12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Tazama, Bwana Arusi Anakuja”<br />

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kuja kwa Kristo kama Kuhani Mkuu kwa Pahali patakatifu pa patakatifu kwa usafisho wa<br />

Pahali patakatifu (Danieli 8:14), kuja kwa Mwana wa watu kwa Mzee wa Siku (Danieli 7:13),<br />

na kuja kwa Bwana katika hekalu <strong>ya</strong>ke (Malaki 3:11) ni matukio <strong>ya</strong> namna moja. Jambo hili<br />

pia ni mfano wa kuja kwa bwana arusi kwa ndoa katika mfano wa mabikira kumi wa Matayo<br />

25.<br />

Katika mfano, wakati bwana arusi alipofika, “nao waliokuwa ta<strong>ya</strong>ri waliingia pamoja naye<br />

kwa arusi.” Kuja huku kwa bwana arusi kulifanyika mbele <strong>ya</strong> arusi. Arusi ni mfano wa<br />

kupokelewa na Kristo katika ufalme wake. Mji Mtakatifu, Yerusalema Mp<strong>ya</strong>, mji mkubwa<br />

(capitale) ambao ni mfano wa ufalme, unaitwa “bibi arusi, mke wa Mwana-kondoo.”<br />

Akasema malaika kwa Yoane: “Kuja hapa, nami nitakuonyesha yule bibi-arusi, mke wa<br />

Mwana-Kondoo.” “Akanichukua katika roho,“nabii asema, “akanionyesha ule mji mkubwa,<br />

Yerusalema mtakatifu, ukishuka toka mbinguni, kwa Mungu.” Ufunuo 21:9,10.<br />

Bibi-arusi ni mfano wa Mji Mtakatifu, na mabikira waliotoka kukutana na bwana arusi ni<br />

mfano wa kanisa. Katika Ufunuo watu wa Mungu wanaitwa wageni kwa chakula cha arusi.<br />

Kama wageni, hawawezi kuwa bibi-arusi. Kristo atapokea kutoka kwa Mzee wa Siku katika<br />

mbingu “mamlaka, na utukufu, na ufalme.” Yerusalema Mp<strong>ya</strong>, mji mkubwa wa ufalme wake,<br />

“umewekwa ta<strong>ya</strong>ri, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mme wake.” Anapokwisha<br />

kupokea ufalme, atakuja kama Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana kwa ajili <strong>ya</strong><br />

ukombozi wa watu wake watakaoshiriki kwa chakula cha arusi <strong>ya</strong> Mwana-Kondoo. Danieli<br />

7:14; Ufunuo 21:2.<br />

Wanaongoja Bwana Wao<br />

Tangazo “Tazama, bwana arusi anakuja” liliongoza maelfu <strong>ya</strong> watu kutazamia kuja kwa<br />

Bwana mara moja. Kwa wakati ulioagizwa Bwana-arusi akaja, si duniani, bali kwa Mzee wa<br />

Siku katika mbingu, kwa arusi, kupokelewa kwa ufalme wake. “Nao waliokuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />

waliingia pamoja naye kwa arusi.” Hawakupashwa kuwa pale binafsi, kwa sababu wanakuwa<br />

duniani. Wafuasi wa Kristo wanapashwa kungojea Bwana wao atakaporudi kutoka arusini.<br />

Luka 12:36. Lakini wanapashwa kufahamu kazi <strong>ya</strong>ke na kumfuata kwa imani. Kwa nia hii<br />

walisemwa kwenda kwa arusi.<br />

Katika mfano, wale waliokuwa na mafuta katika taa zao wakaingia kwa arusi. Wale<br />

ambao, katika usiku wa jaribu la uchungu, waliongoja kwa uvumilivu, wakichunguza Biblia<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> nuru wazi zaidi--hawa waliona ukweli juu <strong>ya</strong> Pahali patakatifu katika mbingu na<br />

badiliko la huduma <strong>ya</strong> Mwokozi. Kwa imani wakamfuata katika kazi <strong>ya</strong>ke ndani <strong>ya</strong> Pahali<br />

patakatifu juu. Na wote waliokubali kweli zile zile, kumfuata Kristo kwa imani anavyotenda<br />

kazi <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong> upatanisho, wanaingia kwa arusi.<br />

Kufunga Kazi ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu<br />

175

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!