12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Baada <strong>ya</strong> kuangamizwa kwa hekalu, mara mji wote ukawa mikononi mwa Waroma.<br />

Waongozi wa Wa<strong>ya</strong>hudi wakaacha minara <strong>ya</strong>o isiyoshindika. Alipokwisha kuitazama na<br />

mshangao, akasema kwamba ni Mungu mwenyewe aliyeitoa mikononi mwake; kwani hakuna<br />

mashini za vita, hata zenye nguvu, zingeweza kushinda minara kubwa sana. Mji pamoja na<br />

hekalu vilibomolewa tangu msingi, na mahali ambapo nyumba takatifu ilikuwa imesimama<br />

“palilimwa kama shamba linavyolimwa” Yeremia 26:18. Zaidi <strong>ya</strong> milioni wakaangamia;<br />

waliookoka wakapelekwa kama mateka, wakauzishwa kama watumwa, wakakokotwa chini<br />

hata Roma, wakatupwa kwa wan<strong>ya</strong>ma wa pori ndani <strong>ya</strong> viwanda v<strong>ya</strong> michezo, ao<br />

kutawanywa mahali pote kama watembezi wasio na makao.<br />

Wa<strong>ya</strong>hudi walijaza wao wenyewe kikombe cha kisasi. Kuangamizwa kwa taifa lao na<br />

maba<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>liyofuata kutawanyika kwao, ilikuwa ndiyo kuvuna mavuno ambayo mikono<br />

<strong>ya</strong>o yenyewe ilipanda “O, Israel, umejiharibu wewe mwenyewe “kwa maana umeanguka<br />

sababu <strong>ya</strong> uovu wako”. Hosea 13:9; 14:1. Mateso <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>naonyeshwa mara kwa mara kama<br />

azabu iliwafikia <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> Mungu. Ni kwa sababu hiyo mdanganyi mkuu hujitahidi<br />

kuficha kazi <strong>ya</strong>ke mwenyewe. Kwa kukataa sababu <strong>ya</strong> hukumu kwa upendo wa Mungu na<br />

rehema, Wa<strong>ya</strong>hudi walilazimisha ulinzi wa Mungu kuondolewa kwao.<br />

Hatuwezi kujua namna gani tunapashwa kushukuru Kristo kwa ajili <strong>ya</strong> amani na ulinzi<br />

tunaofurahia. Ni nguvu <strong>ya</strong> Mungu inayozuia wanadamu kuanguka kabisa katika mikono <strong>ya</strong><br />

Shetani. Waasi na wasio na shukrani wanakuwa na sababu kubwa <strong>ya</strong> kushukuru Mungu kwa<br />

ajili <strong>ya</strong> rehema <strong>ya</strong>ke. Lakini wakati watu wanapo pitisha mipaka <strong>ya</strong> uvumilivu wa Mungu,<br />

ulinzi huondolewa. Mungu hasimame kama mwuaji wa mhukumu juu <strong>ya</strong> kosa. Huacha<br />

wanaokataa rehema zake kuvuna walichopanda. Kila mushale wa nuru uliokataliwa ni mbegu<br />

iliyopandwa inayozaa lazima mavuno <strong>ya</strong>ke. Roho <strong>ya</strong> Mungu, ikipingwa kwa bidii, mwishowe<br />

itaondolewa. Kwa hiyo, hakuna tena nguvu <strong>ya</strong> kuzuia tamaa mba<strong>ya</strong> za roho, hakuna ulinzi<br />

kwa uovu na uadui wa Shetani.<br />

Uharibifu wa Yerusalema ni onyo la kutisha kwa wote wanaopinga maombezi <strong>ya</strong> rehema<br />

za Mungu. Unabii wa Mwokozi juu <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> Yerusalema inakuwa na utimilizo<br />

mwengine. Katika hukumu <strong>ya</strong> mji muchaguliwa tunaona maangamizo <strong>ya</strong> ulimwengu ambao<br />

ulikataa rehema za Mungu na kukan<strong>ya</strong>ga sheria <strong>ya</strong>ke. Habari <strong>ya</strong> shida <strong>ya</strong> mwanadamu<br />

ambayo dunia imeshuhudia ni <strong>ya</strong> giza. Matokeo <strong>ya</strong> kukataa mamlaka <strong>ya</strong> Mungu ni <strong>ya</strong><br />

kuogopesha. Lakini mambo <strong>ya</strong> giza zaidi <strong>ya</strong>naonyeshwa katika ufunuo <strong>ya</strong> wakati ujao. Wakati<br />

ulinzi wa Roho <strong>ya</strong> Mungu utaondolewa kabisa, haitawezekana tena kuzuia kuripuka kwa<br />

tamaa <strong>ya</strong> kibinadamu na hasira <strong>ya</strong> uovu, ulimwengu utashika, kwa namna isivyofanyika<br />

mbele, matokeo <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Katika siku ile, kama katika uharibifu wa Yerusalema, watu wa Mungu watakombolewa.<br />

Tazama lsa<strong>ya</strong> 4:3; Matayo 24:30,31. Kristo atakuja mara <strong>ya</strong> pili kukusan<strong>ya</strong> waaminifu wake<br />

kwake mwenyewe. “Halafu kabila zote; na mataifa yote <strong>ya</strong> dunia <strong>ya</strong>taomboleza, nao<br />

watamuona Mwana wa watu akija katika mawingu <strong>ya</strong> mbingu pamoja na uwezo na utukufu<br />

10

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!