12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kupendeza kwa masikio <strong>ya</strong> siku hizi. Kwa hiyo zambi za siku hizi zinafichwa chini <strong>ya</strong> hila za<br />

wema, mfano wakuogopa Mungu.<br />

Mwandishi mmoja katika New York Independent akasema hivi juu <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Methodiste<br />

kama inavyokuwa: “Msitari wa mtengano kati <strong>ya</strong> wanaomwogopa Mungu na waovu unapotea<br />

katika namna <strong>ya</strong> kivuli, na watu wa bidii kwa pande zote mbili hujitahidi kutupia mbali tofauti<br />

yote kati <strong>ya</strong> desturi zao za kutenda na furaha.”<br />

Katika mwendo huu wa kutafuta anasa, kujinyima kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo karibu kulipotea<br />

kabisa. “Kama feza zinahitajiwa sasa, ... hakuna mtu anayepashwa kuitwa kwa kutoa. Aa<br />

hapana! kuta<strong>ya</strong>risha maonyesho <strong>ya</strong> biashara, michezo <strong>ya</strong> kuingiza picha, michezo <strong>ya</strong> bahati<br />

(loterie), chakula cha jioni (banquet), wala kitu cha kula--kila kitu cho chote kwa kupendeza<br />

watu.”<br />

Robert Atkins anaonyesha picha <strong>ya</strong> upungufu wa kiroho katika Uingereza: ‘’ Uasi, uasi,<br />

uasi, tazama neno lililochorwa mbele <strong>ya</strong> makanisa yote; na wangejua, na waliiisikia na<br />

kungekuwa na tumaini; lakini, ole! Wakalalamika: “Sisi ni tajiri, tumepata vitu vingi; wala<br />

hatuhitaji kitu chochote.”‘ Zambi kubwa iliyoshitakiwa Babeli ni kwamba “amefan<strong>ya</strong> mataifa<br />

yote kunywa mvinyo <strong>ya</strong> gazabu <strong>ya</strong> uasherati wake. “Kikombe hiki ni mfano wa mafundisho<br />

<strong>ya</strong> uongo <strong>ya</strong>le aliyokubali kama matokeo <strong>ya</strong> urafiki pamoja na dunia. Kwa nafasi <strong>ya</strong>ke<br />

hutumia mvuto wa uovu juu <strong>ya</strong> dunia kwa kufundisha mafundisho <strong>ya</strong>liyopinga maneno wazi<br />

<strong>ya</strong> Biblia.<br />

Kama haingekuwa kwamba dunia inaleweshwa na mvinyo wa Babeli, wengi<br />

wangalisadikishwa na kungeuzwa kweli kamili za Neno la Mungu. Lakini imani <strong>ya</strong> dini<br />

inaonekana kuwa na machafuko sana na kutopatana hata watu hawaujui kitu gani cha<br />

kuamini. Zambi <strong>ya</strong> dunia isiyotubiwa inalala mlangoni mwa kanisa.<br />

Ujumbe wa malaika wa pili haukutmilika katika mwaka 1844. Makanisa basi <strong>ya</strong>lianguka<br />

kiroho kwa kukataa nuru <strong>ya</strong> ujumbe wa kurudi kwa Yesu, lakini ha<strong>ya</strong>kuanguka kabisa. Namna<br />

walikuwa wakiendelea kukataa mambo <strong>ya</strong> ukweli wa pekee kwa ajili <strong>ya</strong> wakati huu<br />

waliendelea kuanguka chini na kuendelea chini. Bado, lakini, itawezekana kusemwa kwamba<br />

“Babeli imeanguka, ... kwa sababu amefan<strong>ya</strong> mataifa yote kunywa mvinyo wa hasira <strong>ya</strong><br />

uasherati wake.” Makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong>nakuwa ndani <strong>ya</strong> masitaka <strong>ya</strong> malaika wa pili.<br />

Lakini kazi <strong>ya</strong> uasi haijafikia hatua <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho.<br />

Mbele <strong>ya</strong> kuja kwa Bwana, Shetani atatumika “na uwezo wote, na ishara na maajabu <strong>ya</strong><br />

uwongo, na udanganyifu wote wa uzalimu”; na wale ambao “hawakupokea mapendo kwa<br />

kweli, wapate kuokolewa,” wataachwa kupokea “nguvu <strong>ya</strong> upotevu, hata waamini uwongo.”<br />

2 Watesalonika 2:9-11. Hata muungano wa kanisa pamoja na dunia utakapotimia kabisa ndipo<br />

kuanguka kwa Babeli kutakuwa kamili. Mabadiliko ni <strong>ya</strong> kidogo kidogo na kutimilika kamili<br />

kwa Ufunuo 14:8 kunakuwa kwa wakati ujao.<br />

157

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!