Kupinga ya Kiprotestanti

newcovenantpublicationsintl
from newcovenantpublicationsintl More from this publisher
12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti Akashangazwa na namna unabii ulitimilika kwa uaminifu. Hapa palikuwa na ushuhuda kwa maongozi ya Maandiko. Hakuweza kudumu kutoshelewa na akili za kibinadamu, na katika kujifunza Biblia akaongozwa kwa imani ya hakika. Akafikia kwa imani kwamba kuja kwa Bwana kulikuwa karibu. Alipovutwa na umuhimu wa ukweli huu, akakusudia kuupeleka mbele ya watu. Lakini imani ya watu wengi kwamba mambo ya unabii wa Danieli hayawezi kufahamika ilikuwa kizuizi kikubwa. Mwishowe akakusudia--kama vile Farel alivyofanya mbele yake katika kuhubiri Genève--kwa kuanza na watoto, kwa njia yao akatumainia kuwa wazazi watavutwa. Akasema, “Nikusanya wasikilizaji watoto; kama kundi linaongezeka kuwa, kubwa, kama likionekana kwamba wanasikiliza, wanapendezwa, wanakuwa na usikizi, kwamba wanafahamu na kueleza fundisho, nina hakika kuwa na kundi la pili karibu, na wao, watu wakubwa wataona kwamba ni faida yao kukaa na kujifunza. Wakati jambo hili linapotendeka, ushindi utapatikana.” Alipokuwa akisema na watoto, watu wakubwa wakaja kusikiliza. Vyumba vya kanisa lake vikajaa na wasikilizaji, watu wa heshima na wenye elimu, na wageni wa inchi zingine wakazuru Geneve. Kwa hivyo ujumbe ukapelekwa kwa sehemu zingine. Alipotiwa moyo, Gaussen akatangaza mafundisho yake na matumaini ya kuanzisha mafundisho ya vitabu vya unabii. Baadaye akawa mwalimu katika chuo cha elimu ya tabia na sifa za Mungu na dini, akiendelea kwa siku ya juma pili na kazi yake kama mwalimu wa katikisimu, kusema kwa watoto na kuwafundisha katika Maandiko. Kwa kiti cha mwalimu, kwa njia ya vitabu (chapa) na kama mwalimu wa watoto, yeye kwa miaka mingi alikuwa chombo katika kuita uangalifu wa wengi kwa mambo ya unabii ambayo yalionyesha kwamba kuja kwa Bwana kulikuwa karibu. Wahubiri Watoto wa Skandinavie Katika Skandinavie vilevile ujumbe wa kurudi kwa Yesu alitangazwa. Wengi wakasimama kutubu na kuacha zambi zao na kutafuta rehema katika jina la Kristo. Lakini padri wa kanisa la mahali pale akapinga mabadiliko, na wengine waliohubiri ujumbe wakatupwa gerezani. Mahali pengi ambapo wahubiri wa kuja kwa Bwana kwa karibu walinyamazishwa, Mungu akapendezwa kutuma ujumbe kwa njia ya watoto wadogo. Kama vile walikuwa chini ya umri wa maisha ya mtu mzima, serkali haikuweza kuwafunga, na wakaruhusiwa kusema bila kusumbuliwa. Katika makao yake ya umasikini watu wakakusanyika kusikia maonyo. Wahubiri wengine watoto hawakuwa zaidi ya umri wa miaka sita ao mnane; ijapo maisha yao yalishuhudia kwamba walimpenda Mwokozi, wakaonyesha tu kwa kawaida akili na uwezo vinavyoonekana katika watoto wa umri ule. Wakati waliposimama mbele ya watu, lakini, walibadilishwa na mvuto mbali ya zawadi zao za kawaida. Sauti na tabia vikageuka, na pamoja na uwezo mkubwa wakatoa maonyo ya hukumu, “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana saa ya hukumu yake imekuja.” 148

