Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 20. Upendo kwa Ajili <strong>ya</strong> Kuja kwa Kristo<br />
6 Uamsho mkubwa wa dini umetabiriwa katika ujumbe wa malaika wa kwanza wa Ufunuo<br />
14. Malaika moja ameonekana akiruka “katikati <strong>ya</strong> mbingu, mwenye Habari Njema <strong>ya</strong> milele,<br />
ahubiri kwao wanaokaa juu <strong>ya</strong> dunia, na kila taifa na kabila na lugha na jamaa.” “Kwa sauti<br />
kubwa” akatangaza: “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke<br />
imekuja. Mukamwabudu yeye aliyefan<strong>ya</strong> mbingu na dunia na bahari na chemchemi za maji.”<br />
Ufunuo 14:6,7.<br />
Malaika ni mfano wa tabia bora <strong>ya</strong> kazi inayopaswa kutimizwa kwa ujumbe na uwezo na<br />
utukufu, ambavyo vinapaswa kuishugulikia. Kuruka kwa malaika “katikati <strong>ya</strong> Mbingu,”<br />
“sauti kubwa,” na matangazo <strong>ya</strong>ke “kwa kila taifa na kabila na lugha na jamaa” inatoa<br />
ushuhuda wa kuenea kwa upesi, katika dunia nzima kwa tendo. Kwa habari <strong>ya</strong> wakati ambao<br />
inapaswa kufanyika, inatangaza kufunguliwa kwa hukumu.<br />
Ujumbe huu ni sehemu <strong>ya</strong> habari njema (injili) ambayo ingeweza kutangazwa tu katika<br />
siku za mwisho, ambapo tu ndipo inaweza kuwa hatika kwamba saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke imekuja.<br />
Sehemu ile <strong>ya</strong> unabii wake ambao inaelekea kwa siku za mwisho, Danieli aliagizwa kufunga<br />
na kutia muhuri “hata wakati wa mwisho.” Danieli 12:4. Mpaka wakati huu ndipo ujumbe juu<br />
<strong>ya</strong> hukumu utangazwe, wenye msingi na kutimilika kwa unabii.<br />
Paulo alion<strong>ya</strong> kanisa lisitazamie kuja kwa Kristo katika siku zake. Mpaka baada <strong>ya</strong> uasi<br />
mkubwa na utawala mrefu wa “mtu wa zambi” tunaweza kutazamia kuja kwa Bwana wetu.<br />
Tazama 2 Watesalonika 2:3. “Mtu wa zambi” vilevile “siri <strong>ya</strong> uasi,” “mwana wa uharibifu,”<br />
na “yule mwenye uovu,” ni mfano wa cheo cha Papa, ambacho kilikuwa kwa kushikilia<br />
mamlaka <strong>ya</strong>ke kwa miaka 1260. Mda huu ulimalizika kwa mwaka 1798. Kuja kwa Kristo<br />
hakungefanyika mbele <strong>ya</strong> wakati ule. Paulo anaeneza onyo lake kwa ile inayohusu Wakristo<br />
wote hata kwa mwaka 1798. Kwa upande huu wa wakati ule, ujumbe wa Kuja kwa Kristo<br />
mara <strong>ya</strong> pili ukatangazwa. Sivyo ujumbe wa namna ile haujatolewa kamwe kwa vizazi<br />
vilivyopita. Paulo, kama tulivyoona, hakuuhubiri; aliuweka mbali kwa wakati ujao ujumbe<br />
wa kuja kwa Bwana. Watengenezaji hawakuutangaza. Martin Luther aliweka siku <strong>ya</strong> hukumu<br />
karibu <strong>ya</strong> miaka 300 zijazo kutoka kwa siku zake. Lakini tangu 1798 kitabu cha Danieli<br />
kilifunuliwa, na wengi wakatangaza ujumbe wa hukumu kuwa karibu.<br />
Katika Inchi Mbalimbali kwa Wakati Moja<br />
Kama Matengenezo <strong>ya</strong> karne <strong>ya</strong> kumi na sita, Mwendo (kazi), la Kuja kwa Yesu<br />
likaonekana katika inchi mbalimbali kwa wakati moja. Watu wa imani wakaongozwa<br />
kujifunza mambo <strong>ya</strong> unabii na wakaona ushuhuda wa kusadikisha kwamba mwisho ulikuwa<br />
karibu. Makundi mbali mbali <strong>ya</strong> Wakristo, kwa kujifunza Maandiko tu, wakafikia kwa<br />
kuamini kwamba kuja kwa Mwokozi kulikuwa karibu.<br />
144