Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
mufano kuzihamisha kutoka kwake mwenyewe hata kwa kafara isiyokuwa na kosa. N<strong>ya</strong>ma<br />
basi alichinjwa. “Kwa kuwa uhai wa mwili ni katika damu.” Walawi 17:11. Sheria <strong>ya</strong> Mungu<br />
iliyovunjwa ilidai uhai wa mkosaji. Damu, inayokuwa mufano wa uhai wa mwenye zambi<br />
ambaye kosa lake huchukuliwa kwa kafara (mn<strong>ya</strong>ma), ilibebwa na kuhani katika Pahali<br />
patakatifu na kunyunyizwa mbele <strong>ya</strong> pazia, nyuma ambapo palikuwa na sheria ambayo<br />
mwenye zambi aliyovunja. Kwa ibada hii zambi ikahamishwa katika mfano hata Pahali<br />
patakatifu. Mara zingine damu haikupelekwa katika Pahali patakatifu, lakini n<strong>ya</strong>ma ikaliwa<br />
na makuhani. Ibada mbili hizo zilikuwa mufano wa uhamisho wa zambi kutoka kwa mwenye<br />
kutubu hata kwa Pahali patakatifu.<br />
Kwa namna hiyo kazi iliendelea kufanyika muda wa mwaka wote mzima. Zambi za Israeli<br />
zilikuwa zikihamishwa kwa Pahali patakatifu, na kazi <strong>ya</strong> kipekee ikawa <strong>ya</strong> lazima kwa ajili<br />
<strong>ya</strong> ondoleo lao la zambi.<br />
Siku Kuu <strong>ya</strong> Upatanisho<br />
Mara moja kwa mwaka, kwa Siku Kuu <strong>ya</strong> upatanisho, kuhani akaingia katika Pahali<br />
patakatifu pa patakatifu kwa ajili <strong>ya</strong> kutakaswa kwa Pahali patakatifu. Wana wawili wa mbuzi<br />
wakaletwa na kura ikapigwa, “kura moja ni <strong>ya</strong> Bwana na kura ingine <strong>ya</strong> Azazeli.” Walawi<br />
16:8. Mbuzi wa Bwana akachinjwa kama sadaka <strong>ya</strong> zambi kwa ajili <strong>ya</strong> watu, na kuhani<br />
alipashwa kuleta damu ndani <strong>ya</strong> pazia na kuinyunyiza mbele <strong>ya</strong> kiti cha rehema na pia juu <strong>ya</strong><br />
mazabahu <strong>ya</strong> uvumba mbele <strong>ya</strong> pazia.<br />
“Na Haruni ataweka mikono <strong>ya</strong>ke miwili juu <strong>ya</strong> kichwa cha yule mbuzi aliye hai, na kukiri<br />
juu <strong>ya</strong>ke maovu yote <strong>ya</strong> wana wa Israeli na makosa <strong>ya</strong>o yote, hata zambi zao zote; naye<br />
ataziweka zote juu <strong>ya</strong> kichwa cha yule mbuzi aliye hai na kumutuma jangwani kwa mukono<br />
wa mutu aliye ta<strong>ya</strong>ri, na yule mbuzi atachukua juu <strong>ya</strong>ke maovu <strong>ya</strong>o yote mupaka inchi isiyo<br />
na watu; ataacha mbuzi kwenda zake jangwani.” Walawi 16:21,22. Mbuzi wa Azazeli<br />
hakurudi tena katika kambi la Israeli.<br />
Ibada ilikusudiwa kwa kuvuta Waisraeli kwa utakatifu wa Mungu na machukio <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong><br />
zambi. Kila mutu aliombwa kuhuzunisha roho <strong>ya</strong>ke wakati kazi hii <strong>ya</strong> upatanisho ilipokuwa<br />
ikiendelea. Kazi zote zikawekwa kando, na Israeli alipashwa kutumia siku yenyewe katika<br />
maombi, kufunga, na kuchunguza moyo.<br />
Kiti kingine kilikubaliwa baadala <strong>ya</strong> mwenye zambi, lakini zambi hazikufutwa kwa damu<br />
<strong>ya</strong> kafara (mn<strong>ya</strong>ma); zilihamishwa kwa Pahali patakatifu. Kwa sadaka <strong>ya</strong> damu mwenye<br />
zambi akatambua mamlaka <strong>ya</strong> sheria, akatubu kosa lake, na akaonyesha imani <strong>ya</strong>ke katika<br />
Mukombozi atakaye kuja; lakini hakufunguliwa kabisa kwa hukumu <strong>ya</strong> sheria. Kwa Siku <strong>ya</strong><br />
Upatanisho kuhani mkuu, anapokwisha kupata sadaka kwa makutano, akaenda ndani <strong>ya</strong><br />
Pahali patakatifu pa patakatifu. Akanyunyiza damu <strong>ya</strong> sadaka juu <strong>ya</strong> kiti cha rehema, mara<br />
moja juu <strong>ya</strong> sheria, kufan<strong>ya</strong> malipizi kwa madai <strong>ya</strong>ke. Halafu, kama mwombezi, akachukua<br />
zambi juu <strong>ya</strong>ke mwenyewe na kuzibeba kutoka kwa Pahali patakatifu. Kuweka mukono wake<br />
171