Kupinga ya Kiprotestanti Watu wakasikiliza kwa kutetemeka. Roho wa Mungu akasema mioyoni. Wengi wakaongozwa kwa kutafuta Maandiko, wasiokuwa na kiasi wakatengenezwa, na kazi ikafanywa kwa kuonyesha kwamba hata wachungaji wa kanisa la pale walilazimishwa kukubali kwamba mkono wa Mungu ulikuwa katika mabadiliko. Ilikuwa mapenzi ya Mungu kwamba habari ya kuja kwa Mwokozi ilipashwa kutolewa katika Skandinavie, na akaweka Roho yake juu ya watoto ili kazi iweze kutendeka. Wakati Yesu alipokaribia Yerusalema, watu, wakaogopeshwa na mapadri na watawala, wakaacha tangazo lao la furaha walipokuwa wakiingia kwa milango ya Yerusalema. Lakini watoto katika viwanja vya hekalu wakachukua kiitikio, na wakapaaza sauti, “Hosana kwa Mwana wa Daudi!” Matayo 21:8-16. Kwa namna Mungu alitenda kazi kwa njia ya watoto kwa wakati wa kuja kwa mara ya kwanza kwa Kristo, ndivyo hivyo akatumika kwa njia yao katika kutoa ujumbe wa kuja kwake kwa mara ya pili. Ujumbe Unatawanyika Amerika ikawa mahali pakubwa pa kazi ya kutangaza kurudi kwa Yesu. Maandiko ya Miller na ya washiriki wake yakaenezwa duniani pote. Mbali na katika eneo kubwa habari njema ya milele: “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana hukumu yake imekuja.” Mambo ya unabii ambayo ilionekana kuonyesha kuja kwa Kristo katika majira ya 1844 yakashikwa sana rohoni mwa watu. Wengi wakasadikishwa kwamba mabishano juu ya nyakati za unabii yalikuwa ya haki, na wakaacha kiburi na mafikara yao, wakakubali kweli kwa furaha. Wachungaji wengine wakaacha mishahara yao na wakajiunga katika kutangaza kuja kwa Yesu. Karibu wachungaji wachache, walakini, walikubali habari hii; kwa hivyo ikatolewa zaidi kwa watu wanyenyekevu wasiokuwa mapadri. Wakulima wakaacha mashamba yao; wafundi wa mashini, wakaacha vyombo vyao; wachuuzi wakaacha biashara yao; wafundi wa kazi wakaacha vyeo vyao. Kwa mapenzi wakavumilia kazi ngumu, taabu, na mateso, ili wapate kuita watu kwa toba kwa wokovu. Ukweli wa kurudi kwa Yesu ukakubaliwa na maelfu ya watu. Maandiko Rahisi Yanaleta Hakikisho Kama Yoane Mbatizaji wahubiri waliweka shoka katika shina la miti na kusihi sana wote kuzaa “matunda yanayofaa kwa toba.” Kwa kuonyesha tofauti kwa uhakikika wa amani na salama vilivyosikiwa kwa mimbara ya watu wengi, ushuhuda rahisi wa Maandiko ukaleta hakikisho ambalo wachache waliweza kabisa kabisa kupinga. Wengi wakamtafuta Bwana kwa toba. Kwa kuacha mapenzi ambayo walishikamana nayo wakati mrefu ya mambo ya kidunia sasa wakatazama mbinguni. Kwa mioyo ya upole na polepole wakajiunga kwa kupaza sauti: “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana saa ya hukumu yake imekuja.” Wenye zambi wakauliza kwaa machozi: “Ninapashwa kufanya nini ili niokolewe?” Wale waliokosea jirani zao wakajiharakisha kwa kutengeneza kosa. Wote waliopata amani katika Kristo wakatamani kuijulisha kwa wengine. Mioyo ya wazazi ikarudia kwa watoto wao, na 149

