12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kufanyika pale wa vitabu v<strong>ya</strong> ukumbusho kuonyesha ni wanani, kwa njia <strong>ya</strong> toba na imani<br />

katika Kristo, wanaostahili kupata faida <strong>ya</strong> upatanisho wake. Basi utakaso wa Pahali<br />

patakatifu kwa hivi unahusika na kazi <strong>ya</strong> uchunguzi -kazi <strong>ya</strong> hukumu -<strong>ya</strong> kutangulia kuja kwa<br />

Kristo, kwa maana wakati atakuja, na mushahara wake ni pamoja naye kulipa kila mutu kama<br />

ilivyo kazi <strong>ya</strong>ke. Ufunuo 22:12.<br />

Kwa hivyo wale waliofuata nuru <strong>ya</strong> neno la unabii waliona kwamba, badala <strong>ya</strong> kuja<br />

duniani kwa mwisho wa siku 2300 katika mwaka 1844, Kristo aliingia kwa Pahali patakatifu<br />

pa patakatifu mno pa mbinguni kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong> upatanisho wa kutangulia kuja<br />

kwake.<br />

Wakati Kristo katika uwezo wa damu <strong>ya</strong>ke anapoondoa zambi za watu wake kutoka kwa<br />

Pahali patakatifu pa mbinguni kwa mwisho wa huduma <strong>ya</strong>ke, ataziweka juu <strong>ya</strong> Shetani,<br />

anayepashwa kupata azabu <strong>ya</strong> mwisho. Mbuzi wa Azazeli akatumwa mbali katika inchi<br />

isiyokaliwa, hawezi kuja tena katika makutano <strong>ya</strong> Waisraeli. Ndivyo Shetani<br />

atakavyoangamizwa milele mbele <strong>ya</strong> Mungu na watu wake, na ataondolewa maisha katika<br />

uharibifu wa mwisho wa zambi na wenye zambi.<br />

173

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!