneno yamesemwa: “Wakati wa sheria ya kale, jumamosi (siku ya saba) ilikuwa siku iliyotakaswa; lakini kanisa, lilipoagizwa na Yesu Kristo, na kuongozwa na Roho ya Mungu, likabadilisha Jumapili (siku ya kwanza ya juma: Dimanche) kwa Jumamosi (siku ya saba ya juma:Samedi), kwa hiyo tunatakasa siku ya kwanza, si siku ya saba, Jumapili maana yake, na sasa ni, siku ya Bwana.” Kama alama ya mamlaka ya Kanisa la Wakatoliki, waandishi wa Kanisa la Roma wananena “Tendo kabisa la kugeuza Sabato kwa Jumapili (siku ya kwanza ya juma), ambalo Waprotestanti wanakubali; ... kwa sababu ya kushika Jumapili (siku ya kwanza ya juma), wanakubali mamlaka ya kanisa kwa kuamuru siku kuu, na kuzitawala chini ya zambi.” Ni nini tena badiliko la Sabato, lakini ni alama, ao chapa, cha mamlaka ya Kanisa la Roma- -“chapa ya mnyama”? Kanisa la Roma halikuacha madai yake kwa mamlaka. Wakati ulimwengu na makanisa ya Waprotestanti wanapokubali sabato iliotungwa na Roma, wakati wanapokataa Sabato ya Biblia, wanakubali kwa kweli majivuno haya. Kwa kufanya vile wanazarau kanuni zinazowatenga kwa Roma--kwamba “Biblia, na ni Biblia tu, ni dini ya Waprotestanti.” Kwa namna mwendo kwa ajili yakulazimisha Jumapili (siku ya kwanza ya juma) unapata upendeleo, mwishoni italeta Waprotestanti wote chini ya bendera ya Roma. Wakristo wa Kanisa la Roma wanatangaza kwamba “kushika Jumapili (siku ya kwanza ya juma) kwa Waprotestanti ni heshima kuu wanatoa, kwa kujichukia wenyewe, kwa mamlaka ya Kanisa .”7 Kwa kulazimisha kazi ya dini kwa mamlaka ya serkali ni kufanya sanamu kwa mnyama; kwa hiyo kulazimisha kushika Jumapili (siku ya kwanza ya juma) katika Amerika kungekuwa kulazimusha kuabudu ya mnyama na sanamu yake. Wakristo wa vizazi vilivyopita walishika Jumapili (siku ya kwanza ya juma) wakizani kwamba walikuwa wakishika Sabato ya Biblia, sasa kunakuwa Wakristo wa kweli katika kila kanisa ambao kwa uaminifu wanaamini kwamba Jumapili (siku ya kwanza ya juma) ni agizo la kimungu. Mungu anakubali uaminifu wao na uhaki yao. Lakini wakati kushika Jumapili (siku ya kwanza ya juma) itakapolazimishwa kwa sheria na ulimwengu utaangaziwa juu ya Sabato ya kweli, ndipo ye yote atakayevunja amri ya Mungu kwa kutii amri ya Roma kwa hiyo atakuwa anaheshimu mafundisho ya kipapa kuliko ya Mungu. Anakuwa akitoa heshima kwa Roma. Anakuwa akiabudu mnyama na sanamu yake. Ndipo watu watapokea chapa cha utii kwa Roma--“chapa ya mnyama.” Yale hayatafanyika hata mambo yanapowekwa wazi mbele ya watu na watakapoletwa kwa kuchagua kati ya amri za Mungu na amri za watu, ndipo wale wanaoendelea katika kuvunja amri watapokea “chapa ya mnyama.” Onyo la Malaika wa Tatu Hofu ya kutisha zaidi iliyoambiwa daima kwa wanadamu inakuwa katika ujumbe wa malaika wa tatu. Watu hawapaswi kuachwa gizani juu ya jambo hili la maana; onyo linapaswa 184

Kupinga ya Kiprotestanti kutolewa kwa ulimwengu kabla ya kuzuriwa kwa hukumu ya Mungu, ili wote waweze kuwa na bahati ya kuziepuka. Malaika wa kwanza anafanya tangazo lake kwa “kila taifa, na kabila, na lugha, na jamaa.” Onyo la malaika wa tatu ni la kuenea sana, linatangazwa kwa sauti kubwa na litaagiza uangalifu wa ulimwengu. Wote watajitenga kwa makundi makubwa mawili--wale wanaoshika amri za Mungu na imani ya Yesu, na wale wanaomwabudu mnyama na sanamu yake na wanapokea chapa yake. Kanisa na Serkali itaungana kushurutisha “wote” kwa kupokea “chapa cha mnyama,” kwani watu wa Mungu hawataipokea. Nabii anatazama “wale walioshinda yule nyama na sanamu yake, na hesabu ya jina lake, wamesimama kando ya bahari ya kioo, wenye vinubi vya Mungu.” Ufunuo 15:2. 185

