You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sanduku ndani <strong>ya</strong> hema duniani lilikuwa na vipande mbili v<strong>ya</strong> mawe, ambapo sheria za<br />
Mungu ziliandikwa. Wakati hekalu la Mungu lilifunguliwa mbinguni, sanduku <strong>ya</strong> agano lake<br />
ilionekana. Ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa patakatifu mno mbinguni, sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />
inatunzwa--sheria iliyosemwa na Mungu na kuandikwa kwa kidole chake juu <strong>ya</strong> vipande<br />
mbili v<strong>ya</strong> mawe.<br />
Wale waliopata kufahamu maana <strong>ya</strong>ke waliona, zaidi kuliko mbele, nguvu za maneno <strong>ya</strong><br />
Mwokozi: “Hata mbingu na inchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja haitaondoka.”<br />
Matayo 5:18. Sheria <strong>ya</strong> Mungu, ambayo ni ufunuo wa mapenzi <strong>ya</strong>ke, andiko la tabia <strong>ya</strong>ke,<br />
inapaswa kudumu milele.<br />
Katika orodha <strong>ya</strong> Amri kumi kunakuwa amri <strong>ya</strong> Sabato. Roho <strong>ya</strong> Mungu ikaonyesha wale<br />
wanafunzi wa Neno lake lile kwamba walivunja kwa ujinga amri hii kwa kutojali siku <strong>ya</strong><br />
pumziko <strong>ya</strong> Muumba. Wakaanza kuchunguza sababu <strong>ya</strong> kushika siku <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong> juma.<br />
Hawakuweza kupata ushahidi wo wote kwamba amri <strong>ya</strong> ine iliondolewa mbali wala kwamba<br />
Sabato iligeuzwa. Wakatafuta kwa uaminifu kujua na kutenda mapenzi <strong>ya</strong> Mungu; sasa<br />
wakaonyesha uaminifu wao kwa Mungu kwa kushika Sabato <strong>ya</strong>ke takatifu.<br />
Nguvu mingi ilifanywa kwa kuangusha imani <strong>ya</strong> waamini wa Adventiste. Hakuna mtu<br />
aliweza kushindwa kuona kwamba ukubali ule wa kweli juu <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa mbinguni<br />
unahusika na haki za sheria <strong>ya</strong> Mungu na Sabato <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> ine. Hapa kulikuwa na siri <strong>ya</strong><br />
upinzani uliokusudiwa juu <strong>ya</strong> maelezo wazi <strong>ya</strong> umoja wa Maandiko <strong>ya</strong>nayofunua huduma <strong>ya</strong><br />
Kristo ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa mbinguni. Watu wakatafuta kufunga mlango ambao<br />
Mungu alifungua, na kufungua mlango ambao aliufunga. Lakini Kristo alifungua mlango wa<br />
huduma <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa patakatifu. Amri <strong>ya</strong> ine ilikuwa ndani katika sheria<br />
iliyotunzwa pale.<br />
Wale waliokubali nuru juu <strong>ya</strong> upatanisho wa Kristo na sheria <strong>ya</strong> Mungu wakaona kwamba<br />
ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa kweli <strong>ya</strong> Ufunuo 14, ambayo ni onyo la mara tatu kwa kuta<strong>ya</strong>risha wakaaji wa<br />
dunia kwa ajili <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana mara <strong>ya</strong> pili. (Tazama mwisho wa kitabu, Nyongezo).<br />
Tangazo “Saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja “linatangaza kweli ambayo inapaswa kutangazwa<br />
hata upatanisho wa Mwokozi utakapoisha na atarudi kuchukua watu wake kwake mwenyewe.<br />
Hukumu ambayo ilianza katika mwaka 1844 inapaswa kuendelea hata kesi za wote<br />
zinapokwisha kukatwa, wote wahai na waliokufa; kwa sababu hiyo itaenea hata kwa<br />
kufungwa kwa rehema <strong>ya</strong> wanadamu.<br />
Ili watu waweze kujita<strong>ya</strong>risha kusimama katika hukumu, ujumbe unawaagiza kuogopa<br />
Mungu, na kumutukuza,” na kumwabudu yeye aliyefan<strong>ya</strong> mbingu, na dunia na bahari na<br />
chemchemi za maji.” Matokeo <strong>ya</strong> kukubali kwa ujumbe huu wa malaika watatu unatolewa:<br />
“Hapa ni uvumilivu wa watakatifu wanaoshika amri za Mungu, na imani <strong>ya</strong> Yesu.” Ufunuo<br />
14:7,12.<br />
178