You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
“Tazama, Bwana Arusi Anakuja”<br />
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Kuja kwa Kristo kama Kuhani Mkuu kwa Pahali patakatifu pa patakatifu kwa usafisho wa<br />
Pahali patakatifu (Danieli 8:14), kuja kwa Mwana wa watu kwa Mzee wa Siku (Danieli 7:13),<br />
na kuja kwa Bwana katika hekalu <strong>ya</strong>ke (Malaki 3:11) ni matukio <strong>ya</strong> namna moja. Jambo hili<br />
pia ni mfano wa kuja kwa bwana arusi kwa ndoa katika mfano wa mabikira kumi wa Matayo<br />
25.<br />
Katika mfano, wakati bwana arusi alipofika, “nao waliokuwa ta<strong>ya</strong>ri waliingia pamoja naye<br />
kwa arusi.” Kuja huku kwa bwana arusi kulifanyika mbele <strong>ya</strong> arusi. Arusi ni mfano wa<br />
kupokelewa na Kristo katika ufalme wake. Mji Mtakatifu, Yerusalema Mp<strong>ya</strong>, mji mkubwa<br />
(capitale) ambao ni mfano wa ufalme, unaitwa “bibi arusi, mke wa Mwana-kondoo.”<br />
Akasema malaika kwa Yoane: “Kuja hapa, nami nitakuonyesha yule bibi-arusi, mke wa<br />
Mwana-Kondoo.” “Akanichukua katika roho,“nabii asema, “akanionyesha ule mji mkubwa,<br />
Yerusalema mtakatifu, ukishuka toka mbinguni, kwa Mungu.” Ufunuo 21:9,10.<br />
Bibi-arusi ni mfano wa Mji Mtakatifu, na mabikira waliotoka kukutana na bwana arusi ni<br />
mfano wa kanisa. Katika Ufunuo watu wa Mungu wanaitwa wageni kwa chakula cha arusi.<br />
Kama wageni, hawawezi kuwa bibi-arusi. Kristo atapokea kutoka kwa Mzee wa Siku katika<br />
mbingu “mamlaka, na utukufu, na ufalme.” Yerusalema Mp<strong>ya</strong>, mji mkubwa wa ufalme wake,<br />
“umewekwa ta<strong>ya</strong>ri, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mme wake.” Anapokwisha<br />
kupokea ufalme, atakuja kama Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana kwa ajili <strong>ya</strong><br />
ukombozi wa watu wake watakaoshiriki kwa chakula cha arusi <strong>ya</strong> Mwana-Kondoo. Danieli<br />
7:14; Ufunuo 21:2.<br />
Wanaongoja Bwana Wao<br />
Tangazo “Tazama, bwana arusi anakuja” liliongoza maelfu <strong>ya</strong> watu kutazamia kuja kwa<br />
Bwana mara moja. Kwa wakati ulioagizwa Bwana-arusi akaja, si duniani, bali kwa Mzee wa<br />
Siku katika mbingu, kwa arusi, kupokelewa kwa ufalme wake. “Nao waliokuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />
waliingia pamoja naye kwa arusi.” Hawakupashwa kuwa pale binafsi, kwa sababu wanakuwa<br />
duniani. Wafuasi wa Kristo wanapashwa kungojea Bwana wao atakaporudi kutoka arusini.<br />
Luka 12:36. Lakini wanapashwa kufahamu kazi <strong>ya</strong>ke na kumfuata kwa imani. Kwa nia hii<br />
walisemwa kwenda kwa arusi.<br />
Katika mfano, wale waliokuwa na mafuta katika taa zao wakaingia kwa arusi. Wale<br />
ambao, katika usiku wa jaribu la uchungu, waliongoja kwa uvumilivu, wakichunguza Biblia<br />
kwa ajili <strong>ya</strong> nuru wazi zaidi--hawa waliona ukweli juu <strong>ya</strong> Pahali patakatifu katika mbingu na<br />
badiliko la huduma <strong>ya</strong> Mwokozi. Kwa imani wakamfuata katika kazi <strong>ya</strong>ke ndani <strong>ya</strong> Pahali<br />
patakatifu juu. Na wote waliokubali kweli zile zile, kumfuata Kristo kwa imani anavyotenda<br />
kazi <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong> upatanisho, wanaingia kwa arusi.<br />
Kufunga Kazi ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu<br />
175