12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

<strong>ya</strong> mbinguni na ukombozi wa mwanadamu <strong>ya</strong>lifundishwa na Pahali patakatifu pa kidunia na<br />

huduma zake.<br />

Vyumba Viwili<br />

Nafasi takatifu za mahali patakatifu mbinguni zinafananishwa na vyumba viwili katika<br />

Pahali patakatifu duniani. Yohana alijaliwa na maono <strong>ya</strong> hekalu <strong>ya</strong> Mungu mbinguni.<br />

Alitazama kule “taa saba za moto ziliwaka mbele <strong>ya</strong> kiti cha enzi.” Aliona malaika “mwenye<br />

chungu cha zahabu <strong>ya</strong> uvumba; akapewa uvumba mwingi, ili autie pamoja na maombi <strong>ya</strong><br />

watakatifu wote juu <strong>ya</strong> mazabahu <strong>ya</strong> zahabu iliyo mbele <strong>ya</strong> kiti cha enzi.” Ufunuo 4:5; 8:3.<br />

Hapa nabii akaona chumba cha kwanza cha Pahali patakatifu pa mbinguni; na aliona “taa saba<br />

za moto” na “mazabahu <strong>ya</strong> zahabu”, iliyofananishwa kwa kinara cha zahabu na mazabahu <strong>ya</strong><br />

uvumba katika Pahali patakatifu pa dunia.<br />

Tena ‘’hekalu la Mungu likafunguliwa”, na akatazama ndani <strong>ya</strong> pazia juu <strong>ya</strong> patakatifu pa<br />

patakatifu. Na akaona “sanduku <strong>ya</strong> agano lake” la kufananishwa na sanduku lililojengwa na<br />

Musa kwa kuweka ndani amri <strong>ya</strong> Mungu. Ufunuo 11:19.<br />

Hivyo, wale wanaojifunza fundisho hili wakaone bila shaka kwamba hakika mbinguni<br />

kunakuwa hema. Musa alijenga hema <strong>ya</strong> kidunia akifuata mfano alioonyeshwa. Paulo<br />

anafundisha kuwa mfano ule ulikuwa hema <strong>ya</strong> kweli ambao unakuwa mbinguni. Na Yoane<br />

anashuhudia kwamba aliiona mbinguni.<br />

Ndani <strong>ya</strong> hekalu mbinguni, Pahali patakatifu pa patakatifu kunakuwa amri <strong>ya</strong> Mungu.<br />

Sanduku inayowekwa amri inafunikwa na kiti cha rehema, ambapo mbele <strong>ya</strong>ke Yesu anatetea<br />

mwenye zambi kwa ajili <strong>ya</strong> damu <strong>ya</strong>ke. Hapa ndipo kunafananishwa muungano wa haki na<br />

rehema katika mpango wa wokovu, muungano ambao unashangaza mbingu yote mzima. Hii<br />

ndiyo siri rehema ambamo malaika wanatamani kutazama vile Mungu anaweza kuwa<br />

mwenye haki wakati anahesabia haki mwenye zambi anayetubu.<br />

Kazi <strong>ya</strong> Kristo kama mutetezi wa binadamu, inafananishwa katika Zakaria: “Atajenga<br />

hekalu la Bwana; na atachukua utukufu, na atakaa na kutawala juu <strong>ya</strong> kiti chake cha enzi;<br />

naye atakuwa kuhani kwa enzi <strong>ya</strong>ke, na mshauri wa amani atakuwa katikati <strong>ya</strong>o wawili”.<br />

Zacharia 6:12,13.<br />

“Atajenga hekalu la Bwana”. Kwa zabihu <strong>ya</strong>ke na upatanisho, kristo ni msingi na mjengaji<br />

wa kanisa la Mungu, “jiwe kubwa la pembeni. Katika yeye jengo lote linaunganishwa vema<br />

na kukaa hata liwe hekalu takatifu katika Bwana”. Waefeso 2:20,21. “Atachukua utukufu”.<br />

Wimbo wa wale watakaonunuliwa utakuwa: “kwake yeye aliyetupenda na kutuosha zambi<br />

zetu kwa damu <strong>ya</strong>ke,...kwa yeye utukufu na uwezo hata milele na milele”. Ufunuo 1:5,6.<br />

Atakaa na kutawala juu <strong>ya</strong> kiti chake cha enzi; naye atakuwa kuhani juu <strong>ya</strong> kiti chake cha<br />

ufalme”. Ufalme wa utukufu haujaingiliwa bado. Mpaka kazi <strong>ya</strong>ke kama mpatanishi<br />

imalizike, ndipo Mungu atamtolea ufalme ambao “hautakuwa na mwisho” Luka 1:33. Kama<br />

169

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!