12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 21. Kuteswa kwa Aijili <strong>ya</strong> Mwenendo wa<br />

Mpumbafu ao Mjinga<br />

William Miller na wasaidizi wake walitafuta kuamsha walimu wa dini kwa tumaini la<br />

kweli la kanisa na mahitaji <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> maarifa makubwa <strong>ya</strong> kikristo. Walitumika pia kwa kuamsha<br />

wasiogeuka kwa toba na mabadiliko. “Hawakujaribu kutubisha watu kwa dini fulani.<br />

Walitumika bila uchaguzi w makundi ao dini fulani. ” Akasema Miller, “Nilifikiri kusaidia<br />

wote. Niliwaza kwamba Wakristo wote wangefurahi katika kutazamia kuja kwa Kristo, na<br />

kwamba wale hawakuweza kuona kama mimi hawangekosa kupenda wale waliopashwa<br />

kukubali kwa moyo mafundisho ha<strong>ya</strong>, sikuwaza kwamba kungeweza kuwa na lazima <strong>ya</strong><br />

mikutano <strong>ya</strong> kuachana... Hesabu kubwa <strong>ya</strong> wale waliogeuka chini <strong>ya</strong> kazi zangu walijiunga<br />

na makanisa mbalimbali iliyokuwako.”<br />

Lakini kwa sababu waongozi wa dini walipinga juu <strong>ya</strong> mafundisho <strong>ya</strong> Adventiste,<br />

walikatalia washiriki wao haki <strong>ya</strong> kuhuzuria kuhubiri juu <strong>ya</strong> kuja kwa Yesu mara <strong>ya</strong> pili. Wala<br />

hata kusema kwa ajili <strong>ya</strong> tumaini lao katika kanisa. Waaminifu walipenda kanisa zao.<br />

Lakini walipoona haki <strong>ya</strong>o kwa kuchunguza mambo <strong>ya</strong> unabii unakanwa, waliona<br />

kwamba uaminifu kwa Mungu unawakataza kuwatii. Kwa hiyo waliona kwamba walikuwa<br />

na haki kujitenga. Wakati wa kipwa cha mwaka 1844 karibu elfu makumi tano wakatoka kwa<br />

makanisa.<br />

Katika makanisa mengi, kwa miaka nyingi kuongezeka kulikuwako lakini kwa kidogo<br />

kufuatana na matendo <strong>ya</strong> dunia iloyolingana na upungufu kwa maisha <strong>ya</strong> kiroho. Lakini kwa<br />

mwaka ule kulikuwa ushuhuda wa upunguo mkubwa ndani <strong>ya</strong> makanisa yote <strong>ya</strong> inchi. Jambo<br />

lilielezwa sana kwa magazeti na mimbarani.<br />

Bwana Barnes, mwandishi wa maelezo na mchungaji wa mojawapo wa makanisa<br />

makubwa <strong>ya</strong> Philadelphia, “akasema kwamba ... Sasa hakuna maamsho, hapana kugeuka,<br />

hakuna kuonekana sana kwa maendeleo katika neema katika walimu, na hakuna anayekuja<br />

kwa mafundisho <strong>ya</strong>ke kwa kuzungumza juu <strong>ya</strong> wokovu wa roho zao...kunakuwa kuongezeka<br />

kwa akili <strong>ya</strong> kidunia Ni vile inakuwa katika makanisa yote.”<br />

Katika mwezi wa Februari wa mwaka ule ule, Mwalimu Finney wa Oberlin College<br />

akasema: “Kwa kawaida, makanisa <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong> <strong>ya</strong> inchi yetu, <strong>ya</strong>navyoonekana, <strong>ya</strong>likuwa<br />

ao baridi ao adui <strong>ya</strong> matengenezo yote <strong>ya</strong> tabia na usafi v<strong>ya</strong> wakati huu ... ubaridi wa kiroho<br />

unatawala karibu kote kwa wingi wa kutisha; kwa hiyomagazeti <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> inchi yote<br />

<strong>ya</strong>nashuhudia ile. ...Kwa wingi sana washiriki wa kanisa wanatawaliwa na mtindo wakisasa<br />

(mode),<strong>ya</strong>naunga mkono mwovu katika makundi <strong>ya</strong> anasa, katika michezo, katika furaha. ...<br />

Makanisa kwa kawaida <strong>ya</strong>nakuwa kwa huzuniyenye kurudia kwa ushenzi. Yalikwisha<br />

kwenda mbali <strong>ya</strong> Bwana na amekwisha kujiondoa mwenyewe kwao.’‘<br />

Binadamu Anakataa Nuru<br />

152

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!