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Akashangazwa na namna unabii ulitimilika kwa uaminifu. Hapa palikuwa na ushuhuda kwa<br />

maongozi <strong>ya</strong> Maandiko. Hakuweza kudumu kutoshelewa na akili za kibinadamu, na katika<br />

kujifunza Biblia akaongozwa kwa imani <strong>ya</strong> hakika.<br />

Akafikia kwa imani kwamba kuja kwa Bwana kulikuwa karibu. Alipovutwa na umuhimu<br />

wa ukweli huu, akakusudia kuupeleka mbele <strong>ya</strong> watu. Lakini imani <strong>ya</strong> watu wengi kwamba<br />

mambo <strong>ya</strong> unabii wa Danieli ha<strong>ya</strong>wezi kufahamika ilikuwa kizuizi kikubwa. Mwishowe<br />

akakusudia--kama vile Farel alivyofan<strong>ya</strong> mbele <strong>ya</strong>ke katika kuhubiri Genève--kwa kuanza na<br />

watoto, kwa njia <strong>ya</strong>o akatumainia kuwa wazazi watavutwa. Akasema, “Nikusan<strong>ya</strong><br />

wasikilizaji watoto; kama kundi linaongezeka kuwa, kubwa, kama likionekana kwamba<br />

wanasikiliza, wanapendezwa, wanakuwa na usikizi, kwamba wanafahamu na kueleza<br />

fundisho, nina hakika kuwa na kundi la pili karibu, na wao, watu wakubwa wataona kwamba<br />

ni faida <strong>ya</strong>o kukaa na kujifunza. Wakati jambo hili linapotendeka, ushindi utapatikana.”<br />

Alipokuwa akisema na watoto, watu wakubwa wakaja kusikiliza. Vyumba v<strong>ya</strong> kanisa lake<br />

vikajaa na wasikilizaji, watu wa heshima na wenye elimu, na wageni wa inchi zingine<br />

wakazuru Geneve. Kwa hivyo ujumbe ukapelekwa kwa sehemu zingine.<br />

Alipotiwa moyo, Gaussen akatangaza mafundisho <strong>ya</strong>ke na matumaini <strong>ya</strong> kuanzisha<br />

mafundisho <strong>ya</strong> vitabu v<strong>ya</strong> unabii. Baadaye akawa mwalimu katika chuo cha elimu <strong>ya</strong> tabia na<br />

sifa za Mungu na dini, akiendelea kwa siku <strong>ya</strong> juma pili na kazi <strong>ya</strong>ke kama mwalimu wa<br />

katikisimu, kusema kwa watoto na kuwafundisha katika Maandiko. Kwa kiti cha mwalimu,<br />

kwa njia <strong>ya</strong> vitabu (chapa) na kama mwalimu wa watoto, yeye kwa miaka mingi alikuwa<br />

chombo katika kuita uangalifu wa wengi kwa mambo <strong>ya</strong> unabii ambayo <strong>ya</strong>lionyesha kwamba<br />

kuja kwa Bwana kulikuwa karibu.<br />

Wahubiri Watoto wa Skandinavie<br />

Katika Skandinavie vilevile ujumbe wa kurudi kwa Yesu alitangazwa. Wengi<br />

wakasimama kutubu na kuacha zambi zao na kutafuta rehema katika jina la Kristo. Lakini<br />

padri wa kanisa la mahali pale akapinga mabadiliko, na wengine waliohubiri ujumbe<br />

wakatupwa gerezani. Mahali pengi ambapo wahubiri wa kuja kwa Bwana kwa karibu<br />

walin<strong>ya</strong>mazishwa, Mungu akapendezwa kutuma ujumbe kwa njia <strong>ya</strong> watoto wadogo. Kama<br />

vile walikuwa chini <strong>ya</strong> umri wa maisha <strong>ya</strong> mtu mzima, serkali haikuweza kuwafunga, na<br />

wakaruhusiwa kusema bila kusumbuliwa.<br />

Katika makao <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> umasikini watu wakakusanyika kusikia maonyo. Wahubiri wengine<br />

watoto hawakuwa zaidi <strong>ya</strong> umri wa miaka sita ao mnane; ijapo maisha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>lishuhudia<br />

kwamba walimpenda Mwokozi, wakaonyesha tu kwa kawaida akili na uwezo<br />

vinavyoonekana katika watoto wa umri ule. Wakati waliposimama mbele <strong>ya</strong> watu, lakini,<br />

walibadilishwa na mvuto mbali <strong>ya</strong> zawadi zao za kawaida. Sauti na tabia vikageuka, na<br />

pamoja na uwezo mkubwa wakatoa maonyo <strong>ya</strong> hukumu, “Ogopeni Mungu, na kumutukuza<br />

kwa maana saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja.”<br />

148

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!