Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
angeonekana kuja kutakasa dunia kwa kuharibu zambi na wenye zambi, na kubariki watu<br />
wake wanaomungojea kwa kuwapa kutokufa. Siku <strong>ya</strong> kumi <strong>ya</strong> mwezi wa saba, Siku kuu <strong>ya</strong><br />
Upatanisho, wakati wa kutakaswa kwa mahali patakatifu, ambao katika mwaka 1844<br />
ulianguka kwa tarehe <strong>ya</strong> makumi mbili na mbili <strong>ya</strong> Oktoba, ilizaniwa kama ni wakati wa kuja<br />
kwa Bwana. Siku 2300 zingemalizika wakati wa masika, na mwisho ikaonekana kuwa wazi<br />
bila ubishi.<br />
“Kilio cha Usiku wa Manane”<br />
Maneno <strong>ya</strong>kawa na hakikisho la nguvu, na “kilio cha usiku wa manane” kikasikiwa kwa<br />
maelfu <strong>ya</strong> waaminifu. Kama mawimbi, tukio hili likazambaa kwa nguvu toka mji kwa mji,<br />
kijiji kwa kijiji. Ushupavu ukatoweka kama baridi kali <strong>ya</strong> alfajiri kabla <strong>ya</strong> jua kutokea. Kazi<br />
ilikuwa <strong>ya</strong> namna moja na ile <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati za kurudi kwa Bwana ambako miongoni mwa Israeli<br />
wa zamani walifuata ujumbe wa karipio kutoka kwa watumishi wake. Hapo kulikuwa furaha<br />
nyingi sana, lakini Zaidi uchunguzi mwingi wa moyo, ungamo la zambi, na kuacha dunia.<br />
Hapo kulikuwa kujitoa wakfu kwa Mungu.<br />
Kwa miendo yote <strong>ya</strong> dini tangu siku za mitume, hakuna mojawapo <strong>ya</strong>liojiepusha zaidi<br />
kwa upungufu wa kibinadamu na werevu wa Shetani kuliko ile iliokuwa kwa wakati wa<br />
masika <strong>ya</strong> mwaka 1844. Kwa mwito, “Tazama bwana arusi anakuja,” wale waliokuwa<br />
wakingojea “wakaamka, wakatengeneza taa zao”; wakajifunza Neno la Mungu kwa usikizi<br />
mkuu ambao haukuwako mbele. Hawakukuwa wenye vipawa zaidi, bali wenye kuwa wenye<br />
unyenyekevu zaidi na wenye bidii, waliokuwa wa kwanza kutii mwito. Wakulima wakaacha<br />
mavuno <strong>ya</strong>o katika mashamba, wafundi wa mashine wakaacha vyombo v<strong>ya</strong>o na kwa furaha<br />
wakaenda kutoa maonyo. Makanisa kwa kawaida <strong>ya</strong>kafunga milango <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> ujumbe huu,<br />
na kundi kubwa la wale walioukubali wakajitenga kwao.<br />
Wasiosadiki waliokusanyika kwa mikutano <strong>ya</strong> Waadventiste wakaona uwezo wa<br />
kusadikisha ukihuzuria ujumbe, “Tazama, bwana arusi anakuja!” Imani ikaleta majibu kwa<br />
maombi. Kama manyunyu <strong>ya</strong> mvua juu <strong>ya</strong> inchi yenye kiu, Roho <strong>ya</strong> neema akashuka juu <strong>ya</strong><br />
watafutao kwa bidii. Wale waliotazamia upesi kusimama uso kwa uso pamoja na Mkombozi<br />
wao wakaona furaha kubwa. Roho Mtakatifu akalainisha moyo.<br />
Wale waliokubali ujumbe wakafikia wakati ambao walitumainia kukutana na Bwana wao.<br />
Wakaomba sana mtu kwa mwenzake. Wakakutana mara kwa mara katika mahali pa uficho<br />
kushirikiana pamoja na Mungu, na sauti <strong>ya</strong> maombezi ikapanda mbinguni kutoka<br />
mashambani na vichakani. Hakikisho la kibali cha Mwokozi <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> lazima zaidi kwao<br />
kuliko chakula cha kila siku, na kama wingu lilitia giza katika akili zao, hawakutulia hata<br />
walipoona ushuhuda wa neema <strong>ya</strong> rehema.<br />
Kukatishwa Tamaa Tena<br />
Lakini tena, wakati wa kutazamia ukapita, na Mwokozi wao hakutokea. Sasa wakaona<br />
kama Maria alivyofan<strong>ya</strong> wakati alipokuja kwa kaburi la Mwokozi na kukuta linapokuwa<br />
164