Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
wazi, akapaza sauti na kulia: “Wameondoa Bwana wangu, wala sijui pahali walipomuweka.”<br />
Yoane 20:13.<br />
Hofu kwamba habari ingeweza kuwa kweli ikatumiwa kama kizuio juu <strong>ya</strong> ulimwengu<br />
usiosadiki. Lakini walipoona hakuna alama za hasira <strong>ya</strong> Mungu, wakafunika tena hofu <strong>ya</strong>o na<br />
kuendelea na laumu lao na cheko. Kundi kubwa lililojidai kuamini wakaacha imani <strong>ya</strong>o.<br />
Wenye kuzihaki wakavuta wazaifu na wenye kuogopea vyeo na hawa wote wakajiunga katika<br />
kutangaza kwamba ulimwengu unaweza kudumu kwa namna ileile kwa maelfu <strong>ya</strong> miaka.<br />
Waaminifu waliojitoakwa kweli walikuwa wameacha vyote kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo, na kama<br />
walivyoamini, wakatoa onyo lao la mwisho kwa ulimwengu. Kwa hamu kubwa sana<br />
walikuwa wameomba , “Kuja Bwana Yesu.” Lakini sasa kwa kuchukua tena mzigo wa matata<br />
<strong>ya</strong> maisha na kudumu kwa matusi <strong>ya</strong> ulimwengu wenye kuzihaki lilikuwa jaribu la kutisha<br />
sana.<br />
Wakati Yesu alipopanda juu <strong>ya</strong> punda na kuingia Jerusalem kama mshindi wanafunzi<br />
wake waliamini kwamba alitaka kuketi juu <strong>ya</strong> kiti cha ufalme cha Dawidi na kukomboa Israeli<br />
kwa magandamizi. Kwa matumaini <strong>ya</strong> juu, wengi wakatandika mavazi <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> inje kama zulia<br />
(tapis) katika njia <strong>ya</strong>ke wala kutapan<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong>ke matawi yenye majani mengi <strong>ya</strong> ngazi.<br />
Wanafunzi walikuwa wakitimiza kusudi la Mungu,lakini wakaangamizwa kwa uchungu<br />
mkali. Lakini siku chache zikapita kabla hawajashuhudia kifo cha maumivu makubwa cha<br />
Mwokozi na kumlaza ndani <strong>ya</strong> kaburi. Matumaini <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kafa pamoja na Yesu. Hata wakati<br />
Bwana alipofufuka toka kaburini ndipo wakaweza kufahamu kwamba mambo yote<br />
<strong>ya</strong>litabiriwa kwa unabii.<br />
Ujumbe Ulitolewa kwa Wakati Uliofaa<br />
Kwa namna ileile Miller na washiriki wake wakatimiza unabii na wakatoa ujumbe ambao<br />
Maongozi <strong>ya</strong> Mungu <strong>ya</strong>litabiri ulipashwa kutolewa kwa ulimwengu. Hawangeweza kuutoa<br />
wangefahamu kabisa mambo <strong>ya</strong> unabii <strong>ya</strong>nayoelekea uchungu wao, na kutoa ujumbe<br />
mwengine kuhubiriwa kwa mataifa yote kabla <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana. Habari za malaika wa<br />
kwanza na wa pili zilitolewa kwa wakati unaofaa na zilitimiza kazi ambayo Mungu<br />
aliyokusudia waitende.<br />
Dunia ilikuwa ikitazamia kwamba kama Kristo hangetokea, Kiadventiste kingeachwa .<br />
Lakini wakati watu wengi walipoacha imani <strong>ya</strong>o kulikuwa wengine waliosimama imara.<br />
Matunda <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> adventiste, roho <strong>ya</strong> uchunguzi wa moyo, <strong>ya</strong> kukana dunia na kutengeneza<br />
maisha, ikashuhudia kwamba ilikuwa kazi <strong>ya</strong> Mungu. Hawakusubutu kukana kwamba Roho<br />
Mtakatifu alishuhudia kwa mahubiri <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu mara <strong>ya</strong> pili. Hawakuweza kuvumbua<br />
kosa katika n<strong>ya</strong>kati maalum za unabii. Adui zao hawakufaulu kuangusha maelezo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />
unabii. Hawakuweza kukubali kukana msimamo uliofikiwa kwa njia na juhudi, kujifunza<br />
Maandiko kwa maombi, katika akili zilizoangaziwa na Roho wa Mungu na mioyo <strong>ya</strong><br />
165