12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

“Mn<strong>ya</strong>ma” wa hiyo ibada inayolazimishwa ni wa kwanza, ao <strong>ya</strong> mfano wa chui, n<strong>ya</strong>ma<br />

wa Ufunuo 13--Kanisa la Roma (Papa). “Sanamu kwa mn<strong>ya</strong>ma” ni mfano wa namna ile <strong>ya</strong><br />

Dini <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> iliyokufuru ambayo itasitawi wakati makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti<br />

<strong>ya</strong>napotafuta msaada wa mamlaka <strong>ya</strong> serkali kwa ajili <strong>ya</strong> mkazo wa mafundisho <strong>ya</strong> kanuni<br />

zao. “Chapa <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>ma” inaendelea kuelezwa.<br />

Wale wanaoshika amri za Mungu wanakuwa tofauti na wale wanaoabudu mn<strong>ya</strong>ma na<br />

sanamu <strong>ya</strong>ke na kupokea chapa <strong>ya</strong>ke. Uchungaji wa sheria <strong>ya</strong> Mungu, kwa upande moja, na<br />

mvunjo wake, kwa upande mwengine, utafan<strong>ya</strong> tofauti kati <strong>ya</strong> waabudu wa Mungu na<br />

waabudu wa mn<strong>ya</strong>ma.<br />

Tabia <strong>ya</strong> kipekee <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma na <strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong>ke ni kuvunja amri za Mungu. Asema<br />

Danieli, juu <strong>ya</strong> pembe ndogo, kanisa la Roma (Papa): “Atafikiri kugeuza n<strong>ya</strong>kati na sheria.”<br />

Danieli 7:25.R.V. Paulo akataja mamlaka <strong>ya</strong> namna moja “mtu yule wa kuasi” (2<br />

Watesalonika 2:3), aliyejiinua mwenyewe juu <strong>ya</strong> Mungu. Ila tu kwa kugeuza sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />

kanisa la Roma (Papa) liliweza kujiinua lenyewe juu <strong>ya</strong> Mungu. Mtu ye yote ambaye<br />

angeshika sheria kwa kufahamu kama ilivyogeuzwa angekuwa anatoa heshima kubwa kwa<br />

sheria za Papa, chapa cha utii kwa Papa pahali pa Mungu.<br />

Kanisa la Roma (Papa) limejaribu kugeuza sheria <strong>ya</strong> Mungu. Amri <strong>ya</strong> ine imebadilika hivi<br />

kama kuruhusu kushika siku <strong>ya</strong> kwanza badala <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> saba kama Sabato. Badiliko la<br />

kusudi, la kufikiri linaonyeshwa: “Atafikiri kugeuza n<strong>ya</strong>kati na sheria.” Badiliko katika amri<br />

<strong>ya</strong> ine kabisa linatimiza unabii. Hapa uwezo wa Papa unajiweka mwenyewe kwa wazi juu <strong>ya</strong><br />

Mungu. Waabudu wa Mungu watatofautika kwa kipekee kwa kushika kwao kwa amri <strong>ya</strong> ine,<br />

alama <strong>ya</strong> uwezo wake wa kuumba. Waabudu wa mn<strong>ya</strong>ma watatofautika kwa kufan<strong>ya</strong> nguvu<br />

ili kupasua ukumbusho wa Muumba, kuinua sheria <strong>ya</strong> Roma. Ilikuwa kwa ajili <strong>ya</strong> Jumapili<br />

(siku <strong>ya</strong> kwanza) kama “siku <strong>ya</strong> Bwana” ambayo mafundisho <strong>ya</strong> kanisa la Roma <strong>ya</strong>litetea<br />

kwa mara <strong>ya</strong> kwanza madai <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kiburi. (Tazama Mwisho wa kitabu, Nyongezo). Lakini<br />

Biblia inaonyesha siku <strong>ya</strong> saba kuwa siku <strong>ya</strong> Bwana. Akasema Kristo: “Basi, Mwana wa watu<br />

ndiye Bwana wa sabato vilevile.” Marko 2:28. Utazame tena Isa<strong>ya</strong> 58:13; Matayo 5:1719.<br />

Maneno <strong>ya</strong>nayotangazwa mara kwa mara kwamba Kristo aligeuza Sabato <strong>ya</strong>mekataliwa na<br />

maneno <strong>ya</strong>ke mwenyewe.<br />

Kim<strong>ya</strong> Kamili wa Agano Jip<strong>ya</strong><br />

Waprotestanti wanatambua “kim<strong>ya</strong> kamili cha Agano Jip<strong>ya</strong> kadiri hakuna agizo lo lote<br />

wazi kwa ajili <strong>ya</strong> Sabato (Jumapili, siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma) wala kanuni halisi kwa kushikwa<br />

kwake zinazohusiana nayo.”<br />

“Hata kwa wakati wa kufa kwa Kristo, hakuna badiliko lililofanyika katika siku”; na “ni<br />

hivyo kama maandiko <strong>ya</strong>navyoonyesha, wao (mitume) ... hawakutoa agizo lo lote la wazi<br />

kuonyesha kuachwa kwa Sabato <strong>ya</strong> siku <strong>ya</strong> saba, na kushikwa kwake kwa siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong><br />

juma.”<br />

183

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!