Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti mfano wa chui inasemwa: “Naye akapewa kinywa cha kusema maneno makubwa, na makufuru... Akafungua kinywa chake atukane Mungu , na kutukana jina lake, na hema yake, nao wanaokaa mbinguni. Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda; akapewa mamlaka juu ya kabila na lugha na taifa.” Ufunuo 13:5-7. Unabii huu, karibu kuwa sawasawa pamoja na maelezo ya pembe ndogo ya Danieli 7, unaonyesha bila shaka Kanisa la Kiroma. “Akapewa mamlaka kufanya kazi yake miezi makumi ine na miwili”--miaka mitatu na nusu, ao siku 1260, ya Danieli 7--mda ambao nguvu (uwezo) za Papa zilipaswa kugandamiza watu wa Mungu. Mda huu kama ilivyotajwa katika sura zilizotangulia, ulianza na mamlaka ya kanisa la Roma (Papa), A.D. 538, na kumalizika katika mwaka 1798. Kwa wakati ule mamlaka ya Papa ikapata “kidonda cha kufa,” na unabii ukatimia, “yeye anayepeleka katika kifungo atachukuliwa katika kifungo.” Kuinuka kwa Mamlaka Mpya Kwa jambo hili mfano mwingine umetangazwa: “Kisha nikaona mnyama mwingine akipanda juu toka dunia, naye alikuwa na pembe mbili, mfano wa Mwana-Kondoo.” Ufunuo 13:11. Taifa hili ni mbalimbali na yale yaliyoonyeshwa chini ya mifano iliyotangulia. Falme kubwa zilizotawala dunia zilionyeshwa kwa nabii Danieli kama wanyama wa mawindo, waliopanda wakati “pepo ine za mbingu zilivuma kwa nguvu juu ya bahari kubwa.” Danieli 7:2. Katika ufunuo 17:15 malaika anaeleza kwamba maji yanafanyishwa na “Watu” na makutano ya mataifa na lugha”. Upepo ni mfano wa mashindano (vita). Pepo ne zinazo shindana juu ya bahari kubwa inaonyesha matendo ya hatari ya ushindi na wapinduzi ambayo falme zilifika kwa enzi. Lakini nyama aliyekuwa na pembe mfano wa Mwana-kondoo alionekana “akipanda toka dunia.” Badala ya kuangusha mamlaka zingine na kujiimarisha mwenyewe, taifa lililokuwa mfano wake lilipaswa kupanda katika inchi isiokaliwa kwanza na likasitawi kwa amani. Linapaswa kutafutwa katika Bara kuu la Magaribi. Ni taifa gani la Dunia Mpya lilikuwa katika mwaka 1798 likipanda kwa nguvu, kutoa ahadi ya nguvu, na kuvuta uangalifu wa dunia? Taifa moja, na ni moja tu, linalokutana na unabii huu--mataifa ya muungano ya Amerika (United States of America). Karibu sana maneno kabisa kabisa ya mwandishi mtakatifu yalitumiwa bila kufahamu kwa mwandishi wa historia katika kueleza kupanda kwa taifa. Mwandishi mashauri anasema juu ya “siri ya kutokea kwake kwa pahali patupu,” na anasema, “Kama mbegu ya kimya tunasitawi katika mamlaka.” Gazeti la Ulaya katika mwaka 1850 linaeleza juu ya Amerika “kutokea” na “katika utulivu wa inchi siku kwa siku kuongeza kwa uwezo wake na kiburi.” “Naye alikuwa na pembe mbili, mfano wa Mwana-Kondoo.” Pembe mfano wa mwanakondoo inaonyesha ujana, hali ya kuwa bila kosa, upole. Miongoni mwa Wakristo wa kwanza waliokimbilia Amerika kwa ajili ya magandamizo ya kifalme na kutovumilia kwa mapadri kulikuwa wengi waliokusudia kuanzisha uhuru wa kiulimwengu na wa dini. Tangazo la uhuru 180
