You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kuchomwa kwa uwezo wake wenye uzima, ambao ulisimama imara na kupinga watu wa<br />
elimu na usemaji.<br />
Waadventiste waliamini kwamba Mungu aliwaongoza kutoa onyo la hukumu.<br />
Wakatangaza, “limechunguza mioyo <strong>ya</strong> wote waliolisikia, ... ili wale watakaochunguza<br />
mioyo <strong>ya</strong>o wenyewe, waweze kujua upande gani ... wangepatikana, kama Bwana angefika<br />
sasa wangepaza sauti, `Huyu ndiye Mungu wetu, Tumemungoja, naye atatuokoa;’ ao<br />
wangeita miamba na milima kuanguka juu <strong>ya</strong>o kuwaficha mbele <strong>ya</strong> uso wake yeye anayeketi<br />
juu <strong>ya</strong> kiti cha enzi!<br />
Mawazo <strong>ya</strong> wale walioendelea kuamini kwamba Mungu aliongoza <strong>ya</strong>naelezwa katika<br />
maneno <strong>ya</strong> William Miller: “Tumaini langu katika kuja kwa Kristo ni la nguvu kwa daima,<br />
nimefan<strong>ya</strong> tu, baada <strong>ya</strong> miaka <strong>ya</strong> uangalifu, kila nilichoona wajibu wangu kufan<strong>ya</strong>.” “Maelfu<br />
mengi, kwa mfano wote wa kibinadamu, walifanywa kwa kujifunza Maandiko katika<br />
mahubiri <strong>ya</strong> wakati; na kwa njia ile, katika imani na kumwangiwa kwa damu <strong>ya</strong> Kristo,<br />
wamepatanishwa kwa Mungu.”<br />
Imani Inaimarishwa<br />
Roho <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa ingali inakaa kwa wale ambao hawakukataa nuru kwa wepesi<br />
waliopokea na kulaumu ujumbe wa kurudi kwa Yesu “Basi, msitupe mbali matumaini yenu,<br />
kwa maana <strong>ya</strong>na zawadi kubwa. Kwa sababu munahitaji uvumilivu, ili mukikwisha kufan<strong>ya</strong><br />
mapenzi <strong>ya</strong> Mungu, mupate ile ahadi. Kwa kuwa bado kidogo sana, Yeye anayekuja atakuja,<br />
wala hatakawia. Lakini mwenye haki ataishi kwa imani: Naye kama akirudi nyuma, roho<br />
<strong>ya</strong>ngu haina furaha naye. Lakini sisi si watu wa kurudi nyuma kwa kupotea, lakini sisi ni<br />
pamoja nao walio na imani <strong>ya</strong> kuokoa roho zetu.” Waebrania 10:35-39.<br />
Onyo la upole hili linaambiwa kwa kanisa katika siku za mwisho. Linaonyeshwa kwa wazi<br />
kwamba Bwana angetokea kwa kukawia. Watu hapa walioambiwa walifan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong><br />
Mungu katika kufuata uongozi wa Roho <strong>ya</strong>ke na Neno lake; lakini hawakuweza kufahamu<br />
kusudi lake katika maisha <strong>ya</strong>o. Walijaribiwa kwa mashaka kwamba Mungu alikuwa<br />
akiwaongoza kwa kweli. Kwa wakati huu maneno <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> kufaa: “Sasa mwenye haki<br />
ataishi kwa imani.” Wakainama kwa matumaini <strong>ya</strong> kukata tamaa, wangaliweza kusimama tu<br />
kwa imani katika Mungu na kwa Neno lake. Kwa kukana imani <strong>ya</strong>o na kukana uwezo wa<br />
Roho Mtakatifu ambaye alitumikia katika ujumbe ingekuwa kurudi nyuma kwa uharibifu.<br />
Maendeleo <strong>ya</strong>o tu <strong>ya</strong> salama ilikuwa nuru waliokwisha kupokea kwa Mungu, kuendelea<br />
kuchunguza Maandiko, na kungoja kwa uvumilivu na kukesha kwa kupokea nuru zaidi.<br />
166