Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Mwanamke (Babeli) yule “amevikwa nguo <strong>ya</strong> rangi <strong>ya</strong> zambarau na nyekundu,<br />
amepambwa kwa zahabu, na mawe <strong>ya</strong> bei kubwa, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha<br />
zahabu mkononi mwake, kinachojaa machukizo, na machafu... Na katika kipaji cha uso wake<br />
jina limeandikwa, SIRI, BABELI MKUBWA, MAMA YA MAKAHABA.” Anasema nabii:<br />
“Nikaona yule mwanamke amelewa kwa damu <strong>ya</strong> watakatifu na kwa damu <strong>ya</strong> washuhuda wa<br />
Yesu.” Babeli “ni mji ule mkubwa unaotawala juu <strong>ya</strong> wafalme wa dunia.” Ufunuo 17:4-6, 18.<br />
Mamlaka ambayo kwa karne nyingi ilidumisha uwezo juu <strong>ya</strong> wafalme wa jamii <strong>ya</strong><br />
Wakristo wote ni Roma. Rangi <strong>ya</strong> zambarau, na nyekundu, zahabu, mawe <strong>ya</strong> bei kubwa, na<br />
lulu, vinaonyesha fahari iliyovaliwa na askofu mwenye kiburi wa Roma. Hakuna mamlaka<br />
ingine iliyoweza kutangazwa kwa kweli “amelewa kwa damu <strong>ya</strong> watakatifu” kama kanisa lile<br />
ambalo lilitesa kwa ukali wafuasi wa Kristo.<br />
Babeli inasitakiwa vilevile kwa uhusiano usio wa sheria pamoja na “wafalme wa<br />
ulimwengu.” Kwa kuachana na Bwana kupatana na wapagani kanisa la Wa<strong>ya</strong>hudi likawa<br />
kahaba, na Roma, katika kutafuta usaada wa mamlaka <strong>ya</strong> kidunia, inapokea hukumu <strong>ya</strong> namna<br />
moja.<br />
“Babeli ni mama <strong>ya</strong> makahaba.” Binti zake wanapashwa kuwa makanisa <strong>ya</strong>nayoshika<br />
mafundisho <strong>ya</strong>ke na kufuata mfano wake wa kuacha kweli ili kufan<strong>ya</strong> mapatano pamoja na<br />
dunia. Ujumbe unaotangaza kuanguka kwa Babeli unapaswa kulinganishwa na makundi <strong>ya</strong><br />
ushirika wa dini <strong>ya</strong>liyokuwa safi zamani na imegeuka kuwa potovu. Kwa hivi ujumbe huu<br />
unafuata onyo la hukumu, unapaswa kutolewa katika siku za mwisho. Kwa hiyo haiwezi<br />
kutumiwa kwa kanisa la Roma tu, kwa maana lile lilikuwa katika hali <strong>ya</strong> maanguko muda wa<br />
karne nyingi.<br />
Tena, watu wa Mungu wanaitwa kutoka katika Bebeli. Kufuatana na maandiko ha<strong>ya</strong>, watu<br />
wa Mungu wengi wakingali katika Babeli, Na ni katika makundi gani <strong>ya</strong> dini ambamo<br />
munakuwa sehemu kubwa <strong>ya</strong> wafuasi wa Kristo? Katika makanisa inayokiri imani <strong>ya</strong><br />
<strong>Kiprotestanti</strong>. Kwa wakati wa kutokea kwao makanisa ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>lipata msimamo bora kwa ajili<br />
<strong>ya</strong> kweli, na mibaraka <strong>ya</strong> Mungu ilikuwa pamoja nao. Lakini wakashindwa kwa tamaa <strong>ya</strong><br />
namna moja ileile ambayo ilikuwa uharibifu wa Israeli kuiga desturi na kujipendekeza na<br />
urafiki wa wasiomwogopa Mungu.<br />
Kujiunga Pamoja na Walimwengu<br />
Makanisa mengi <strong>ya</strong> kiprotestanti <strong>ya</strong>mefuata mfano wa uhusiano pamoja na “wafalme wa<br />
dunia” makanisa <strong>ya</strong> taifa, kwa uhusiano wao na serkali; na makanisa mengine, kwa kutafuta<br />
mapendeleo <strong>ya</strong> dunia. Neno “Babeli” machafuko--linaweza kutumiwa kwa makundi ha<strong>ya</strong><br />
<strong>ya</strong>nayojidai kwamba <strong>ya</strong>lipata mafundisho <strong>ya</strong>o kutoka kwa Biblia, lakini <strong>ya</strong>megawanyika<br />
katika makundi isiyohesabika pamoja na kanuni <strong>ya</strong> imani za mbalimbali.<br />
Kazi <strong>ya</strong> kanisa la kikatolika la Roma inabisha kwamba “kama kanisa la Roma lingekuwa<br />
na kosa <strong>ya</strong> ibada <strong>ya</strong> sanamu katika uhusiano kwa watakatifu, binti <strong>ya</strong>ke, kanisa la Uingereza,<br />
155