12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Giza <strong>ya</strong> kiroho inafika, si kwa sababu <strong>ya</strong> kuondolewa kwa neema <strong>ya</strong> kumungu kwa upande<br />

wa Mungu bila sababu, bali ni kwa upande wa binadamu aliyekataa nuru. Wa<strong>ya</strong>hudi, kwa<br />

kupenda dunia na kumsahau Mungu, walikuwa katika ujinga juu <strong>ya</strong> kuja kwa Masi<strong>ya</strong>. Katika<br />

kutoamini kwao wakamkataa Mkombozi. Mungu hakukatia mbali taifa la Wa<strong>ya</strong>hudi kwa<br />

mibaraka <strong>ya</strong> wokovu. Wale waliokataa kweli waliweka “giza kwa nuru, na nuru kwa giza.”<br />

Isa<strong>ya</strong> 5:20.<br />

Baada <strong>ya</strong> kukataa kwao kwa habari njema Wa<strong>ya</strong>hudi wakaendelea kushika kanuni zao za<br />

zamani, wakati ambapo walikubali kwamba Mungu kakuwa tena kati <strong>ya</strong>o. Unabii wa Danieli<br />

ulionyesha kwa wazi wakati wa kuja kwa Masi<strong>ya</strong> na kutabiri vilevile kifo chake. Kwa hivyo<br />

walitia mashaka majifunzo <strong>ya</strong>ke, na mwishowe wa rabbis wakatangaza laana kwa wote<br />

wangejaribu kukadirisha wakati. Katika upofu na ugumu wa moyo Waisraeli wakati wa karne<br />

zilizofuatana wakasimama, bilakujali zawadi za neema <strong>ya</strong> wokovu, bila akili <strong>ya</strong> mibaraka <strong>ya</strong><br />

habari njema, maonyo nzito na la kutisha kwa ajili <strong>ya</strong> hatari <strong>ya</strong> kukataa nuru kutoka mbinguni.<br />

Yeye anayezuia hakikisho lamapashwa <strong>ya</strong>ke kwa sababu <strong>ya</strong>napingana na tamaa zake<br />

mwishowe atapoteza uwezo wa kuchagua kati <strong>ya</strong> ukweli na kosa. Roho hutengana na Mungu.<br />

Mahali ukweli wa Mungu unakataliwa kwa zarau, kanisa litakuwa katika giza, imani na<br />

upendo vitapunguka, na fitina huingia. Washiriki wa kanisa hutia nguvu zao katika mambo<br />

<strong>ya</strong> kidunia, na wenye zambi hugeuka kuwa wagumu katika ugumu wa moyo wao.<br />

Ujumbe Wa Malaika wa Kwanza<br />

Ujumbe wa malaika wa kwanza wa Ufunuo 14 ulitolewa kwa kutenga wale wanaojidai<br />

kuwa watu wa Mungu kutoka kwa mivuto miba<strong>ya</strong>. Katika ujumbe huu, Mungu alituma kwa<br />

kanisa onyo ambalo kama lingelikubaliwa, lingaliweza kusahihisha maovu ambayo <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong>kiwafunga mbali na yeye. Kama wangalikubali ujumbe, kushusha mioyo <strong>ya</strong>o na kutafuta<br />

mata<strong>ya</strong>risho kwa kusimama mbele <strong>ya</strong>ke, Roho wa Mungu angalionekana. Kanisa lingalifikia<br />

tena umoja ule, imani, na upendo wa siku za mitume, wakati waaminifu “walikuwa na moyo<br />

mmoja” na wakati “Bwana aliongezea kwa kanisa kila siku wale waliokuwa wakiokolewa.”<br />

Matendo 4:32; 2:47.<br />

Kama watu wa Mungu wangalipokea nuru kutoka kwa Neno lake, wangalifikia umoja ule<br />

ambao mtume anaeleza, “umoja wa Roho katika kifungo cha salama”. Anasema, “Mwili ni<br />

mmoja, na Roho mmoja, kama vile mulivyoitwa katika tumaini moja la mwito wenu; Bwana<br />

mmoja, imani moja, ubatizo mmoja.” Waefeso 4:3-5.<br />

Wale waliokubali ujumbe wa kurudi kwa Yesu walikuja kutoka makanisa mbalimbali, na<br />

vizuizi v<strong>ya</strong>o v<strong>ya</strong> dini vikatupwa chini kwa nguvu. Kanuni za imani za mabishano zikavunjika<br />

kwa vipande vipande. Maoni <strong>ya</strong> uwongo juu <strong>ya</strong> kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong>kasahihiswa. Makosa<br />

<strong>ya</strong> kanyoshwa, mioyo ikaungana katika upatano wakupendeza. Upendo ukatawala sana.<br />

Mafundisho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ngefan<strong>ya</strong> vile kwa wote, kama wote wangelikubali.<br />

153

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!