Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Katika mfano wa Matayo 22 hukumu inafanyika mbele <strong>ya</strong> arusi. Mbele <strong>ya</strong> arusi mfalme<br />
anaingia kuona kama wageni wote wamevikwa mavazi <strong>ya</strong> arusi, vazi safi (lisilokuwa na<br />
mawaa) la tabia iliyosafishwa katika damu <strong>ya</strong> Mwana-Kondoo. Ufunuo 7:14, Wote ambao<br />
kwa uchunguzi wameonekana kuwa wamevaa vazi la arusi wamekubaliwa na kuhesabiwa<br />
haki <strong>ya</strong> kupata sehemu katika ufalme wa Mungu na kukaa kwa kiti chake cha enzi. Kazi hii<br />
<strong>ya</strong> uchunguzi wa tabia ni hukumu <strong>ya</strong> uchunguzi, kazi <strong>ya</strong> mwisho ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu<br />
kule mbinguni.<br />
Wakati mambo <strong>ya</strong> wale katika vizazi vyote waliokubali Kristo <strong>ya</strong>napokwisha<br />
kuchunguzwa na kukatwa, ndipo rehema itafungwa na mlango wa rehema utafungwa. Kwa<br />
hivyo kwa maneno mafupi <strong>ya</strong> hukumu, “Nao waliokuwa ta<strong>ya</strong>ri waliingia pamoja naye kwa<br />
arusi: mlango ukafungwa,” tumechukuliwa chini kwa wakati ambao kazi kubwa kwa ajili <strong>ya</strong><br />
wokovu wa mwanadamu itakapokamilika.<br />
Katika Pahali patakatifu pa kidunia, wakati kuhani mkubwa kwa Siku <strong>ya</strong> Upatanisho<br />
alipoingia kwa Pahali patakatifu pa patakatifu, huduma ndani <strong>ya</strong> chumba cha kwanza<br />
ulimalizika. Vivyo wakati Kristo alipoingia kwa Pahali patakatifu pa patakatifu kufan<strong>ya</strong> kazi<br />
<strong>ya</strong> kumaliza upatanisho, alimaliza huduma <strong>ya</strong>ke katika chumba cha kwanza. Ndipo huduma<br />
katika chumba cha pili ikaanza. Kristo ametimiza tu sehemu moja <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong>ke kama<br />
mwombezi wetu, ili kuingia kwa sehemu ingine <strong>ya</strong> kazi. Alikuwa akiendelea kutetea damu<br />
<strong>ya</strong>ke mbele <strong>ya</strong> Baba kwa ajili <strong>ya</strong> wenye zambi.<br />
Kwa hivi inakuwa kweli kwamba mlango ule wa tumaini na rehema ambazo watu<br />
walikuwa nazo kwa miaka 1800 walipata ruhusa <strong>ya</strong> kukaribia kwa Mungu ulifungwa, mlango<br />
mwingine ukafunguliwa. Msamaha wa zambi ukatolewa kwa njia <strong>ya</strong> uombezi wa Kristo ndani<br />
<strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa patakatifu mno,. Hapo kukingali na “mlango wazi” kwa Pahali<br />
patakatifu pa mbinguni, mahali Kristo alikuwa akifan<strong>ya</strong> kazi kwa ajili <strong>ya</strong> mwenye zambi.<br />
Sasa ikaonekana matumizi <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le maneno <strong>ya</strong> Kristo katika Ufunuo, <strong>ya</strong>nayosemwa<br />
kuelekea wakati huu kabisa: “Maneno ha<strong>ya</strong> anasema aliye mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na<br />
ufunguo wa Daudi; naye anayefungua wala hapana mtu anayefunga, naye anafunga wala<br />
hapana mtu anayefungua .... Tazama, nimekupa mlango wazi mbele <strong>ya</strong>ko na hakuna mtu<br />
anayeweza kuufunga.” Ufunuo 3:7,8.<br />
Wale ambao kwa imani wanamufuata Yesu katika kazi kubwa <strong>ya</strong> upatanisho wanapokea<br />
faida <strong>ya</strong> uombezi, huku wale wanaokataa nuru hawatapata faida. Wayuda waliokataa kuamini<br />
Kristo kama Mwokozi hawakuweza kupokea rehema kwake. Wakati Yesu alipopanda<br />
mbinguni aliingia Pahali patakatifu pa mbinguni kutoa mibaraka <strong>ya</strong> upatanisho wake juu <strong>ya</strong><br />
wanafunzi wake, Wayuda waliachwa katika giza kubwa kabisa kwa kuendelea na kafara zao<br />
zabure na sadaka. Mlango ambao watu walipata mbele kwa kupita na kumukaribia Mungu<br />
haukuwa wazi tena. Wayuda walikataa kumutafuta kwa njia moja tungaliweza kupatikana, ni<br />
kwa njia <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa mbinguni.<br />
176