You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Miaka mitatu baada <strong>ya</strong> Miller kufikia kwa maelezo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> unabii. Dr. Joseph<br />
Wolff, “Mjumbe kwa ulimwengu,” akaanza kutangaza kukaribia kwa kuja kwa Bwana.<br />
Alizaliwa katika Ujeremani, wazazi wake Wa<strong>ya</strong>hudi. Alikuwa Kijana sana wakati ule,<br />
akasadikishwa kwa habari <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> kikristo. Alikuwa msikizi mwenye bidii sana<br />
kwa mazungumzo katika nyumba <strong>ya</strong> baba <strong>ya</strong>ke mahali Wa<strong>ya</strong>hudi waaminifu walikuwa<br />
wakikusanyika kila siku kwa kuzungumzia matumaini <strong>ya</strong> watu wao, utukufu wa kuja kwa<br />
Masi<strong>ya</strong>, na kuimarishwa tena kwa Israeli. Siku moja, kusikia Yesu wa Nazareti kutajwa,<br />
kijana akauliza kujua alikuwa nani. “Mu<strong>ya</strong>hudi wa talanta kubwa mno” wakajibu” Lakini<br />
alipojidai kuwa Masi<strong>ya</strong>, baraza la hukumu la Wa<strong>ya</strong>hudi likamkatia hukumu <strong>ya</strong> kifo.”<br />
“Sababu gani,” akafuatisha mwenye kuuliza, “je, Yerusalema iliharibiwa, na sababu gani<br />
tunakuwa katika utumwa?”<br />
“Ole, ole,” akajibu baba <strong>ya</strong>ke, “kwa sababu Wa<strong>ya</strong>hudi waliua manabii.” Mara moja wazo<br />
likaja moyoni mwa mtoto: “Pengine Yesu pia alikuwa vilevile nabii, na Wa<strong>ya</strong>hudi wakamuua<br />
wakati alikuwa bila kosa.” Ingawa alikatazwa kuingia katika kanisa la Kikristo, akakawia<br />
mara kwa mara inje kusikiliza mahubiri. Alipokuwa na miaka saba tu <strong>ya</strong> kuzaliwa, alikuwa<br />
akijisifu kwa jirani wake mkristo juu <strong>ya</strong> kushinda kwa Israel wakati ujao wa kuja kwa Masi<strong>ya</strong>.<br />
Mzee akasema kwa upole: “Kijana mpenzi, nitakwambia nani aliyekuwa Masi<strong>ya</strong> wa kweli:<br />
alikuwa Yesu wa Nazareti,... ambaye wababu wako walimsulubisha... Wende nyumbani na<br />
usome sura <strong>ya</strong> makumi tano na tatu <strong>ya</strong> Isa<strong>ya</strong>, na utasadikishwa kwamba Kristo ni Mwana wa<br />
Mungu.”<br />
Akaenda nyumbani na akasoma Maandiko. Kwa ukamilifu wa namna gani ilitimilika kwa<br />
Yesu wa Nazareti. Je, maneno <strong>ya</strong> mkristo yule ni <strong>ya</strong> haki? Kijana akauliza baba <strong>ya</strong>ke maelezo<br />
<strong>ya</strong> unabii lakini akakutana na ukim<strong>ya</strong> bila huruma na hakusubutu tena kamwe kusema<br />
inayoelekea fundisho lile pamoja naye.<br />
Wakati alipokuwa na miaka kumi na moja tu <strong>ya</strong> kuzaliwa, akaenda duniani kupata elimu,<br />
kuchagua dini <strong>ya</strong>ke na kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> maisha. Peke <strong>ya</strong>ke na bila senti hata moja, alipashwa<br />
kutafuta njia yeye mwenyewe. Akajifunza kwa bidii, na kujisaidia mwenyewe kwa mahitaji<br />
<strong>ya</strong>ke kwa kufundisha Kiebrania. Akaongozwa kukubali imani <strong>ya</strong> dini <strong>ya</strong> Roma na akaenda<br />
kufuata mafundisho <strong>ya</strong>ke katika College <strong>ya</strong> “Propagande de la Foi” (kutangaza imani). Hapo<br />
akashambulia kwa wazi matumizi maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> kanisa na akalazimisha matengenezo. Baada <strong>ya</strong><br />
mda, akatoshwa. Ikawa wazi kwamba hakuweza kamwe kuletwa kwa kutii utumwa wa dini<br />
<strong>ya</strong> Roma. Akatangazwa kuwa mtu asiyeweza kusahihshwa na kuachwa kwenda mahali<br />
palipompendeza. Akaenda Uingereza na akajiunga na kanisa la Uingereza. Baada <strong>ya</strong> miaka<br />
miwili <strong>ya</strong> majifunzo akaanza kazi <strong>ya</strong>ke mwaka 1821.<br />
Wolff aliona kwamba mambo <strong>ya</strong> unabii hutangaza kuja kwa Kristo mara <strong>ya</strong> pili kwa nguvu<br />
na utukufu. Alipotafuta kuongoza watu wake kwa Yesu wa Nazareti kama Ni yule<br />
aliyeahidiwa, kuwaonyesha kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kama kafara kwa ajili <strong>ya</strong> zambi,<br />
akawafundisha pia juu <strong>ya</strong> kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili.<br />
145