12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kuchomwa kwa uwezo wake wenye uzima, ambao ulisimama imara na kupinga watu wa<br />

elimu na usemaji.<br />

Waadventiste waliamini kwamba Mungu aliwaongoza kutoa onyo la hukumu.<br />

Wakatangaza, “limechunguza mioyo <strong>ya</strong> wote waliolisikia, ... ili wale watakaochunguza<br />

mioyo <strong>ya</strong>o wenyewe, waweze kujua upande gani ... wangepatikana, kama Bwana angefika<br />

sasa wangepaza sauti, `Huyu ndiye Mungu wetu, Tumemungoja, naye atatuokoa;’ ao<br />

wangeita miamba na milima kuanguka juu <strong>ya</strong>o kuwaficha mbele <strong>ya</strong> uso wake yeye anayeketi<br />

juu <strong>ya</strong> kiti cha enzi!<br />

Mawazo <strong>ya</strong> wale walioendelea kuamini kwamba Mungu aliongoza <strong>ya</strong>naelezwa katika<br />

maneno <strong>ya</strong> William Miller: “Tumaini langu katika kuja kwa Kristo ni la nguvu kwa daima,<br />

nimefan<strong>ya</strong> tu, baada <strong>ya</strong> miaka <strong>ya</strong> uangalifu, kila nilichoona wajibu wangu kufan<strong>ya</strong>.” “Maelfu<br />

mengi, kwa mfano wote wa kibinadamu, walifanywa kwa kujifunza Maandiko katika<br />

mahubiri <strong>ya</strong> wakati; na kwa njia ile, katika imani na kumwangiwa kwa damu <strong>ya</strong> Kristo,<br />

wamepatanishwa kwa Mungu.”<br />

Imani Inaimarishwa<br />

Roho <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa ingali inakaa kwa wale ambao hawakukataa nuru kwa wepesi<br />

waliopokea na kulaumu ujumbe wa kurudi kwa Yesu “Basi, msitupe mbali matumaini yenu,<br />

kwa maana <strong>ya</strong>na zawadi kubwa. Kwa sababu munahitaji uvumilivu, ili mukikwisha kufan<strong>ya</strong><br />

mapenzi <strong>ya</strong> Mungu, mupate ile ahadi. Kwa kuwa bado kidogo sana, Yeye anayekuja atakuja,<br />

wala hatakawia. Lakini mwenye haki ataishi kwa imani: Naye kama akirudi nyuma, roho<br />

<strong>ya</strong>ngu haina furaha naye. Lakini sisi si watu wa kurudi nyuma kwa kupotea, lakini sisi ni<br />

pamoja nao walio na imani <strong>ya</strong> kuokoa roho zetu.” Waebrania 10:35-39.<br />

Onyo la upole hili linaambiwa kwa kanisa katika siku za mwisho. Linaonyeshwa kwa wazi<br />

kwamba Bwana angetokea kwa kukawia. Watu hapa walioambiwa walifan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong><br />

Mungu katika kufuata uongozi wa Roho <strong>ya</strong>ke na Neno lake; lakini hawakuweza kufahamu<br />

kusudi lake katika maisha <strong>ya</strong>o. Walijaribiwa kwa mashaka kwamba Mungu alikuwa<br />

akiwaongoza kwa kweli. Kwa wakati huu maneno <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kufaa: “Sasa mwenye haki<br />

ataishi kwa imani.” Wakainama kwa matumaini <strong>ya</strong> kukata tamaa, wangaliweza kusimama tu<br />

kwa imani katika Mungu na kwa Neno lake. Kwa kukana imani <strong>ya</strong>o na kukana uwezo wa<br />

Roho Mtakatifu ambaye alitumikia katika ujumbe ingekuwa kurudi nyuma kwa uharibifu.<br />

Maendeleo <strong>ya</strong>o tu <strong>ya</strong> salama ilikuwa nuru waliokwisha kupokea kwa Mungu, kuendelea<br />

kuchunguza Maandiko, na kungoja kwa uvumilivu na kukesha kwa kupokea nuru zaidi.<br />

166

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!