You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 22. Unabii Unatimilika<br />
Wakati ulipopita ambapo kuja kwa Bwana kulipotazamiwa kwanza--wakati wa masika <strong>ya</strong><br />
mwaka 1844--wale waliotazamia kuonekana kwake walikuwa katika mashaka na kutokuwa<br />
na hakika. Wengi wakaendelea kuchunguza katika Maandiko, kwa kupima tena ushuhuda wa<br />
imani <strong>ya</strong>o. Maneno <strong>ya</strong> unabii, <strong>ya</strong> wazi na <strong>ya</strong> nguvu, <strong>ya</strong>lionyesha kuja kwa Kristo kuwa karibu.<br />
Kugeuka kwa waovu na uamsho wa kiroho miongoni mwa Wakristo kulishuhudia kwamba<br />
ujumbe ulikuwa wa mbinguni.<br />
Walihangaishwa na mambo <strong>ya</strong> unabii, ambayo walizania kama, kulingana na wakati wa<br />
kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili, ilikuwa fundisho la kuwatia moyo kwa kungoja na uvumilivu katika<br />
imani,ili mambo <strong>ya</strong>liokuwa giza kwa akili <strong>ya</strong>o sasa ifunuliwe. Miongoni mwa mambo ha<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong> unabii ilikuwa Habakuki 2:1-4. Hakuna mtu, hata, aliyefahamu kwamba kukawia kwa<br />
wazi--wakati wa kungojea--unakuwa katika unabii. Baada <strong>ya</strong> uchungu, andiko hili<br />
likaonekana kuwa la maana sana: “Maono ha<strong>ya</strong> ni kwa wakati ulioamuriwa, lakini kwa<br />
mwisho <strong>ya</strong>tasema, wala ha<strong>ya</strong>tasema uwongo; hata <strong>ya</strong>kikawia, u<strong>ya</strong>ngoje; kwa sababu <strong>ya</strong>takuja<br />
kweli, ha<strong>ya</strong>tachelewa. . . Mwenye haki ataishi kwa imani <strong>ya</strong>ke.”<br />
Unabii wa Ezekieli pia ulikuwa faraja kwa waaminifu: “Bwana Mungu anasema hivi...<br />
Siku ni karibu, na kutimia kwa kila maono ... Nitasema, na neno nitakalolisema litatimizwa;<br />
wala halitakawishwa tena.” “Neno nitakalolisema litatimia.” Ezekieli 12:2325,28. Wale<br />
waliokuwa wakingoja wakafurahi. Yeye anayejua mwisho tangu mwanzo aliwapa tumaini.<br />
Kama mafungu kama ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Maandiko ha<strong>ya</strong>ngekuwako, imani <strong>ya</strong>o ingalianguka.<br />
Mfano wa mabikira kumi wa Matayo 25 pia unaonyesha mambo <strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong><br />
Waadventiste. Hapo paonyeshwa hali <strong>ya</strong> kanisa wakati wa siku za mwisho. Mambo <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />
maisha <strong>ya</strong>mefananishwa na tendo la ndoa <strong>ya</strong> mashariki:<br />
“Halafu ufalme wa mbinguni utafananishwa na mabikira kumi waliotwaa taa zao,<br />
wakatoka kwenda kukutana na bwana arusi. Watano wao walikuwa wapumbafu na watano<br />
wenye akili. Wale walio kuwa wapumbafu, walichukua taa zao, bila mafuta; lakini wenye<br />
akili walicukua mafuta ndani <strong>ya</strong> vyombo v<strong>ya</strong>o pamoja na taa zao. Basi wakati bwana arusi<br />
alipokawia, wao wote wakasinzia na kulala usingizi. Lakini saa sita <strong>ya</strong> usiku kulikuwa kelele:<br />
Tazama, bwana arusi! tokeni kukutana naye.” Matayo 25:1-6.<br />
Kuja kwa Kristo kama kulivyotangazwa na ujumbe wa malaika wa kwanza, kulifahamika<br />
kuwa mfano wa kuja kwa bwana arusi. Kuenea kwa matengenezo chini <strong>ya</strong> kutangaza kwa<br />
kuja kwa karibu kwa Kristo kukajibu kwa mfano wa mabikira. Katika mfano huu, wote<br />
walichukua taa zao, Biblia, “na wakaenda kukutana na bwana harusi.” Lakini wakati<br />
wapumbafu “hawakuchukua mafuta pamoja nao,” “wenye akili walichukua mafuta ndani <strong>ya</strong><br />
vyombo v<strong>ya</strong>o pamoja na taa zao.” Wa nyuma wakajifunza Maandiko ili kuchunguza ukweli<br />
na wakawa na akili <strong>ya</strong> kipekee, imani kwa Mungu ambayo haingeangushwa na kukata tamaa<br />
na kukawia. Wengine wakaendeshwa na musukumo, hofu <strong>ya</strong>o ikaamshwa na ujumbe. Lakini<br />
159