You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
408 k.k - Yajenzi/ Kujenga up<strong>ya</strong> wa Yerusalemu<br />
Mwaka 27 - Ubatizo na Upako wa Yesu Kristo (Masihi). 27 Naye atafan<strong>ya</strong> agano thabiti<br />
na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu <strong>ya</strong> juma hiyo ataikomesha sadaka na<br />
dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu<br />
iliyokusudiwa imemwagwa juu <strong>ya</strong>ke mwenye kuharibu (Danieli 9:26-27)<br />
Mwaka 31 - Kusulibiwa na kifo cha Yesu Kristo. 26 Na baada <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le majuma sitini na<br />
mawili, masihi atakatiliwa mbali, naye atakuwa hana kitu; na watu wa mkuu atakayekuja<br />
watauangamiza mji, na patakatifu; na mwisho wake utakuwa pamoja na gharika, na hata<br />
mwisho ule vita vitakuwapo; ukiwa umekwisha kukusudiwa. 27 Naye atafan<strong>ya</strong> agano thabiti<br />
na watu wengi kwa muda wa juma moja; na kwa nusu <strong>ya</strong> juma hiyo ataikomesha sadaka na<br />
dhabihu; na mahali pake litasimama chukizo la uharibifu; na hivyo, hata ukomo, na ghadhabu<br />
iliyokusudiwa imemwagwa juu <strong>ya</strong>ke mwenye kuharibu (Danieli 9:26, 27)<br />
Mwaka 34 - Stefano Anapigwa kwa Mawe. Mwisho wa Wa<strong>ya</strong>hudi. Injili kwa Ulimwengu.<br />
14<br />
Tena habari njema <strong>ya</strong> ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa<br />
mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja (Mathayo 24: 14) 46 Paulo na Barnaba<br />
wakanena kwa ushujaa wakasema, Ilikuwa lazima neno la Mungu linenwe kwenu kwanza;<br />
lakini kwa kuwa mnalisukumia mbali, na kujiona nafsi zenu kuwa hamkustahili uzima wa<br />
milele, angalieni, twawageukia Mataifa (Matendo <strong>ya</strong> Mitume 13:46)<br />
Mwaka 70 - Uharibifu wa Yerusalemu 1 Yesu akaenda zake, akatoka hekaluni; wanafunzi<br />
wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo <strong>ya</strong> hekalu. 2 Naye akajibu akawaambia,<br />
Ham<strong>ya</strong>oni ha<strong>ya</strong> yote? Amin, nawaambieni, Halitasalia hapa jiwe juu <strong>ya</strong> jiwe ambalo<br />
halitabomoshwa. (Mathayo 24:1, 2) 15 Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile<br />
lililonenwa na nabii Danielii, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu)… 21 Kwa<br />
kuwa wakati huo kutakuwapo dhiki kubwa, ambayo haijatokea namna <strong>ya</strong>ke tangu mwanzo<br />
wa ulimwengu hata sasa, wala haitakuwapo kamwe (Mathayo 24: 15, 21)<br />
Mwaka 1844 - Utakaso wa Hekalu Takatifu Zaidi na Mwanzo wa Hukumu Mbinguni.<br />
1810 Siku / Miaka - Kazi <strong>ya</strong> Yesu Kristo kama Kuhani wetu Mkuu katika Hekalu la<br />
Mbinguni. 14 Basi, iwapo tunaye kuhani mkuu aliyeingia katika mbingu, Yesu, Mwana wa<br />
Mungu, na tu<strong>ya</strong>shike sana maungamo yetu. 15 Kwa kuwa hamna kuhani mkuu asiyeweza<br />
kuchukuana nasi katika mambo yetu <strong>ya</strong> udhaifu; bali yeye alijaribiwa sawasawa na sisi katika<br />
mambo yote, bila kufan<strong>ya</strong> dhambi. 16 Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri, ili tupewe<br />
rehema, na kupata neema <strong>ya</strong> kutusaidia wakati wa mahitaji (Waebrania 4:14-16).<br />
Vivyo hivyo mifano <strong>ya</strong> kuelekea kwa kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili inapaswa kutimizwa kwa<br />
wakati ulioonyeshwa katika kazi <strong>ya</strong> mfano. Kutakaswa kwa mahali patakatifu, ao Siku <strong>ya</strong><br />
Upatanisho, kulitukia kwa siku <strong>ya</strong> kumi <strong>ya</strong> mwezi wa saba wa Wayuda wakati kuhani mkuu,<br />
alipokwisha kufan<strong>ya</strong> upatanisho kwa ajili <strong>ya</strong> Israeli yote, na kwa hivyo akaondoa zambi zao<br />
kutoka kwa mahali patakatifu, akaja na kubariki watu. Kwa hiyo iliaminiwa kwamba Kristo<br />
163