You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Watu wakasikiliza kwa kutetemeka. Roho wa Mungu akasema mioyoni. Wengi<br />
wakaongozwa kwa kutafuta Maandiko, wasiokuwa na kiasi wakatengenezwa, na kazi<br />
ikafanywa kwa kuonyesha kwamba hata wachungaji wa kanisa la pale walilazimishwa<br />
kukubali kwamba mkono wa Mungu ulikuwa katika mabadiliko.<br />
Ilikuwa mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kwamba habari <strong>ya</strong> kuja kwa Mwokozi ilipashwa kutolewa<br />
katika Skandinavie, na akaweka Roho <strong>ya</strong>ke juu <strong>ya</strong> watoto ili kazi iweze kutendeka. Wakati<br />
Yesu alipokaribia Yerusalema, watu, wakaogopeshwa na mapadri na watawala, wakaacha<br />
tangazo lao la furaha walipokuwa wakiingia kwa milango <strong>ya</strong> Yerusalema. Lakini watoto<br />
katika viwanja v<strong>ya</strong> hekalu wakachukua kiitikio, na wakapaaza sauti, “Hosana kwa Mwana wa<br />
Daudi!” Matayo 21:8-16. Kwa namna Mungu alitenda kazi kwa njia <strong>ya</strong> watoto kwa wakati<br />
wa kuja kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Kristo, ndivyo hivyo akatumika kwa njia <strong>ya</strong>o katika kutoa<br />
ujumbe wa kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili.<br />
Ujumbe Unatawanyika<br />
Amerika ikawa mahali pakubwa pa kazi <strong>ya</strong> kutangaza kurudi kwa Yesu. Maandiko <strong>ya</strong><br />
Miller na <strong>ya</strong> washiriki wake <strong>ya</strong>kaenezwa duniani pote. Mbali na katika eneo kubwa habari<br />
njema <strong>ya</strong> milele: “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja.”<br />
Mambo <strong>ya</strong> unabii ambayo ilionekana kuonyesha kuja kwa Kristo katika majira <strong>ya</strong> 1844<br />
<strong>ya</strong>kashikwa sana rohoni mwa watu. Wengi wakasadikishwa kwamba mabishano juu <strong>ya</strong><br />
n<strong>ya</strong>kati za unabii <strong>ya</strong>likuwa <strong>ya</strong> haki, na wakaacha kiburi na mafikara <strong>ya</strong>o, wakakubali kweli<br />
kwa furaha. Wachungaji wengine wakaacha mishahara <strong>ya</strong>o na wakajiunga katika kutangaza<br />
kuja kwa Yesu. Karibu wachungaji wachache, walakini, walikubali habari hii; kwa hivyo<br />
ikatolewa zaidi kwa watu wanyenyekevu wasiokuwa mapadri. Wakulima wakaacha<br />
mashamba <strong>ya</strong>o; wafundi wa mashini, wakaacha vyombo v<strong>ya</strong>o; wachuuzi wakaacha biashara<br />
<strong>ya</strong>o; wafundi wa kazi wakaacha vyeo v<strong>ya</strong>o. Kwa mapenzi wakavumilia kazi ngumu, taabu,<br />
na mateso, ili wapate kuita watu kwa toba kwa wokovu. Ukweli wa kurudi kwa Yesu<br />
ukakubaliwa na maelfu <strong>ya</strong> watu.<br />
Maandiko Rahisi Yanaleta Hakikisho<br />
Kama Yoane Mbatizaji wahubiri waliweka shoka katika shina la miti na kusihi sana wote<br />
kuzaa “matunda <strong>ya</strong>nayofaa kwa toba.” Kwa kuonyesha tofauti kwa uhakikika wa amani na<br />
salama vilivyosikiwa kwa mimbara <strong>ya</strong> watu wengi, ushuhuda rahisi wa Maandiko ukaleta<br />
hakikisho ambalo wachache waliweza kabisa kabisa kupinga. Wengi wakamtafuta Bwana<br />
kwa toba. Kwa kuacha mapenzi ambayo walishikamana nayo wakati mrefu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong><br />
kidunia sasa wakatazama mbinguni. Kwa mioyo <strong>ya</strong> upole na polepole wakajiunga kwa kupaza<br />
sauti: “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja.”<br />
Wenye zambi wakauliza kwaa machozi: “Ninapashwa kufan<strong>ya</strong> nini ili niokolewe?” Wale<br />
waliokosea jirani zao wakajiharakisha kwa kutengeneza kosa. Wote waliopata amani katika<br />
Kristo wakatamani kuijulisha kwa wengine. Mioyo <strong>ya</strong> wazazi ikarudia kwa watoto wao, na<br />
149