12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

linakuwa na kosa <strong>ya</strong> namna moja, kwa sababu lina makanisa kumi inayojiweka wakfu kwa<br />

Maria kwa namna moja linalojiweka wakfu kwa Kristo.”<br />

Na Dr. Hopkin husema: “Hakuna sababu <strong>ya</strong> kufikiri kwamba roho na kanuni za mpinga<br />

kristo na vitendo kusongwa kwa ile ambayo inaitwa sasa Kanisa la Roma. Makanisa <strong>ya</strong><br />

<strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong>nakuwa na umpinga kristo ndani <strong>ya</strong>o, na <strong>ya</strong>nakuwa mbali kabisa <strong>ya</strong><br />

matengenezo kwa ... maovu na uba<strong>ya</strong>.”<br />

Juu <strong>ya</strong> Kanisa la Presbyteria kujitenga kwa Roma, Dr. Guthrie anaandika: “Miaka mia tatu<br />

iliyopita, kanisa letu, pamoja na Biblia iliyofunguliwa kwa mwenge <strong>ya</strong>ke, na maneno ha<strong>ya</strong><br />

maalum: “Tafuteni maandiko” kwa mabendera <strong>ya</strong>ke, lilitoka kwa milango <strong>ya</strong> Roma. Ndipo<br />

akauliza swali hili la muhimu: Je, waligeuka kuwa safi walipotoka kwa Babeli ? ”<br />

Safari za Kwanza kutoka kwa Habari Njema<br />

Namna gani kanisa lilitoka mara <strong>ya</strong> kwanza kwa unyenyekevu wa habari njema? Kwa njia<br />

<strong>ya</strong> kupatana na kipagani, ili wapagani wakubali wepesi dini <strong>ya</strong> kikristo. “Karibu kufikia<br />

mwisho wa kumalizia karne <strong>ya</strong> pili karibu makanisa mengi <strong>ya</strong>likubali sura mp<strong>ya</strong>... Kama<br />

wanafunzi wa zamani walipopumzika katika makaburi <strong>ya</strong>o, watoto wao pamoja na<br />

waliogeuka wap<strong>ya</strong>, ... wakaendelea mbele na kutoa mfano mp<strong>ya</strong> kwa dini.” “Wingi wa<br />

wapagani, kujaa katika kanisa, kuchukua pamoja nao desturi zao, tamaa, na ibada <strong>ya</strong> sanamu.”<br />

Dini <strong>ya</strong> Kikristo ikategemea mapendeleo na usaada wa watawala wa dunia. Ikakubaliwa kwa<br />

jina tu na wengi. “Lakini wengi wakadumu katika mambo <strong>ya</strong> kipagani, zaidi kuabudu kwa<br />

uficho sanamu zao.”<br />

Je, matendo <strong>ya</strong> namna ile haikufanyika karibu katika kila kanisa linalojiita lenyewe<br />

Protestanti? Kwa namna wenye kulianzisha waliokuwa na roho <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> matengenezo<br />

walikufa, wazao wao wakatoa mfano mp<strong>ya</strong>.” Kukataa kwa upofu kukubali kweli yo yote<br />

mbele <strong>ya</strong> <strong>ya</strong>le wababa zao waliona, watoto wa watengenezaji wakatoka kwa mfano wao wa<br />

kujinyima na kuacha dunia.<br />

Aa, kwa wingi wa namna gani makanisa <strong>ya</strong> watu wengi <strong>ya</strong>litoka kwa kanuni <strong>ya</strong> Biblia!<br />

Akazungumzia juu <strong>ya</strong> pesa, John Wesley akasema: ” Usipoteze sehemu <strong>ya</strong> talenta hii <strong>ya</strong><br />

damani kwa kupamba nyumba <strong>ya</strong>ko na vyombo v<strong>ya</strong> ufundi; katika mapicha <strong>ya</strong> bei kali,<br />

kupamba... Wakati wote utakapovaa mavazi <strong>ya</strong> rangi <strong>ya</strong> zambarau nyekundu na kitani,’ na<br />

zaidi` kuwa na maisha <strong>ya</strong> anasa kila siku,’ bila shaka wengi watashangilia uzuri wa tamaa<br />

<strong>ya</strong>ko, kwa ukarimu wako na utu wema wako. Lakini utoshelewe zaidi na heshima itokayo<br />

kwa Mungu.”<br />

Watawala, watu wa siasa, wanacheria, waganga, wachuuzi, wanajiunga kanisani kwa<br />

kusudi la kwendesha faida zao za kidunia. Makundi mbalimbali <strong>ya</strong> dini, <strong>ya</strong>kaja kusaidiwa na<br />

utajiri wa hawa wakidunia waliobatizwa, kuwa njia nzuri sana <strong>ya</strong> kuvuta watu wengi.<br />

Makanisa mazuri sana, na garama nyingi <strong>ya</strong>kajengwa. Mshahara wa juu sana ulilipwa kwa<br />

mchungaji mwenye kipawa cha kukaribisha watu. Mahubiri <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>lipaswa kuwa rahisi na<br />

156

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!