12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

kungali Wa<strong>ya</strong>hudi, wajinga ambao hawakujua tabia na kazi <strong>ya</strong> Kristo. Na watoto<br />

hawakufurahia nuru ambayo wazazi wao waliikataa kwa zarau katika mahubiri <strong>ya</strong> mitume,<br />

Mungu aliwezesha nuru kuangaza juu <strong>ya</strong>o. Waliona namna gani unabii ulitimia, si katika<br />

kuzaliwa tu na maisha <strong>ya</strong> Kristo, bali katika kifo chake na ufufuo. Watoto hawakuhukumiwa<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> zambi za wazazi; lakini wakati walipokataa nuru ingine waliopewa, wakawa<br />

washiriki wa zambi za wazazi na wakajaza kipimo cha uovu wao.<br />

Wa<strong>ya</strong>hudi katika ugumu wa mioyo <strong>ya</strong>o wakakataa shauri la mwisho la rehema. Ndipo<br />

Mungu akaondoa ulinzi wake kwao. Taifa likaachwa kwa utawala wa mwongozi lililo<br />

mchagua. Shetani akaamsha tamaa kali sana na mba<strong>ya</strong> kuliko za roho. Watu wakakosa akili<br />

wakatawaliwa na nguvu na hasira <strong>ya</strong> upofu, <strong>ya</strong> shetani katika ukaidi wao. Marafiki na ndugu<br />

wakasalitiana wao kwa wao. Wazazi wakaua watoto wao, na watoto wazazi wao. Watawala<br />

hawakuwa na uwezo wa kujitawala wao wenyewe. Tamaa ikawafan<strong>ya</strong> kuwa wajeuri.<br />

Wa<strong>ya</strong>hudi wakakubali ushuhuda wa uwongo kwa kuhukumu Mwana wa Mungu asiye na<br />

kosa. Sasa mashitaki <strong>ya</strong> uwongo <strong>ya</strong>kafan<strong>ya</strong> maisha <strong>ya</strong>o kuwa si <strong>ya</strong> haki. Kuogopa Mungu<br />

hakukuwashitusha tena. Shetani alikuwa akiongoza taifa.<br />

Waongozi wa makundi <strong>ya</strong> upinzani wakaanguka mmoja juu za mwingine na kuwa bila<br />

huruma. Hata utakatifu wa hekalu haukuweza kuzuia ukali wao wa kutisha. Mahali patakatifu<br />

pakanajisiwa na miili <strong>ya</strong> waliouawa. Lakini washawishi wa kazi hii <strong>ya</strong> kishetani walitangaza<br />

kwamba hawakuwa na hofu yo yote kwamba Yerusalema ingeharibiwa! Ulikuwa mji wa<br />

Mungu. Hata wakati majeshi <strong>ya</strong> Waroma walipozunguka hekalu, makundi <strong>ya</strong>lisimama imara<br />

kwa wazo kwamba Aliye juu angejitia kati kwa kushinda kwa maadui wao. Lakini Israeli<br />

alitupia mbali ulinzi wa Mungu, na sasa hakuwa na ulinzi.<br />

Alama za Musiba<br />

Unabii uliyotolewa na Kristo kwa ajili <strong>ya</strong> uharibifu wa Yerusalema <strong>ya</strong>litimia wazi wazi.<br />

Dalili na maajabu <strong>ya</strong>litokea. Kwa muda wa miaka saba mtu aliendelea kupanda na kutelemuka<br />

katika njia za Yerusalema, kutangaza misiba itakayokuja. Kiumbe hiki cha ajabu kilifungwa<br />

gerezani na kuazibiwa, lakini kwa matusi maba<strong>ya</strong> hayo akajibu tu, “Ole, ole kwa<br />

Yerusalema”! Aliuawa katika mitego <strong>ya</strong> maadui aliyotabiri.<br />

“Hakuna Mkristo hata mmoja aliyeangamia katika uharibifu wa Yerusalema. Baada <strong>ya</strong><br />

Waroma chini <strong>ya</strong> uongozi wa Cestius walipozunguka mji, kwa gafula wakaacha mazingiwa<br />

wakati kila kitu kilionekana kuwa cha kufaa kwa shambulio. Mkuu wa Roma akaondoa<br />

majeshi <strong>ya</strong>ke bila sababu ndogo wazi. Alama iliyoahidiwa ilitolewa kwa Wakristo waliokuwa<br />

wakingojea. Luka 21:20,21.<br />

Mambo <strong>ya</strong>kafanyika kwa namna ambayo hata Wa<strong>ya</strong>hudi ama Waroma hawakupinga<br />

kukimbia kwa Wakristo. Katika kushindwa kwa Cestius, Wa<strong>ya</strong>hudi wakafuata, na wakati<br />

majeshi hayo mawili <strong>ya</strong>lipokutana, Wakristo popote katika inchi waliweza kufan<strong>ya</strong> kimbilio<br />

lao bila kusumbuliwa mahali pa salama, kwa mji wa Pella.<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!