Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
kupendeza kwa masikio <strong>ya</strong> siku hizi. Kwa hiyo zambi za siku hizi zinafichwa chini <strong>ya</strong> hila za<br />
wema, mfano wakuogopa Mungu.<br />
Mwandishi mmoja katika New York Independent akasema hivi juu <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Methodiste<br />
kama inavyokuwa: “Msitari wa mtengano kati <strong>ya</strong> wanaomwogopa Mungu na waovu unapotea<br />
katika namna <strong>ya</strong> kivuli, na watu wa bidii kwa pande zote mbili hujitahidi kutupia mbali tofauti<br />
yote kati <strong>ya</strong> desturi zao za kutenda na furaha.”<br />
Katika mwendo huu wa kutafuta anasa, kujinyima kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo karibu kulipotea<br />
kabisa. “Kama feza zinahitajiwa sasa, ... hakuna mtu anayepashwa kuitwa kwa kutoa. Aa<br />
hapana! kuta<strong>ya</strong>risha maonyesho <strong>ya</strong> biashara, michezo <strong>ya</strong> kuingiza picha, michezo <strong>ya</strong> bahati<br />
(loterie), chakula cha jioni (banquet), wala kitu cha kula--kila kitu cho chote kwa kupendeza<br />
watu.”<br />
Robert Atkins anaonyesha picha <strong>ya</strong> upungufu wa kiroho katika Uingereza: ‘’ Uasi, uasi,<br />
uasi, tazama neno lililochorwa mbele <strong>ya</strong> makanisa yote; na wangejua, na waliiisikia na<br />
kungekuwa na tumaini; lakini, ole! Wakalalamika: “Sisi ni tajiri, tumepata vitu vingi; wala<br />
hatuhitaji kitu chochote.”‘ Zambi kubwa iliyoshitakiwa Babeli ni kwamba “amefan<strong>ya</strong> mataifa<br />
yote kunywa mvinyo <strong>ya</strong> gazabu <strong>ya</strong> uasherati wake. “Kikombe hiki ni mfano wa mafundisho<br />
<strong>ya</strong> uongo <strong>ya</strong>le aliyokubali kama matokeo <strong>ya</strong> urafiki pamoja na dunia. Kwa nafasi <strong>ya</strong>ke<br />
hutumia mvuto wa uovu juu <strong>ya</strong> dunia kwa kufundisha mafundisho <strong>ya</strong>liyopinga maneno wazi<br />
<strong>ya</strong> Biblia.<br />
Kama haingekuwa kwamba dunia inaleweshwa na mvinyo wa Babeli, wengi<br />
wangalisadikishwa na kungeuzwa kweli kamili za Neno la Mungu. Lakini imani <strong>ya</strong> dini<br />
inaonekana kuwa na machafuko sana na kutopatana hata watu hawaujui kitu gani cha<br />
kuamini. Zambi <strong>ya</strong> dunia isiyotubiwa inalala mlangoni mwa kanisa.<br />
Ujumbe wa malaika wa pili haukutmilika katika mwaka 1844. Makanisa basi <strong>ya</strong>lianguka<br />
kiroho kwa kukataa nuru <strong>ya</strong> ujumbe wa kurudi kwa Yesu, lakini ha<strong>ya</strong>kuanguka kabisa. Namna<br />
walikuwa wakiendelea kukataa mambo <strong>ya</strong> ukweli wa pekee kwa ajili <strong>ya</strong> wakati huu<br />
waliendelea kuanguka chini na kuendelea chini. Bado, lakini, itawezekana kusemwa kwamba<br />
“Babeli imeanguka, ... kwa sababu amefan<strong>ya</strong> mataifa yote kunywa mvinyo wa hasira <strong>ya</strong><br />
uasherati wake.” Makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong>nakuwa ndani <strong>ya</strong> masitaka <strong>ya</strong> malaika wa pili.<br />
Lakini kazi <strong>ya</strong> uasi haijafikia hatua <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho.<br />
Mbele <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana, Shetani atatumika “na uwezo wote, na ishara na maajabu <strong>ya</strong><br />
uwongo, na udanganyifu wote wa uzalimu”; na wale ambao “hawakupokea mapendo kwa<br />
kweli, wapate kuokolewa,” wataachwa kupokea “nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini uwongo.”<br />
2 Watesalonika 2:9-11. Hata muungano wa kanisa pamoja na dunia utakapotimia kabisa ndipo<br />
kuanguka kwa Babeli kutakuwa kamili. Mabadiliko ni <strong>ya</strong> kidogo kidogo na kutimilika kamili<br />
kwa Ufunuo 14:8 kunakuwa kwa wakati ujao.<br />
157