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Wakatoliki wa Roma wanatambua kwamba badiliko la Sabato lilifanywa na kanisa lao, na<br />

kutangaza kwamba Waprotestanti, kwa kushika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma),<br />

wanatambua mamlaka <strong>ya</strong> Roma. Maneno <strong>ya</strong>mesemwa: “Wakati wa sheria <strong>ya</strong> kale, jumamosi<br />

(siku <strong>ya</strong> saba) ilikuwa siku iliyotakaswa; lakini kanisa, lilipoagizwa na Yesu Kristo, na<br />

kuongozwa na Roho <strong>ya</strong> Mungu, likabadilisha Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma: Dimanche)<br />

kwa Jumamosi (siku <strong>ya</strong> saba <strong>ya</strong> juma:Samedi), kwa hiyo tunatakasa siku <strong>ya</strong> kwanza, si siku<br />

<strong>ya</strong> saba, Jumapili maana <strong>ya</strong>ke, na sasa ni, siku <strong>ya</strong> Bwana.”<br />

Kama alama <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Kanisa la Wakatoliki, waandishi wa Kanisa la Roma<br />

wananena “Tendo kabisa la kugeuza Sabato kwa Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma), ambalo<br />

Waprotestanti wanakubali; ... kwa sababu <strong>ya</strong> kushika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma),<br />

wanakubali mamlaka <strong>ya</strong> kanisa kwa kuamuru siku kuu, na kuzitawala chini <strong>ya</strong> zambi.”<br />

Ni nini tena badiliko la Sabato, lakini ni alama, ao chapa, cha mamlaka <strong>ya</strong> Kanisa la Roma-<br />

-“chapa <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma”? Kanisa la Roma halikuacha madai <strong>ya</strong>ke kwa mamlaka. Wakati<br />

ulimwengu na makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti wanapokubali sabato iliotungwa na Roma, wakati<br />

wanapokataa Sabato <strong>ya</strong> Biblia, wanakubali kwa kweli majivuno ha<strong>ya</strong>. Kwa kufan<strong>ya</strong> vile<br />

wanazarau kanuni zinazowatenga kwa Roma--kwamba “Biblia, na ni Biblia tu, ni dini <strong>ya</strong><br />

Waprotestanti.” Kwa namna mwendo kwa ajili <strong>ya</strong>kulazimisha Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong><br />

juma) unapata upendeleo, mwishoni italeta Waprotestanti wote chini <strong>ya</strong> bendera <strong>ya</strong> Roma.<br />

Wakristo wa Kanisa la Roma wanatangaza kwamba “kushika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza<br />

<strong>ya</strong> juma) kwa Waprotestanti ni heshima kuu wanatoa, kwa kujichukia wenyewe, kwa<br />

mamlaka <strong>ya</strong> Kanisa .”7 Kwa kulazimisha kazi <strong>ya</strong> dini kwa mamlaka <strong>ya</strong> serkali ni kufan<strong>ya</strong><br />

sanamu kwa mn<strong>ya</strong>ma; kwa hiyo kulazimisha kushika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma)<br />

katika Amerika kungekuwa kulazimusha kuabudu <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke.<br />

Wakristo wa vizazi vilivyopita walishika Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma) wakizani<br />

kwamba walikuwa wakishika Sabato <strong>ya</strong> Biblia, sasa kunakuwa Wakristo wa kweli katika kila<br />

kanisa ambao kwa uaminifu wanaamini kwamba Jumapili (siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma) ni agizo<br />

la kimungu. Mungu anakubali uaminifu wao na uhaki <strong>ya</strong>o. Lakini wakati kushika Jumapili<br />

(siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma) itakapolazimishwa kwa sheria na ulimwengu utaangaziwa juu <strong>ya</strong><br />

Sabato <strong>ya</strong> kweli, ndipo ye yote atakayevunja amri <strong>ya</strong> Mungu kwa kutii amri <strong>ya</strong> Roma kwa<br />

hiyo atakuwa anaheshimu mafundisho <strong>ya</strong> kipapa kuliko <strong>ya</strong> Mungu. Anakuwa akitoa heshima<br />

kwa Roma. Anakuwa akiabudu mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke. Ndipo watu watapokea chapa cha<br />

utii kwa Roma--“chapa <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma.” Yale ha<strong>ya</strong>tafanyika hata mambo <strong>ya</strong>napowekwa wazi<br />

mbele <strong>ya</strong> watu na watakapoletwa kwa kuchagua kati <strong>ya</strong> amri za Mungu na amri za watu, ndipo<br />

wale wanaoendelea katika kuvunja amri watapokea “chapa <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma.”<br />

Onyo la Malaika wa Tatu<br />

Hofu <strong>ya</strong> kutisha zaidi iliyoambiwa daima kwa wanadamu inakuwa katika ujumbe wa<br />

malaika wa tatu. Watu hawapaswi kuachwa gizani juu <strong>ya</strong> jambo hili la maana; onyo linapaswa<br />

184

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!