You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 23. Siri <strong>ya</strong> Wazi <strong>ya</strong> Pahali Patakatifu<br />
Maandiko ambayo ni <strong>ya</strong> juu <strong>ya</strong> mengine <strong>ya</strong>likuwa vyote viwili, msingi na nguzo <strong>ya</strong><br />
katikati <strong>ya</strong> imani <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu ilikuwa tangazo, “Hata mangaribi na asubui <strong>ya</strong> siku elfu<br />
mbili mia tatu; halafu Pahali patakatifu patatakaswa.” Danieli 8:14. Ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>likuwa maneno<br />
<strong>ya</strong> mazoezi kwa waamini wote juu <strong>ya</strong> kuja upesi kwa Bwana. Lakini Bwana hakutokea.<br />
Waamini walijua kwamba Neno la Mungu halitaweza kushindwa; maelezo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> unabii<br />
<strong>ya</strong>likuwa na kosa. Lakini kosa lilikuwa wapi?<br />
Mungu aliongoza watu wake katika mwendo mkubwa wa kuja kwa Yesu. Hangeuruhusu<br />
mwisho wake uwe wa giza na uchungu, kulaumiwa kama wa uwongo na wa ushupavu. Ijapo<br />
wengi wakaacha kuhesabia n<strong>ya</strong>kati zao za unabii na wakakana msingi ulioimarishwa<br />
mwendo, wengine hawakutaka kukataa mambo <strong>ya</strong> imani na maisha <strong>ya</strong>liyokubaliwa na<br />
Maandiko na Roho wa Mungu. Ilikuwa wajibu wao kushikilia kwa nguvu ukweli<br />
waliyokwisha kupata. Kwa maombi <strong>ya</strong> juhudi wakajifunza Maandiko kwa kuvumbua kosa<br />
lao. Kwa namna hawakuweza kuona kosa kwa hesabu zao za n<strong>ya</strong>kati za unabii,<br />
wakachunguza zaidi sana fundisho la Pahali patakatifu.<br />
Wakajifunza kwamba hakuna ushahidi wa Maandiko unaokubali maoni <strong>ya</strong> watu wengi<br />
kwamba dunia ni Pahali patakatifu; lakini wakapata maelezo kamili <strong>ya</strong> Pahali patakatifu; asili<br />
<strong>ya</strong>ke, pahali, na matumizi:<br />
“Basi hata agano la kwanza lilikuwa na amri <strong>ya</strong> kuabudu Mungu, na Pahali patakatifu pake<br />
pa dunia. Maana hema ilitengenezwa ile <strong>ya</strong> kwanza iliyokuwa na taa, na meza na mikate <strong>ya</strong><br />
onyesho kwa Mungu, palipoitwa Pahali patakatifu. Na nyuma <strong>ya</strong> pazia la pili, ilikuwa hema<br />
iliyoitwa Pahali patakatifu pa patakatifu, yenye kifukizo cha zahabu na sanduku <strong>ya</strong> agano<br />
iliyofunikwa na zahabu pande zote, na ndani <strong>ya</strong>ke kulikuwa kopo la zabahu yenye mana, na<br />
fimbo <strong>ya</strong> Haruni iliyochipuka, na vibao v<strong>ya</strong> agano; na juu <strong>ya</strong>ke makerubi <strong>ya</strong> zahabu, <strong>ya</strong>kitia<br />
kivuli juu <strong>ya</strong> kiti cha rehema:” Waebrania 9:1-5.<br />
“Pahali patakatifu” ilikuwa ni hema iliyojengwa na Musa kwa agizo la Mungu kama pahali<br />
pa kukaa pa kidunia pa Mwenyezi Mungu. “Na wanifanyie Pahali patakatifu; nipate kukaa<br />
katikati <strong>ya</strong>o” (Kutoka 25:8), ilikuwa ni agizo lililotolewa kwa Musa. Hema wala maskani<br />
ilikuwa ni umbo kubwa la fahari. Zaidi <strong>ya</strong> uwanja wa inje, hema yenyewe ilikuwa na vyumba<br />
viwili vilivyoitwa Pahali patakatifu na Pahali patakatifu pa patakatifu, vilivyogawanywa na<br />
pazia nzuri sana, Kifuniko cha namna moja kilifunga mlango kwa chumba cha kwanza.<br />
Pahali Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu<br />
Katika Pahali patakatifu kulikuwa na kinara upande wa kusini pamoja na taa zake saba<br />
kutoa nuru mchana na usiku; upande wa kaskazini kulikuwa na meza <strong>ya</strong> mikate <strong>ya</strong> onyesho.<br />
Mbele <strong>ya</strong> pazia inayotenga Pahali patakatifu na patakatifu pa patakatifu kulikuwa na<br />
167