You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Baada <strong>ya</strong> kuangamizwa kwa hekalu, mara mji wote ukawa mikononi mwa Waroma.<br />
Waongozi wa Wa<strong>ya</strong>hudi wakaacha minara <strong>ya</strong>o isiyoshindika. Alipokwisha kuitazama na<br />
mshangao, akasema kwamba ni Mungu mwenyewe aliyeitoa mikononi mwake; kwani hakuna<br />
mashini za vita, hata zenye nguvu, zingeweza kushinda minara kubwa sana. Mji pamoja na<br />
hekalu vilibomolewa tangu msingi, na mahali ambapo nyumba takatifu ilikuwa imesimama<br />
“palilimwa kama shamba linavyolimwa” Yeremia 26:18. Zaidi <strong>ya</strong> milioni wakaangamia;<br />
waliookoka wakapelekwa kama mateka, wakauzishwa kama watumwa, wakakokotwa chini<br />
hata Roma, wakatupwa kwa wan<strong>ya</strong>ma wa pori ndani <strong>ya</strong> viwanda v<strong>ya</strong> michezo, ao<br />
kutawanywa mahali pote kama watembezi wasio na makao.<br />
Wa<strong>ya</strong>hudi walijaza wao wenyewe kikombe cha kisasi. Kuangamizwa kwa taifa lao na<br />
maba<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>liyofuata kutawanyika kwao, ilikuwa ndiyo kuvuna mavuno ambayo mikono<br />
<strong>ya</strong>o yenyewe ilipanda “O, Israel, umejiharibu wewe mwenyewe “kwa maana umeanguka<br />
sababu <strong>ya</strong> uovu wako”. Hosea 13:9; 14:1. Mateso <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>naonyeshwa mara kwa mara kama<br />
azabu iliwafikia <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> Mungu. Ni kwa sababu hiyo mdanganyi mkuu hujitahidi<br />
kuficha kazi <strong>ya</strong>ke mwenyewe. Kwa kukataa sababu <strong>ya</strong> hukumu kwa upendo wa Mungu na<br />
rehema, Wa<strong>ya</strong>hudi walilazimisha ulinzi wa Mungu kuondolewa kwao.<br />
Hatuwezi kujua namna gani tunapashwa kushukuru Kristo kwa ajili <strong>ya</strong> amani na ulinzi<br />
tunaofurahia. Ni nguvu <strong>ya</strong> Mungu inayozuia wanadamu kuanguka kabisa katika mikono <strong>ya</strong><br />
Shetani. Waasi na wasio na shukrani wanakuwa na sababu kubwa <strong>ya</strong> kushukuru Mungu kwa<br />
ajili <strong>ya</strong> rehema <strong>ya</strong>ke. Lakini wakati watu wanapo pitisha mipaka <strong>ya</strong> uvumilivu wa Mungu,<br />
ulinzi huondolewa. Mungu hasimame kama mwuaji wa mhukumu juu <strong>ya</strong> kosa. Huacha<br />
wanaokataa rehema zake kuvuna walichopanda. Kila mushale wa nuru uliokataliwa ni mbegu<br />
iliyopandwa inayozaa lazima mavuno <strong>ya</strong>ke. Roho <strong>ya</strong> Mungu, ikipingwa kwa bidii, mwishowe<br />
itaondolewa. Kwa hiyo, hakuna tena nguvu <strong>ya</strong> kuzuia tamaa mba<strong>ya</strong> za roho, hakuna ulinzi<br />
kwa uovu na uadui wa Shetani.<br />
Uharibifu wa Yerusalema ni onyo la kutisha kwa wote wanaopinga maombezi <strong>ya</strong> rehema<br />
za Mungu. Unabii wa Mwokozi juu <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong> Yerusalema inakuwa na utimilizo<br />
mwengine. Katika hukumu <strong>ya</strong> mji muchaguliwa tunaona maangamizo <strong>ya</strong> ulimwengu ambao<br />
ulikataa rehema za Mungu na kukan<strong>ya</strong>ga sheria <strong>ya</strong>ke. Habari <strong>ya</strong> shida <strong>ya</strong> mwanadamu<br />
ambayo dunia imeshuhudia ni <strong>ya</strong> giza. Matokeo <strong>ya</strong> kukataa mamlaka <strong>ya</strong> Mungu ni <strong>ya</strong><br />
kuogopesha. Lakini mambo <strong>ya</strong> giza zaidi <strong>ya</strong>naonyeshwa katika ufunuo <strong>ya</strong> wakati ujao. Wakati<br />
ulinzi wa Roho <strong>ya</strong> Mungu utaondolewa kabisa, haitawezekana tena kuzuia kuripuka kwa<br />
tamaa <strong>ya</strong> kibinadamu na hasira <strong>ya</strong> uovu, ulimwengu utashika, kwa namna isivyofanyika<br />
mbele, matokeo <strong>ya</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Shetani.<br />
Katika siku ile, kama katika uharibifu wa Yerusalema, watu wa Mungu watakombolewa.<br />
Tazama lsa<strong>ya</strong> 4:3; Matayo 24:30,31. Kristo atakuja mara <strong>ya</strong> pili kukusan<strong>ya</strong> waaminifu wake<br />
kwake mwenyewe. “Halafu kabila zote; na mataifa yote <strong>ya</strong> dunia <strong>ya</strong>taomboleza, nao<br />
watamuona Mwana wa watu akija katika mawingu <strong>ya</strong> mbingu pamoja na uwezo na utukufu<br />
10