12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Katika matengenezo adui zake wakashitakiwa maovu <strong>ya</strong> ushupavu juu <strong>ya</strong> wale waliokuwa<br />

wakiomba sana kukataa ushupavu. Mwendo wa namna ileile ulikuwa ukifuatwa na wapinzani<br />

wa kazi <strong>ya</strong> kiadventiste. Hawakutoshelewa na kuzidisha makosa <strong>ya</strong> ushupavu, wakaeneza<br />

taarifa ambazo hazikuwa hata na uhusiano kidogo wa kweli. Amani <strong>ya</strong>o ilikuwa ikisumbuliwa<br />

na kutangazwa kwa Kristo kuwa mlangoni. Waliogopa ingeweza kuwa kweli, huku<br />

wakatumaini kwamba haikuwako. Hii ilikuwa siri <strong>ya</strong> vita <strong>ya</strong>o kwa kupinga Waadventiste.<br />

Mahubiri <strong>ya</strong> ujumbe wa malaika wa kwanza <strong>ya</strong>lielekea mara kukomesha ushupavu. Wale<br />

walioshirikiana kwa kazi hizi kubwa walikuwa katika umoja; mioyo <strong>ya</strong>o ilijazwa na upendo<br />

wa mtu kwa mwenzake na kwa ajili <strong>ya</strong> Yesu, ambaye walimtazamia kumwona upesi. Imani<br />

moja, tumaini la baraka moja, wakahakikisha ngabo juu <strong>ya</strong> mashambulio <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Kosa Linasahihishwa<br />

“Basi wakati bwana arusi alipokawia, wao wote wakasinzia na kulala usingizi. Lakini saa<br />

sita <strong>ya</strong> usiku kulikuwa kelele: Tazama bwana arusi anakuja! tokeni kukutana naye.” Katika<br />

wakati wa jua kali wa mwaka 1844 ujumbe ukatangazwa katika maneno <strong>ya</strong> Maandiko kabisa.<br />

Kile kilichoongoza kwa maendeleo ha<strong>ya</strong> kilikuwa ni uvumbuzi kwamba amri <strong>ya</strong> Artasasta<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> kurudishwa kwa Yerusalema, ambayo ilisaidia kujua mwanzo wa hesabu <strong>ya</strong> siku<br />

2300, ikafanyika katika masika <strong>ya</strong> mwaka wa 457 B.C., na si kwa mwanzo wa mwaka, kama<br />

ilivyoaminiwa. Hesabu kutoka masika <strong>ya</strong> mwaka 457, miaka 2300 ikamalizika wakati wa<br />

masika <strong>ya</strong> mwaka 1844. Mifano <strong>ya</strong> Agano la Kale pia ilielekeza kwa wakati wa masika kama<br />

wakati ambao “kutakaswa kwa mahali patakatifu” kulipaswa kufanyika.<br />

Kuchinjwa kwa Kondoo wa Pasaka kulikuwa ni kivuli cha mauti <strong>ya</strong> Kristo, mfano<br />

ulitimilika, si kwa tukio tu, bali na kwa wakati. Kwa siku <strong>ya</strong> kumi na ine <strong>ya</strong> mwezi wa kwanza<br />

wa Wayuda, siku ile kabisa na mwezi ambapo kwa karne nyingi kondoo wa Pasaka alikuwa<br />

akichinjwa, Kristo akaanzisha karamu hiyo ambayo ilikuwa kwa kukumbuka mauti <strong>ya</strong>ke<br />

mwenyewe “Mwana-kondoo wa Mungu.” Kwa usiku uleule akakamatwa kwa kusulibiwa na<br />

kuuawa.<br />

UNABII WA 2300 SIKU / MIAKA<br />

161

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!