Kupinga ya Kiprotestanti linainua kweli kwamba “watu wote wameumbwa sawasawa” na wanatolewa na haki ya daima kwa “maisha, uhuru, na kutafuta furaha.” Sheria inatoa haki kwa watu ya kujitawala, kuhakikisha kwamba wajumbe waliochaguliwa kwa uchaguzi wa kupendwa na watu wote watafanya na kuamuru sheria. Uhuru wa imani ya dini ulitolewa pia. Utawala wa uchaguzi (Republicanism) ya Dini la Kiprotestanti yakawa kanuni za msingi za taifa, siri ya uwezo wake na usitawi. Mamilioni wakatafuta pwani zake, na Amerika ikapanda kwa pahali miongoni mwa mataifa yenye uwezo mwingi zaidi duniani. Lakini nyama aliyekuwa na pembe mbili, mfano wa mwanakondoo “akasema kama joka. Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwanza mbele yake, na kufanya dunia nao wanaokaa ndani yake waabudu mnyama wa kwanza, ambaye kidonda chake cha mauti kilipona; ... akiwaambia wale wanaokaa juu ya dunia, kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na kidonda cha upanga, naye aliishi.” Ufunuo 13:11-14. Pembe mfano wa mwana-kondoo na sauti ya joka inaonyesha kwa mabishano. Utabiri kwamba itasema “kama joka” na kutumia “maneno kwa uwezo wote wa nyama yule wa kwanza” unatabiri roho ya kutokuwa na uvumilivu na ya kutesa. Na maneno kwamba mnyama aliyekuwa na pembe mbili “naye dunia alifanya” na wale wanaokaa ndani yake waabudu mnyama wa kwanza” inaonyesha kwamba mamlaka ya taifa hili ni kutumia nguvu kwa kushika maagizo fulani ambayo itakuwa tendo la heshima kwa utawala wa kipapa. Tendo la namna hiyo lingekuwa kinyume kwa asili ya sheria zake za uhuru, kwa taratibu ya maneno ya kukiri Tangazo la Uhuru, na kwa sheria. Sheria inaweka tayari kwamba “Baraza kuu haitaweka sheria kupendelea makao ya dini, wala kukataza uhuru wa matumizi hiyo,” na kwamba “hakuna jaribio la dini litakalodaiwa kamwe kama sifa kwa kazi yo yote ya tumaini la watu wote chini ya mataifa ya muungano (United States). Kuvunja wazi kwa kinga hizi (mambo yanayofanya salama) za uhuru kunaonyeshwa katika mfano huu. Mnyama aliyekuwa na pembe mbili mfano wa mwana-kondooanayejitangaza kuwa safi, mtulivu-asiyeumizaanasema kama joka. “Akiwaambia wale wanaokaa juu ya dunia, kumfanyia sanamu yule nyama.” Hapa panaonyeshwa namna ya serkali ambapo mamlaka ya kufanya sheria inadumu kwa watu, ushuhuda wa kushangaza zaidi kwamba Amerika ni taifa lenye maana fulani. Lakini “sanamu kwa mnyama” ni nini? Namna gani inafanywa? Wakati kanisa la zamani lilipochafuka, likatafuta msaada wa uwezo wa kidunia. Matokeo: Kanisa la Roma (Papa), kanisa lililotawala serkali, hasa zaidi sana kwa ajili ya azabu ya uzushi.” Ili Amerika ipate kufanya ‘’sanamu ya mnyama,” mamlaka ya dini inapaswa kutongoza serkali kwamba serkali itatumiwa vilevile kwa kanisa kutimiza vifiko vyake mwenyewe. 181
- Page 137 and 138: Kupinga ya Kiprotestanti milele.”
