You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
mioyo <strong>ya</strong> watoto kwa wazazi wao. Malaki 4:5, 6. Vizuizi v<strong>ya</strong> kiburi na matengano<br />
vikatupiliwa mbali. Maungamo <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong>kafanywa. Mahali po pote roho zilikuwa<br />
zikiomboleza mbele <strong>ya</strong> Mungu. Wengi walitumia usiku wote mzima katika maombi kwa ajili<br />
<strong>ya</strong> hakika kwamba zambi zao zilisamehewa, ao kugeuka kwa jamaa zao wala jirani.<br />
Makundi yote, watajiri na maskini, watu wa juu wala wa chini, wakawa na hamu <strong>ya</strong><br />
kusikia mafundisho <strong>ya</strong> kuja kwa maraa <strong>ya</strong> pili. Roho <strong>ya</strong> Mungu ikatoa uwezo kwa ukweli<br />
wake. Kuwako kwa Malaika watakatifu kulisikiwa katika makutano ha<strong>ya</strong>, na wengi walikuwa<br />
wakiongezeka kila siku kwa waaminifu. Makutano makubwa wakasikiliza kwa utulivu kwa<br />
maneno <strong>ya</strong> heshima. Mbingu na dunia vilionekana kukaribiana. Watu wakarudi nyumbani na<br />
sifa kwa midomo <strong>ya</strong>o, na sauti <strong>ya</strong> furaha ikavuma kwa utulivu wa usiku. Hakuna aliyehuzuria<br />
mikutano hiyo angaliweza kamwe kusahau maono <strong>ya</strong> usikizi mwingi.<br />
Habari llipingwa<br />
Tangazo la wakati kamili wa kuja kwa Kristo kukaleta mabishano sana kwa wengi wa<br />
makundi yote, tokea kwa wachungaji katika mimbara hata kwa mkubwa miongoni mwa<br />
wenye zambi. Wengi walitangaza kwamba hawakuwa na kizuizi kwa mafundisho <strong>ya</strong> kurudi<br />
kwa Yesu; walikataa tu wakati kamili. Lakini jicho la Mungu linaloona vyote likasoma mioyo<br />
<strong>ya</strong>o. Hawakutamani kusikia habari <strong>ya</strong> kuja kwa Kristo ili aihukumu dunia kwa haki. Matendo<br />
<strong>ya</strong>o ha<strong>ya</strong>ngevumilia uchunguzi wa moyo unaomtafuta Mungu, na waliogopa kukutana na<br />
Bwana wao. Kama Ma<strong>ya</strong>hudi kwa wakati wa kuja kwa Kristo kwa mara <strong>ya</strong> kwanza<br />
hawakujita<strong>ya</strong>risha kumpokea Yesu. Hawakukataa tu kusikiliza mabishano <strong>ya</strong> wazi kutoka<br />
kwa Biblia lakini wakachekelea wale waliokuwa wakitazamia Bwana. Shetani akatupa laumu<br />
kwa uso wa Kristo kwamba wanaojidai kuwa watu wake walikuwa na upendo mdogo sana<br />
kwake hata hawakutaka kuonekana kwake.<br />
“Hakuna mtu anayejua habari za siku ile na saa ile,” ilikuwa ubishi mara kwa mara<br />
ulioendelea kuletwa na waliokataa imani <strong>ya</strong> kurudi kwa Yesu. Andiko ni: ‘’Habari za siku ile<br />
na saa ile hakuna mtu anayejua, hata malaika walio mbinguni, ... ila Baba peke <strong>ya</strong>ke.” Matayo<br />
24:36. Maelezo wazi <strong>ya</strong> maneno ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>litolewa na wale waliokuwa wakitazamia Bwana, na<br />
matumizi maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> wapinzani wao <strong>ya</strong>lionyeshwa kwa wazi.<br />
Usemi moja la Mwokozi haupashwi kutumiwa kwa kuharibu lingine. Ingawa hakuna mtu<br />
anayejua siku wala saa <strong>ya</strong> kuja kwake, tunaagizwa kujua wakati unakuwa karibu. Kukataa<br />
wala kutojali kujua wakati wa kuja kwake kunapokuwa karibu kutakuwa kwetu kama hatari<br />
kwetu kama ilivyokuwa katika siku za Noa bila kujua wakati gani garika ilipashwa kuja.<br />
Kristo anasema, “Lakini, usipoangalia, nitakuja kwako kama mwizi, wala hutajua saa<br />
nitakapokuja kwako.” Ufunuo 3:3.<br />
Paulo anasema kwa habari za wale waliojali onyo la Mwokozi: “Lakini ninyi ndugu, si<br />
katika giza, hata siku ile iwapate ninyi kama mwizi: sababu ninyi wote ni wana wa nuru, na<br />
wana wa mchana.” 1 Watesalonika 5:2-5.<br />
150