Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wayuda wasioamini walionyesha uvivu na kutoamini kwa waliojidai kuwa Wakristo<br />
ambao kwa kweli hawajui kazi <strong>ya</strong> Kuhani wetu Mkuu. Katika kazi <strong>ya</strong> mfano, wakati kuhani<br />
mkuu alipoingia Pahali patakatifu pa patakatifu mno, Israeli yote ililazimishwa kukusanyika<br />
kwa Pahali patakatifu na kunyenyekeza roho zao mbele <strong>ya</strong> Mungu, ili waweze kupata rehema<br />
<strong>ya</strong> zambi na bila “kukatiliwa mbali” <strong>ya</strong> kusanyiko. Ni kwa maana gani tena siku hii <strong>ya</strong> mfano<br />
wa upatanisho ikiwa kwamba tunafahamu kazi <strong>ya</strong> kuhani wetu Mkuu na kujua kazi gani<br />
tunazo ombwa.<br />
Ujumbe ulitumwa kutoka mbinguni kwa dunia katika siku za Noa, na wokovu wao<br />
ulitegemea namna gani walitendea ujumbe ule. Mwanzo 6:6-9, Waebrania 11:7. Katika<br />
wakati wa Sodomo, wote ila Loti pamoja na mke wake na mabinti wawili, wakateketezwa na<br />
moto uliotumwa chini kutoka mbinguni. Mwanzo 19. Vivyo hivyo katika siku za Kristo.<br />
Mwana wa Mungu akatangaza kwa Wayuda wasioamini: “Nyumba yenu imeachwa kwenu<br />
tupu.” Matayo 23:38. Kutazama chini kwa siku za mwisho, nguvu isiyokuwa na mwisho <strong>ya</strong><br />
namna moja inatangaza, kwa ajili <strong>ya</strong> wale ambao “hawakupokea upendo wa kweli, wapate<br />
kuokolewa”. “Na kwa ajili <strong>ya</strong> hiyo Mungu anawaletea nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini<br />
uwongo.” 2 Watesalonika 2:10,11. Kwa sababu wanakataa mafundisho <strong>ya</strong> neno lake, Mungu<br />
anaondoa Roho <strong>ya</strong>ke na kuwaacha kwa udanganyifu wanaoupenda. Lakini Kristo akingali<br />
anaomba kwa ajili <strong>ya</strong> mwanadamu, na nuru itatolewa kwa wale wanaoitafuta.<br />
Kupita kwa wakati katika mwaka 1844 ulifuatwa na jaribio kubwa kwa wale walioshika<br />
imani <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu. Msaada wao ulikuwa nuru ambayo iliongoza mioyo <strong>ya</strong>o kwa Pahali<br />
patakatifu pa mbinguni. Kwa namna walivyongojea na kuomba wakaona kwamba kuhani wao<br />
Mkuu alikuwa akiingia kwa kazi ingine <strong>ya</strong> huduma. Kumufuata kwa imani, wakaongozwa<br />
kuona vilevile kufungwa kwa kazi <strong>ya</strong> kanisa. Wakawa na maelezo kamili zaidi <strong>ya</strong> ujumbe wa<br />
malaika wa kwanza na wa pili, na wakata<strong>ya</strong>rishwa kupokea na kutoa kwa dunia onyo kubwa<br />
la malaika wa tatu wa Ufunuo 14.<br />
Sura 25. Sheria <strong>ya</strong> Mungu Isiyogeuka<br />
“Hekalu la Mungu likafunguliwa mbinguni na sanduku <strong>ya</strong> agano lake likaonekana.”<br />
Ufunuo 11:19. Sanduku <strong>ya</strong> agano la Mungu linakuwa ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa patakatifu,<br />
chumba cha pili cha Pahali patakatifu. Katika kazi <strong>ya</strong> hema <strong>ya</strong> duniani, ambayo ilitumiwa<br />
“katika mfano na kivuli cha vitu v<strong>ya</strong> mbinguni,” chumba hiki kilikuwa kikifunguliwa tu kwa<br />
Siku kubwa <strong>ya</strong> Upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong> usafisho wa Pahali patakatifu. Kwa hivyo tangazo<br />
kwamba hekalu la Mungu lilifunguliwa mbinguni na sanduku <strong>ya</strong> agano lake lilionekana<br />
linaonyesha kwa kufunguliwa kwa Pahali patakatifu pa patakatifu mno pa mbinguni katika<br />
mwaka 1844 ambapo Kristo aliingia kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> kumaliza upatanisho. Wale ambao katika<br />
imani walimufuata Kuhani wao Mkuu alipoingia kwa huduma <strong>ya</strong>ke katika Pahali patakatifu<br />
pa patakatifu mno, walitazama sanduku <strong>ya</strong> agano lake. Kwa namna walivyojifunza fundisho<br />
la Pahali patakatifu walipata kufahamu badiliko la kazi <strong>ya</strong> Mwokozi, na wakaona kwamba<br />
alikuwa sasa anahudumia mbele <strong>ya</strong> sanduku la Mungu.<br />
177