- Page 139 and 140: Kupinga ya Kiprotestanti 408 k.k -
- Page 141 and 142: Kupinga ya Kiprotestanti tarehe hii
- Page 143 and 144: Kupinga ya Kiprotestanti wakati wa
- Page 145 and 146: Kupinga ya Kiprotestanti kutosha; n
- Page 147 and 148: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 19. S
- Page 149 and 150: Kupinga ya Kiprotestanti Zahabu saf
- Page 151 and 152: Kupinga ya Kiprotestanti kwa uangal
- Page 153 and 154: Kupinga ya Kiprotestanti Miaka mita
- Page 155 and 156: Kupinga ya Kiprotestanti Imani ya n
- Page 157 and 158: Kupinga ya Kiprotestanti Watu wakas
- Page 159 and 160: Kupinga ya Kiprotestanti Lakini wal
- Page 161 and 162: Kupinga ya Kiprotestanti Giza ya ki
- Page 163 and 164: Kupinga ya Kiprotestanti Mwanamke (
- Page 165 and 166: Kupinga ya Kiprotestanti kupendeza
- Page 167 and 168: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 22. U
- Page 169 and 170: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mat
- Page 171 and 172: Kupinga ya Kiprotestanti 408 k.k -
- Page 173 and 174: Kupinga ya Kiprotestanti wazi, akap
- Page 175 and 176: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 23. S
- Page 177 and 178: Kupinga ya Kiprotestanti ya mbingun
- Page 179 and 180: Kupinga ya Kiprotestanti mufano kuz
- Page 181 and 182: Kupinga ya Kiprotestanti kufanyika
- Page 183 and 184: “Tazama, Bwana Arusi Anakuja” K
- Page 185 and 186: Kupinga ya Kiprotestanti Wayuda was
- Page 187: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa kujita
- Page 191 and 192: Kupinga ya Kiprotestanti “Mnyama
- Page 193 and 194: Kupinga ya Kiprotestanti kutolewa k
- Page 195 and 196: Kupinga ya Kiprotestanti Tangu siku
- Page 197 and 198: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 27. M
- Page 199 and 200: Kupinga ya Kiprotestanti Sheria ya
- Page 201 and 202: Kupinga ya Kiprotestanti Hapawezi k
- Page 203 and 204: Kupinga ya Kiprotestanti zote, namn
- Page 205 and 206: Kupinga ya Kiprotestanti Katika “
- Page 207 and 208: Kupinga ya Kiprotestanti aliyebaki
- Page 209 and 210: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa wakati
- Page 211 and 212: Kupinga ya Kiprotestanti mkubwa,
- Page 213 and 214: Kupinga ya Kiprotestanti za Mungu k
- Page 215 and 216: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 30. U
- Page 217 and 218: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 31. P
- Page 219 and 220: Kupinga ya Kiprotestanti Kapernaumu
- Page 221 and 222: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa kusima
- Page 223 and 224: Kupinga ya Kiprotestanti ya viumbe
- Page 225 and 226: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 33. K
- Page 227 and 228: Kupinga ya Kiprotestanti yameenea p
- Page 229 and 230: Kupinga ya Kiprotestanti Je, wale a
- Page 231 and 232: Kupinga ya Kiprotestanti 4:1618. Ka
- Page 233 and 234: Kupinga ya Kiprotestanti juu ya dun
- Page 235 and 236: Kupinga ya Kiprotestanti anawashiki
- Page 237 and 238: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 35. U
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
linainua kweli kwamba “watu wote wameumbwa sawasawa” na wanatolewa na haki <strong>ya</strong> daima<br />
kwa “maisha, uhuru, na kutafuta furaha.”<br />
Sheria inatoa haki kwa watu <strong>ya</strong> kujitawala, kuhakikisha kwamba wajumbe<br />
waliochaguliwa kwa uchaguzi wa kupendwa na watu wote watafan<strong>ya</strong> na kuamuru sheria.<br />
