Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
juu <strong>ya</strong> kichwa cha mbuzi wa Azazeli, yeye katika mufano akahamisha zambi hizi zote kutoka<br />
kwake mwenyewe hata kwa mbuzi. Ndipo mbuzi akazichukua mbali, na ziliangaliwa kwamba<br />
zilitengwa milele kutoka kwa watu.<br />
Uhakika wa Mbinguni<br />
Kitu kilichotendwa katika mufano wa huduma <strong>ya</strong> Pahali patakatifu pa kidunia, inatendwa<br />
katika ukweli katika Pahali patakatifu pa mbinguni. Baada <strong>ya</strong> kupanda kwake mbinguni<br />
Mwokozi wetu akaanza kazi <strong>ya</strong>ke kama kuhani mkuu wetu: ” Kwa sababu Kristo hakuingia<br />
katika Pahali patakatifu palipofanywa kwa mikono, ndio mufano wa kweli, lakini aliingia<br />
mbinguni zenyewe, aonekane sasa mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa ajili yetu.” Waebrania 9:24.<br />
Utumishi wa kuhani katika chumba cha kwanza, “ndani <strong>ya</strong> pazia” inayotenga Pahali<br />
patakatifu pa patakatifu kwa behewa (uwanja) <strong>ya</strong> inje, ni mufano wa kazi ambayo Kristo<br />
alianza kisha wakati alipo panda mbinguni. Kuhani katika utumishi wa kila siku akaonyesha<br />
mbele <strong>ya</strong> Mungu damu <strong>ya</strong> sadaka <strong>ya</strong> zambi, vilevile uvumba ambao unapanda pamoja na<br />
maombi <strong>ya</strong> wa Israeli. Kwa hivyo Kristo anaombea damu <strong>ya</strong>ke mbele <strong>ya</strong> Baba kwa ajili <strong>ya</strong><br />
wenye zambi na anaonyesha mbele <strong>ya</strong>ke, pamoja na manukato <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong>ke mwenyewe,<br />
maombi <strong>ya</strong> waamini waliotubu. Hiyo ndiyo iliyokuwa huduma katika chumba cha kwanza<br />
cha Pahali patakatifu katika mbingu.<br />
Huko imani <strong>ya</strong> wanafunzi wa Kristo wakamfuata wakati alipokuwa akipanda. Hapa<br />
matumaini <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>likuwa, “tumaini gani tuliyo nayo kama nanga <strong>ya</strong> roho, yote mbili kweli na<br />
kuwa imara, na inayoingia ndani <strong>ya</strong> pazia, pahali alipoingia Yesu kwa ajili yetu, mutangulizi<br />
wetu, amekuwa kuhani mkubwa kwa milele.” “Kwa damu <strong>ya</strong>ke mwenyewe aliingia mara<br />
moja tu katika Pahali patakatifu alikwisha kupata ukombozi wa milele kwa ajili yetu.”<br />
Waebrania 6:19,20; 9:12.<br />
Kwa mda wa karne <strong>ya</strong> kumi na mnane kazi hii ikaendelea katika chumba cha kwanza cha<br />
Pahali patakatifu. Damu <strong>ya</strong> Kristo ikahakikisha rehema na ukubali wa Baba kwa ajili <strong>ya</strong><br />
waamini waliotubu, lakini zambi zao zingali zikidumu kwa vitabu v<strong>ya</strong> ukumbusho. Kama<br />
katika huduma <strong>ya</strong> mfano huko kulikuwa na kazi <strong>ya</strong> upatanisho kwa mwisho wa mwaka, kwa<br />
hivyo kabla <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> Kristo kwa ajili <strong>ya</strong> watu kumalizika kunakuwa kazi <strong>ya</strong> upatanisho kwa<br />
ajili <strong>ya</strong> ondoleo la zambi kwa Pahali patakatifu. Kazi hii ilianza wakati siku 2300<br />
zilipokwisha. Kwa wakati ule Kuhani wetu Mkubwa akaingia Pahali patakatifu pa patakatifu<br />
kwa kusafisha Pahali patakatifu.<br />
Kazi <strong>ya</strong> Hukumu<br />
Katika agano jip<strong>ya</strong> zambi za mwenye kutubu zinawekwa kwa imani juu <strong>ya</strong> Kristo na<br />
kuhamishwa kweli kwa Pahali patakatifu pa mbinguni. Na kama kusafishwa kwa mfano kwa<br />
Pahali patakatifu pa kudunia kulifanywa na ondoleo la zambi ambazo zilipachafua, vivyo<br />
hivyo utakaso wa sasa wa mbinguni unatimizwa kwa ondoleo, ao kufutwa, kwa zambi<br />
zilizoandikwa pale. Lakini kabla <strong>ya</strong> jambo hili kuweza kufanyika uchunguzi unapashwa<br />
172