Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Majeshi <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi, <strong>ya</strong>lipokuwa <strong>ya</strong>kifuata Cestius na jeshi lake wakaangukia upande<br />
wao wa nyuma. Ni kwa shida sana Waroma walifaulu katika kukimbia kwao. Wa<strong>ya</strong>hudi<br />
pamoja na mateka <strong>ya</strong>o wakarudia na ushindi Yerusalema. Lakini kufaulu kwa namna hii<br />
kuliwaletea uba<strong>ya</strong> tu. Jambo hilo liliwasukuma kwa ile roho <strong>ya</strong> ukaidi wa kupinga kwa<br />
Waroma ambao kwa upesi wakaleta msiba muba<strong>ya</strong> sana juu <strong>ya</strong> muji uliohukumiwa.<br />
Hasara zilikuwa za ajabu zile zilianguka juu <strong>ya</strong> Yerusalema wakati mji ulizungukwa tena<br />
na Titus. Mji ulizungukwa wakati wa Pasaka, wakati mamilioni <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi<br />
walipokusanyika ndani <strong>ya</strong> kuta zake. Duka za akiba zikaharibiwa kwanza kwa ajili <strong>ya</strong> kisasi<br />
cha makundi <strong>ya</strong> mabishano. sasa matisho yote <strong>ya</strong> njaa <strong>ya</strong>kawafikia. Wanaume wakatafuna<br />
ngozi <strong>ya</strong> mikaba <strong>ya</strong>o na viatu na kifuniko cha ngao zao. Hesabu kubwa <strong>ya</strong> watu wakaenda<br />
kwa uficho usiku inje kwa kukusan<strong>ya</strong> mimea fulani <strong>ya</strong> pori <strong>ya</strong>liyokuwa <strong>ya</strong>kiota inje <strong>ya</strong> kuta<br />
za mji, ingawa wengi walikuwa wakizunguukwa na kuuawa na mateso makali, na mara kwa<br />
mara wale waliokuwa wakirudia katika usalama ndani <strong>ya</strong> mji walin<strong>ya</strong>nganywa akiba<br />
walizopata kwa shida sana. Waume wakaiba wake wao, na wake waume wao. Watoto<br />
wakan<strong>ya</strong>ngan<strong>ya</strong> chakula kinywani mwa wazazi wazee wao.<br />
Waongozi wa Roma kuogopesha sana Wayuda iliwakubali wameshindwa. Wafungwa<br />
waliazibiwa, kuteswa, na kusulubiwa mbele <strong>ya</strong> ukuta wa mji. Kwa bonde la Yosafati na<br />
Kalvari, misalaba ikasimamishwa kwa wingi sana. Ilikuwa vigumu kupitia katikati <strong>ya</strong><br />
misalaba hiyo. Ndivyo lilivyo timilika agizo la kutisha lililotajwa na Wa<strong>ya</strong>hudi mbele <strong>ya</strong> kiti<br />
cha hukumu cha Pilato: “Damu <strong>ya</strong>ke iwe juu yetu na juu <strong>ya</strong> watoto wetu”. Matayo 27:25.<br />
Tito alijazwa na hofu kuu alipoona miili <strong>ya</strong> wafu kulala kwa malundo katika mabonde.<br />
Kama mtu aliye katika maonyo, akatazama hekalu nzuri na akatoa agizo kwamba kusiwe hata<br />
jiwe moja lake linalopaswa kuguswa.. Akatoa mwito wa nguvu kwa waongozi wa Wa<strong>ya</strong>hudi<br />
wasimulazimishe kuchafua mahali patakatifu kwa damu. Kama wakiweza kupigania mahali<br />
po pote pengine, hapana Muroma atapashwa kutendea jeuri utakatifu wa hekalu! Yosefu<br />
mwenyewe, aliwasihi, akawaomba kujitoa, kwa kujiokoa wenyewe, mji wao na mahali pao<br />
pa ibada. Lakini maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kajibiwa kwa laana chungu. Mishale <strong>ya</strong> makelele ikatupwa<br />
kwake, mwombezi wao wa mwisho wa kibinadamu. Juhudi za Tito ili kuokoa hekalu zilikuwa<br />
bure. Mmoja aliyekuwa mkuu kuliko yeye alitangaza kwamba halitabaki jiwe juu <strong>ya</strong> jiwe<br />
pasipo kubomolewa.<br />
Mwishowe Tito akaamua kukamata hekalu kwa gafula, akakusudia kwamba ikiwezekana<br />
ilipaswa kuokolewa kwa maangamizi. Lakini maagizo <strong>ya</strong>ke ha<strong>ya</strong>kujaliwa. Kinga cha moto<br />
kikatupwa upesi na askari mmoja kwa tundu ndani <strong>ya</strong> ukumbi, na mara moja vyumba<br />
vilivyokuwa na miti <strong>ya</strong> mierezi kuzunguuka hekalu takatifu vikawaka moto. Tito akaenda<br />
kwa haraka mahali pale, na akaagiza waaskari kuzima ndimi za moto. Maneno <strong>ya</strong>ke<br />
ha<strong>ya</strong>kufuatwa. Katika hasira <strong>ya</strong>o waaskari wakatupa vinga v<strong>ya</strong> moto ndani <strong>ya</strong> vyumba v<strong>ya</strong><br />
karibu na hekalu, na tena pamoja na panga zao wakaua hesabu kubwa <strong>ya</strong> wale waliokimbilia<br />
ndani <strong>ya</strong> Pahali patakatifu. Damu ikatiririka kama maji juu <strong>ya</strong> vipandio v<strong>ya</strong> hekalu.<br />
9