Uhuru wa imani <strong>ya</strong> dini ulitolewa pia. Utawala wa uchaguzi (Republicanism) <strong>ya</strong> Dini la<br />
<strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong>kawa kanuni za msingi za taifa, siri <strong>ya</strong> uwezo wake na usitawi. Mamilioni<br />
wakatafuta pwani zake, na Amerika ikapanda kwa pahali miongoni mwa mataifa yenye uwezo<br />
mwingi zaidi duniani.<br />
Lakini n<strong>ya</strong>ma aliyekuwa na pembe mbili, mfano wa mwanakondoo “akasema kama joka.<br />
Naye atumia uwezo wote wa mn<strong>ya</strong>ma yule wa kwanza mbele <strong>ya</strong>ke, na kufan<strong>ya</strong> dunia nao<br />
wanaokaa ndani <strong>ya</strong>ke waabudu mn<strong>ya</strong>ma wa kwanza, ambaye kidonda chake cha mauti<br />
kilipona; ... akiwaambia wale wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, kumfanyia sanamu yule mn<strong>ya</strong>ma,<br />
aliyekuwa na kidonda cha upanga, naye aliishi.” Ufunuo 13:11-14.<br />
Pembe mfano wa mwana-kondoo na sauti <strong>ya</strong> joka inaonyesha kwa mabishano. Utabiri<br />
kwamba itasema “kama joka” na kutumia “maneno kwa uwezo wote wa n<strong>ya</strong>ma yule wa<br />
kwanza” unatabiri roho <strong>ya</strong> kutokuwa na uvumilivu na <strong>ya</strong> kutesa. Na maneno kwamba<br />
mn<strong>ya</strong>ma aliyekuwa na pembe mbili “naye dunia alifan<strong>ya</strong>” na wale wanaokaa ndani <strong>ya</strong>ke<br />
waabudu mn<strong>ya</strong>ma wa kwanza” inaonyesha kwamba mamlaka <strong>ya</strong> taifa hili ni kutumia nguvu<br />
kwa kushika maagizo fulani ambayo itakuwa tendo la heshima kwa utawala wa kipapa.<br />
Tendo la namna hiyo lingekuwa kinyume kwa asili <strong>ya</strong> sheria zake za uhuru, kwa taratibu<br />
<strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong> kukiri Tangazo la Uhuru, na kwa sheria. Sheria inaweka ta<strong>ya</strong>ri kwamba “Baraza<br />
kuu haitaweka sheria kupendelea makao <strong>ya</strong> dini, wala kukataza uhuru wa matumizi hiyo,” na<br />
kwamba “hakuna jaribio la dini litakalodaiwa kamwe kama sifa kwa kazi yo yote <strong>ya</strong> tumaini<br />
la watu wote chini <strong>ya</strong> mataifa <strong>ya</strong> muungano (United States). Kuvunja wazi kwa kinga hizi<br />
(mambo <strong>ya</strong>nayofan<strong>ya</strong> salama) za uhuru kunaonyeshwa katika mfano huu. Mn<strong>ya</strong>ma aliyekuwa<br />
na pembe mbili mfano wa mwana-kondooanayejitangaza kuwa safi, mtulivu-asiyeumizaanasema<br />
kama joka.<br />
“Akiwaambia wale wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, kumfanyia sanamu yule n<strong>ya</strong>ma.” Hapa<br />
panaonyeshwa namna <strong>ya</strong> serkali ambapo mamlaka <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> sheria inadumu kwa watu,<br />
ushuhuda wa kushangaza zaidi kwamba Amerika ni taifa lenye maana fulani.<br />
Lakini “sanamu kwa mn<strong>ya</strong>ma” ni nini? Namna gani inafanywa?<br />
Wakati kanisa la zamani lilipochafuka, likatafuta msaada wa uwezo wa kidunia. Matokeo:<br />
Kanisa la Roma (Papa), kanisa lililotawala serkali, hasa zaidi sana kwa ajili <strong>ya</strong> azabu <strong>ya</strong><br />
uzushi.” Ili Amerika ipate kufan<strong>ya</strong> ‘’sanamu <strong>ya</strong> mn<strong>ya</strong>ma,” mamlaka <strong>ya</strong> dini inapaswa<br />
kutongoza serkali kwamba serkali itatumiwa vilevile kwa kanisa kutimiza vifiko v<strong>ya</strong>ke<br />
mwenyewe.<br />
181