You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Lakini wale waliotamani sababu <strong>ya</strong> kukataa kweli wakafunga masikio <strong>ya</strong>o kwa maelezo<br />
ha<strong>ya</strong>, na maneno “Hakuna mtu anayejua siku ao saa” <strong>ya</strong>kaendelea kukaririwa na watu wa<br />
zarau na hata wanaojidai kuwa wahubiri wa Kristo. Wakati watu walipoanza kuuliza njia <strong>ya</strong><br />
wokovu, walimu wa dini wakajitia kati <strong>ya</strong>o na ukweli kwa kufasiri kwa uongo Neno la<br />
Mungu.<br />
Waaminifu zaidi katika makanisa walikuwa kwa kawaida wa kwanza kupokea habari.<br />
Mahali ambapo watu hawakuwa wakiongozwa na wapadri, mahali ambapo wangeweza<br />
kutafuta Neno la Mungu wao wenyewe, mafundisho <strong>ya</strong> kurudi <strong>ya</strong>lihitaji tu kulinganishwa<br />
pamoja na Maandiko juu <strong>ya</strong> kuimarisha mamlaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kimungu.<br />
Wengi waliongozwa viba<strong>ya</strong> na waume, wake, wazazi, ao watoto na walifanywa kuamini<br />
jambo hili kama zambi hata kwa kusikiliza mambo <strong>ya</strong> “uzushi”<strong>ya</strong> namna hiyo kama<br />
iliyofundishwa na Waadventisti. Malaika waliagiza kuwa na ulinzi aminifu juu <strong>ya</strong> roho hizi,<br />
kwa maana nuru ingine ilipaswa kuangaza juu <strong>ya</strong>o kutoka kwa kiti cha Mungu.<br />
Wale waliokubali habari walingojea kuja kwa Mwokozi wao. Wakati ambao walitazamia<br />
kukutana naye ulikuwa karibu. Wakakaribisha saa hii kwa utulivu wa heshima. Hakuna<br />
aliyekuwa na maarifa hii anayeweza kusahau saa hizo za tamani za kungoja. Kwa maana juma<br />
chache mbele <strong>ya</strong> wakati ule, kazi <strong>ya</strong> kidunia kwa sehemu kubwa iliwekwa pembeni.<br />
Waaminifu wa kweli kwa uangalifu wakachunguza mioyo <strong>ya</strong>o kama kwamba katika saa<br />
chache kufunga macho <strong>ya</strong>o kwa maono <strong>ya</strong> kidunia. Hapo hapakuwa kushona “mavazi <strong>ya</strong><br />
kupanda nayo” (Tazama Nyongezo), lakini wote wakasikia haja <strong>ya</strong> ushuhuda wenyewe<br />
kwamba walikuwa wakijita<strong>ya</strong>risha kuonana na Mwokozi. Mavazi <strong>ya</strong>o meupe <strong>ya</strong>likuwa usafi<br />
wa roho--tabia zilizotakaswa na damu <strong>ya</strong> kafara <strong>ya</strong> Kristo. Hebu kwamba kungekuwa vivyo<br />
na watu wa Mungu na moyo wa namna moja wa kuchunguza, imani yenye juhudi.<br />
Mungu alitaka kuonyesha watu wake. Mkono wake ulifunika kosa katika kuhesabu<br />
n<strong>ya</strong>kati za unabii. Wakati wa kutazamia ule ukapita, na Kristo hakuonekana. Wale<br />
waliotazamia Mwokozi wao wakajua uchungu mkali. Lakini Mungu alikuwa akichunguza<br />
mioyo <strong>ya</strong> wale waliojidai kungoja kuonekana kwake. Wengi waliongozwa kwa hofu. Watu<br />
hawa wakatangaza kwamba hawakuamini kamwe kwamba Kristo atakuja. Walikuwa<br />
miongoni mwa wa kwanza kuchekelea huzuni <strong>ya</strong> waamini wa kweli.<br />
Lakini Yesu na jeshi lote la mbinguni walitazamia kwa upendo na huruma juu <strong>ya</strong><br />
waaminifu ijapo walikuwa wenye kukatishwa tamaa. Kama kifuniko kinachotenga dunia na<br />
vile vinavyoonekana kwa visivyoonekana kikiinuliwa, malaika wangaliweza kuonekana<br />
wakisogea karibu na roho hizi za uaminifu na kuzilinda kwa mishale <strong>ya</strong> Shetani.<br />
151