12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>liyofuata katika hatua za Roma <strong>ya</strong>meonyesha mapenzi<br />

<strong>ya</strong> namna moja kwa kuzuia uhuru wa zamiri. Mfano ni mateso <strong>ya</strong>liyoendelea wakati mrefu<br />

<strong>ya</strong> wale wasiokubali mafundisho <strong>ya</strong> Kanisa la Kiingereza. Wakati wa karne za kumi na sita<br />

na kumi na saba, wachungaji na watu wasiokubali kanuni za kanisa walikuwa watu wakulipa<br />

feza <strong>ya</strong> azabu, kufungwa, mateso (azabu kali), na mauti <strong>ya</strong> mfia dini.<br />

Uasi ukaongoza kanisa la mwanzoni kutafuta usaada wa serkali <strong>ya</strong> raia. Na jambo hili<br />

likata<strong>ya</strong>risha njia kwa Kanisa la Roma (Papa)--mn<strong>ya</strong>ma. Paulo akasema: “ila maasi <strong>ya</strong>le<br />

<strong>ya</strong>fike mbele, na mtu yule wa kuasi akafunuliwa.” 2 Watesalonika 2:3.<br />

Biblia inatangaza: “Siku za mwisho zitakuwa n<strong>ya</strong>kati za hatari. Kwa sababu watu<br />

watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda feza, wenye kujisifu, wenye kiburi,<br />

wenye kutukana, wasiotii wazazi wao, wasio na kushukuru, wasio safi, wasiopenda wenzao,<br />

wasiotaka kusamehe, washitaki wa uwongo, wasiojizuiza, wakali, wasiopenda mema,<br />

wadanganyifu, wakaidi, wenye kujivuna, wenye kupenda anasa kuliko Mungu; wenye mfano<br />

wa kuogopa Mungu, lakini wakikana nguvu zake.” 2 Timoteo 3:1-5. “Basi, Roho anasema<br />

waziwazi <strong>ya</strong> kwamba katika n<strong>ya</strong>kati za mwisho watu wengine watajitenga na imani,<br />

wakisikiliza roho za kudangan<strong>ya</strong>, na mafundisho <strong>ya</strong> mashetani.” 1 Timoteo 4:1.<br />

Wote wale “hawakupokea mapendo wa kweli, kwamba wapate kuokolewa,” watakubali<br />

“nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini uwongo.” 2 Watesalonika 2:10,11. Wakati hali hii<br />

itakapofikiwa, matokeo <strong>ya</strong> namna moja <strong>ya</strong>tafuata ilivyokuwa katika karne za kwanza.<br />

Tofauti kubwa <strong>ya</strong> imani katika makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti inazaniwa na wengi kama<br />

utibitizo kwamba hakuna umoja uliolazimishwa unaoweza kufanywa. Lakini pale kumekuwa<br />

kwa miaka nyingi katika makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti nia iliyoongezeka katika upendeleo wa<br />

umoja. Kwa kulinda umoja kama huo, mazungumzo <strong>ya</strong> mambo ambayo wote<br />

hawaku<strong>ya</strong>kubali <strong>ya</strong>napaswa kuachwa kudaiwa. Katika bidii <strong>ya</strong> kulinda umoja kamili, itakuwa<br />

tu ni hatua kwa kutumia nguvu.<br />

Wakati makanisa maalum <strong>ya</strong> Amerika, <strong>ya</strong>napoungana juu <strong>ya</strong> mambo kama <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong><br />

mafundisho kama inavyoshikwa kwao katika umoja, <strong>ya</strong>tavuta serkali kulazimisha amri zao<br />

na kuimarisha sheria zao, ndipo Amerika <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> itakapofan<strong>ya</strong> sanamu <strong>ya</strong> serkali <strong>ya</strong><br />

Kanisa la Roma, na azabu <strong>ya</strong> malipo <strong>ya</strong> raia juu <strong>ya</strong> wale wasiokubali mafundisho <strong>ya</strong> kanisa<br />

bila mashaka <strong>ya</strong>takuwa matokeo.<br />

Mn<strong>ya</strong>ma na Sanamu Yake<br />

Mn<strong>ya</strong>ma aliyekuwa na pembe mbili “naye anawafan<strong>ya</strong> wote, wadogo na wakubwa, na<br />

matajiri na masikini na wahuru na wafungwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, ao<br />

katika vipaji v<strong>ya</strong> nyuso zao; na kwamba mtu asiweze kununua wala kuuza asipokuwa na<br />

chapa ile, ao jina la mn<strong>ya</strong>ma yule, ao hesabu <strong>ya</strong> jina lake.” Ufunuo 13:16,17. Malaika wa tatu<br />

anaon<strong>ya</strong>: “Mtu akiabudu mn<strong>ya</strong>ma na sanamu <strong>ya</strong>ke, na kupokea chapa katika kipaji cha uso<br />

wake, ao katika mkono wake, yeye atakunywa mvinyo <strong>ya</strong> gazabu <strong>ya</strong> Mungu.”<br />

182

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!