Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 21. Kuteswa kwa Aijili <strong>ya</strong> Mwenendo wa<br />
Mpumbafu ao Mjinga<br />
William Miller na wasaidizi wake walitafuta kuamsha walimu wa dini kwa tumaini la<br />
kweli la kanisa na mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> maarifa makubwa <strong>ya</strong> kikristo. Walitumika pia kwa kuamsha<br />
wasiogeuka kwa toba na mabadiliko. “Hawakujaribu kutubisha watu kwa dini fulani.<br />
Walitumika bila uchaguzi w makundi ao dini fulani. ” Akasema Miller, “Nilifikiri kusaidia<br />
wote. Niliwaza kwamba Wakristo wote wangefurahi katika kutazamia kuja kwa Kristo, na<br />
kwamba wale hawakuweza kuona kama mimi hawangekosa kupenda wale waliopashwa<br />
kukubali kwa moyo mafundisho ha<strong>ya</strong>, sikuwaza kwamba kungeweza kuwa na lazima <strong>ya</strong><br />
mikutano <strong>ya</strong> kuachana... Hesabu kubwa <strong>ya</strong> wale waliogeuka chini <strong>ya</strong> kazi zangu walijiunga<br />
na makanisa mbalimbali iliyokuwako.”<br />
Lakini kwa sababu waongozi wa dini walipinga juu <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> Adventiste,<br />
walikatalia washiriki wao haki <strong>ya</strong> kuhuzuria kuhubiri juu <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu mara <strong>ya</strong> pili. Wala<br />
hata kusema kwa ajili <strong>ya</strong> tumaini lao katika kanisa. Waaminifu walipenda kanisa zao.<br />
Lakini walipoona haki <strong>ya</strong>o kwa kuchunguza mambo <strong>ya</strong> unabii unakanwa, waliona<br />
kwamba uaminifu kwa Mungu unawakataza kuwatii. Kwa hiyo waliona kwamba walikuwa<br />
na haki kujitenga. Wakati wa kipwa cha mwaka 1844 karibu elfu makumi tano wakatoka kwa<br />
makanisa.<br />
Katika makanisa mengi, kwa miaka nyingi kuongezeka kulikuwako lakini kwa kidogo<br />
kufuatana na matendo <strong>ya</strong> dunia iloyolingana na upungufu kwa maisha <strong>ya</strong> kiroho. Lakini kwa<br />
mwaka ule kulikuwa ushuhuda wa upunguo mkubwa ndani <strong>ya</strong> makanisa yote <strong>ya</strong> inchi. Jambo<br />
lilielezwa sana kwa magazeti na mimbarani.<br />
Bwana Barnes, mwandishi wa maelezo na mchungaji wa mojawapo wa makanisa<br />
makubwa <strong>ya</strong> Philadelphia, “akasema kwamba ... Sasa hakuna maamsho, hapana kugeuka,<br />
hakuna kuonekana sana kwa maendeleo katika neema katika walimu, na hakuna anayekuja<br />
kwa mafundisho <strong>ya</strong>ke kwa kuzungumza juu <strong>ya</strong> wokovu wa roho zao...kunakuwa kuongezeka<br />
kwa akili <strong>ya</strong> kidunia Ni vile inakuwa katika makanisa yote.”<br />
Katika mwezi wa Februari wa mwaka ule ule, Mwalimu Finney wa Oberlin College<br />
akasema: “Kwa kawaida, makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong> inchi yetu, <strong>ya</strong>navyoonekana, <strong>ya</strong>likuwa<br />
ao baridi ao adui <strong>ya</strong> matengenezo yote <strong>ya</strong> tabia na usafi v<strong>ya</strong> wakati huu ... ubaridi wa kiroho<br />
unatawala karibu kote kwa wingi wa kutisha; kwa hiyomagazeti <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> inchi yote<br />
<strong>ya</strong>nashuhudia ile. ...Kwa wingi sana washiriki wa kanisa wanatawaliwa na mtindo wakisasa<br />
(mode),<strong>ya</strong>naunga mkono mwovu katika makundi <strong>ya</strong> anasa, katika michezo, katika furaha. ...<br />
Makanisa kwa kawaida <strong>ya</strong>nakuwa kwa huzuniyenye kurudia kwa ushenzi. Yalikwisha<br />
kwenda mbali <strong>ya</strong> Bwana na amekwisha kujiondoa mwenyewe kwao.’‘<br />
Binadamu Anakataa Nuru<br />
152