You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wolff aliamini kuja kwa Bwana kuwa karibu. Maelezo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati za unabii<br />
<strong>ya</strong>kamfan<strong>ya</strong> kuzania kurudi huko kama tarehe iliyoonyeshwa na Miller. “Je, Bwana wetu ...<br />
hakututolea ishara za wakati, kusudi tupate kujua hata, kukaribia kwa kuja kwake, jinsi mmoja<br />
anavyojua kukaribia kwa wakati wa jua kali kwa mtini na kutoa majani <strong>ya</strong>ke? Inatosha ...<br />
itajulikana kwa ishara za wakati, kwa kutushawishi kujita<strong>ya</strong>risha kwa ajili <strong>ya</strong> kuja kwake,<br />
kama vile Noa alivyota<strong>ya</strong>risha safina.”<br />
<strong>Kupinga</strong> Maelezo <strong>ya</strong> Watu Wengi<br />
Kufuatana na namna watu wotewalivyo tafsiri ao kutambua Maandiko, Wolff akaandika:<br />
“Sehemu kubwa sana <strong>ya</strong> kanisa la Kikristo imepotoka kutoka kwa maana kamili <strong>ya</strong> Maandiko,<br />
na ... wanapofikiri kwamba wakati wanaposoma habari <strong>ya</strong> Wa<strong>ya</strong>hudi, wanapaswa kufahamu<br />
Mataifa,na wanaposoma Yerusalema, wanapaswa kufahamu kanisa; na kama inasemwa<br />
dunia, maana <strong>ya</strong>ke ni mbingu; na kwa kurudi kwa Bwana wanapaswa kufahamu maendeleo<br />
<strong>ya</strong> v<strong>ya</strong>ma v<strong>ya</strong> wajumbe: na kupanda juu <strong>ya</strong> mlima wa nyumba <strong>ya</strong> Bwana, maana <strong>ya</strong>ke ni<br />
mkutano wa kundi kubwa la wamethodistes.”<br />
Tangu miaka 1821 hata 1845, Wolff akasafiri katika Misri, Abisinia, Palestina, Syria,<br />
Persia, Bokhara, India, na Amerika.<br />
Uwezo katika Kitabu<br />
Dr. Wolff alisafiri katika inchi zilizokuwa za kishenzi kabisa bila ulinzi, kwa kuvumilia<br />
taabu na kuzunguukwa na hatari nyingi. Akateswa bila chakula, na baridi, kuuzwa kama<br />
mtumwa, mara tatu akakatiwa hukumu <strong>ya</strong> kifo, akaviziwa na wezi, na mara zingine karibu<br />
kufa kwa kiu cha maji. Mara moja akan<strong>ya</strong>nganywa vyote na akaachwa na kusafiri mwendo<br />
wa mamia <strong>ya</strong>kilometres kwa miguu katika milima, teluji zikipiga katika uso wake na n<strong>ya</strong>nyo<br />
zisizo naviatu zikagandamizwa na udongo wa baridi sana.<br />
Walipomshauria kwamba si vema kusafiri bila silaha katika makabila yenye ukaidi na<br />
uadui, akasema mwenyewe “kuwa na silaha “maombi, bidii kwa ajili <strong>ya</strong> Kristo, na tumaini<br />
katika usaada wake.” “Nimejazwa vilevile na upendo wa Mungu na jirani wangu katika moyo<br />
wangu, na Biblia inakuwa mikononi mwangu.” “Nilisikia nguvu zangu kuwa ndani <strong>ya</strong> Kitabu<br />
hiki, na kwamba uwezo wake utanilinda.”<br />
Akavumilia mpaka wakati ujumbe ungeweza kupelekwa katika sehemu kubwa <strong>ya</strong><br />
ulimwengu inayo katiwa na watu. Miongoni mwa Wa<strong>ya</strong>hudi, Turks, Parsis, Wahindi, na<br />
mataifa na makabila akagawan<strong>ya</strong> Neno la Mungu katika lugha mbalimbali, na mahali po pote<br />
akatangaza kukaribia kwa kuja kwa Masi<strong>ya</strong>. Katika safari <strong>ya</strong>ke huko Boukhari akakutana<br />
mafundisho <strong>ya</strong> kurudi kwa Bwana <strong>ya</strong>kifundishwa na watu waliokaa peke <strong>ya</strong>o. Waarabu wa<br />
Yemen, akasema, wanakuwa na kitabu kinachoitwa Seera, ambacho kina tangazo la kuja kwa<br />
Kristo mara <strong>ya</strong> pili na ufalme wake wa utukufu; na wanatazamia mambo makuu kutendeka<br />
katika mwaka 1840.” “Nikakuta wana wa Israeli, wa kabila la Dani, ... wanaotazamia, pamoja<br />
na wana wa Rekabu, kufika kwa upesi kwa Masi<strong>ya</strong> katika mawingu <strong>ya</strong> mbingu.”<br />
146