12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Katika mfano wa Matayo 22 hukumu inafanyika mbele <strong>ya</strong> arusi. Mbele <strong>ya</strong> arusi mfalme<br />

anaingia kuona kama wageni wote wamevikwa mavazi <strong>ya</strong> arusi, vazi safi (lisilokuwa na<br />

mawaa) la tabia iliyosafishwa katika damu <strong>ya</strong> Mwana-Kondoo. Ufunuo 7:14, Wote ambao<br />

kwa uchunguzi wameonekana kuwa wamevaa vazi la arusi wamekubaliwa na kuhesabiwa<br />

haki <strong>ya</strong> kupata sehemu katika ufalme wa Mungu na kukaa kwa kiti chake cha enzi. Kazi hii<br />

<strong>ya</strong> uchunguzi wa tabia ni hukumu <strong>ya</strong> uchunguzi, kazi <strong>ya</strong> mwisho ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu<br />

kule mbinguni.<br />

Wakati mambo <strong>ya</strong> wale katika vizazi vyote waliokubali Kristo <strong>ya</strong>napokwisha<br />

kuchunguzwa na kukatwa, ndipo rehema itafungwa na mlango wa rehema utafungwa. Kwa<br />

hivyo kwa maneno mafupi <strong>ya</strong> hukumu, “Nao waliokuwa ta<strong>ya</strong>ri waliingia pamoja naye kwa<br />

arusi: mlango ukafungwa,” tumechukuliwa chini kwa wakati ambao kazi kubwa kwa ajili <strong>ya</strong><br />

wokovu wa mwanadamu itakapokamilika.<br />

Katika Pahali patakatifu pa kidunia, wakati kuhani mkubwa kwa Siku <strong>ya</strong> Upatanisho<br />

alipoingia kwa Pahali patakatifu pa patakatifu, huduma ndani <strong>ya</strong> chumba cha kwanza<br />

ulimalizika. Vivyo wakati Kristo alipoingia kwa Pahali patakatifu pa patakatifu kufan<strong>ya</strong> kazi<br />

<strong>ya</strong> kumaliza upatanisho, alimaliza huduma <strong>ya</strong>ke katika chumba cha kwanza. Ndipo huduma<br />

katika chumba cha pili ikaanza. Kristo ametimiza tu sehemu moja <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke kama<br />

mwombezi wetu, ili kuingia kwa sehemu ingine <strong>ya</strong> kazi. Alikuwa akiendelea kutetea damu<br />

<strong>ya</strong>ke mbele <strong>ya</strong> Baba kwa ajili <strong>ya</strong> wenye zambi.<br />

Kwa hivi inakuwa kweli kwamba mlango ule wa tumaini na rehema ambazo watu<br />

walikuwa nazo kwa miaka 1800 walipata ruhusa <strong>ya</strong> kukaribia kwa Mungu ulifungwa, mlango<br />

mwingine ukafunguliwa. Msamaha wa zambi ukatolewa kwa njia <strong>ya</strong> uombezi wa Kristo ndani<br />

<strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa patakatifu mno,. Hapo kukingali na “mlango wazi” kwa Pahali<br />

patakatifu pa mbinguni, mahali Kristo alikuwa akifan<strong>ya</strong> kazi kwa ajili <strong>ya</strong> mwenye zambi.<br />

Sasa ikaonekana matumizi <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le maneno <strong>ya</strong> Kristo katika Ufunuo, <strong>ya</strong>nayosemwa<br />

kuelekea wakati huu kabisa: “Maneno ha<strong>ya</strong> anasema aliye mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na<br />

ufunguo wa Daudi; naye anayefungua wala hapana mtu anayefunga, naye anafunga wala<br />

hapana mtu anayefungua .... Tazama, nimekupa mlango wazi mbele <strong>ya</strong>ko na hakuna mtu<br />

anayeweza kuufunga.” Ufunuo 3:7,8.<br />

Wale ambao kwa imani wanamufuata Yesu katika kazi kubwa <strong>ya</strong> upatanisho wanapokea<br />

faida <strong>ya</strong> uombezi, huku wale wanaokataa nuru hawatapata faida. Wayuda waliokataa kuamini<br />

Kristo kama Mwokozi hawakuweza kupokea rehema kwake. Wakati Yesu alipopanda<br />

mbinguni aliingia Pahali patakatifu pa mbinguni kutoa mibaraka <strong>ya</strong> upatanisho wake juu <strong>ya</strong><br />

wanafunzi wake, Wayuda waliachwa katika giza kubwa kabisa kwa kuendelea na kafara zao<br />

zabure na sadaka. Mlango ambao watu walipata mbele kwa kupita na kumukaribia Mungu<br />

haukuwa wazi tena. Wayuda walikataa kumutafuta kwa njia moja tungaliweza kupatikana, ni<br />

kwa njia <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa mbinguni.<br />

176

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!