Kupinga ya Kiprotestanti
Kupinga ya Kiprotestanti za Danieli 8:14, mahali ambamo majuma makumi saba yanakuwa Sehemu moja. Mahubiri ya kila mojawapo yalisimamia juu ya utimilifu wa sehemu mbalimbali za mda wa unabii ule ule. Kama wanafunzi wa kwanza, William Miller na washiriki wake hawakufahamu kabisa ujumbe waliuochukua. Makosa yaliyoanzishwa mda mrefu katika kanisa yakazuia maelezo sahihi ya jambo kubwa katika unabii. Kwa hiyo, ijapo walitangaza ujumbe ambao Mungu aliwatolea, lakini katika kukosa kufahamu maana yake wakateseka kwa kukata tamaa. Miller akaingiza maoni ya kawaida kwamba dunia ni “mahali patakatifu,” na akaamini kwamba “kutakasika kwa mahali patakatifu” kulionyesha kutakasika kwa dunia na moto kwa kuja kwa Bwana. Kwa hiyo, mwisho wa siku 2300, akazani, zilifunua wakati wa kuja kwa Yesu mara ya pili. Kutakaswa kwa mahali patakatifu ilikuwa kazi ya mwisho iliyofanywa na kuhani mkuu katika utaratibu wa huduma wa mwaka. Ilikuwa ni kufunga kazi ya upatanisho--kuondoa ao kuweka mbali zambi za Israeli. Ilionyesha picha la kufunga kazi ya Kuhani Mkuu wetu mbinguni katika kuondoa ao kufutia mbali zambi za watu wake zilizoandikwa katika vitabu mbinguni. Kazi hii inaleta uchunguzi, kazi ya hukumu, na inatangulia bila kukawia kuja kwa Kristo katika mawingu ya mbingu, kwani atakapokuja kila jambo litakuwa limekwisha kukatwa. Asema Yesu: “Na mshahara wangu ni pamoja nami, kulipa kila mtu kama ilivyo kazi yake.” Ufunuo 22:12. Ni hii kazi ya hukumu inayotangazwa na ujumbe wa malaika wa kwanza wa Ufunuo 14:7. “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana saa ya hukumu yake imekuja.” Wale waliotangaza onyo hili walitoa ujumbe wa haki kwa wakati unaofaa. Namna wanafunzi walikuwa hawakufahamu juu ya ufalme wa kusimamishwa kwa mwisho wa “majuma makumi saba,” vivyo hivyo Waadventisti hawakufahamu habari ya jambo lililopashwa kufanyika kwa mwisho wa “siku 2300.” Katika mambo mawili haya makosa inayopendwa na watu wengi ikapofusha akili kwa kutojua ukweli. Wote wawili wakatimiza mapenzi ya Mungu kwa kutoa ujumbe aliotamani utolewe, na wote wawili katika kukosa kufahamu maana ya ujumbe wao wakateseka kwa kukata tamaa. Lakini Mungu alitimiza kusudi lake katika kuruhusu onyo la hukumu kutolewa kama ilivyokuwa. Katika maongozi yake ujumbe ulikuwa kwa ajili ya uchunguzi na utakaso wa kanisa. Je, upendo wao ulikuwa juu ya dunia ao juu ya Kristo na mbingu? Je walikuwa tayari kuacha tamaa zao mbaya za dunia na kukaribisha kuja kwa Bwana wao? Uchungu vile ungechunguza mioyo ya wale waliojidai kupokea onyo. Je, wangetupilia mbali tumaini lao katika Neno la Mungu walipoitwa kwa kuvumilia makemeo ya dunia na jaribu la kukawia na kukata tamaa? Kwani hawakufahamu mara moja mambo ya Mungu, je wangetupa pembeni kweli iliyo kubaliwa na ushuhuda wazi wa Neno lake? Jaribu hili linge fundisha hatari ya kukubali maelezo ya watu baadala ya kufanya Biblia mtafsiri wake mwenyewe. Watoto wa imani wangeongozwa kujifunza kwa bidii sana Neno, na kuchunguza 142
Kupinga ya Kiprotestanti kwa uangalifu zaidi msingi wa imani yao, na kukataa kila kitu, hata kilikubaliwa sana na Wakristo wa kidunia, kile kisichokuwa na msingi kutika kwa Maandiko. Kile ambacho katika saa ya taabu kilionekana giza baadaye kingewekwa wazi. Ijapokuwa taabu ilitokea kwa makosa yao, wangejifunza kwa maarifa ya mibaraka yao kwamba Bwana ni ” Mwenye rehema sana, mwenye huruma”, kwamba njia zote zake ni ” huruma na kweli kwao wanaoshika agano lake na shuhuda wake.” Yakobo 5:11; Zaburi 25:10. ” Hata mangaribi na asubui 2300: halafu Pahali patakatifu patasafishwa.” 143
- Page 99 and 100: Kupinga ya Kiprotestanti Ngurumo ya
- Page 101 and 102: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 13. K
- Page 103 and 104: Kupinga ya Kiprotestanti kidogo. Ka
- Page 105 and 106: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 14. U
- Page 107 and 108: Kupinga ya Kiprotestanti hawa walio
- Page 109 and 110: Kupinga ya Kiprotestanti Mioto ya u
- Page 111 and 112: Kupinga ya Kiprotestanti Uharibifu
- Page 113 and 114: Sababu yake ya Kweli Kupinga ya Kip
- Page 115 and 116: Kupinga ya Kiprotestanti kwa hali y
- Page 117 and 118: Kupinga ya Kiprotestanti Mmojawapo
- Page 119 and 120: Kupinga ya Kiprotestanti kazi wakal
- Page 121 and 122: Kupinga ya Kiprotestanti Kosa la Ha
- Page 123 and 124: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 16. K
- Page 125 and 126: Kupinga ya Kiprotestanti angeweza k
- Page 127 and 128: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 17. A
- Page 129 and 130: Kupinga ya Kiprotestanti watu elfu
- Page 131 and 132: Kupinga ya Kiprotestanti Ilikuwa ja
- Page 133 and 134: Kupinga ya Kiprotestanti kumpokea m
- Page 135 and 136: Kupinga ya Kiprotestanti “Niliona
- Page 137 and 138: Kupinga ya Kiprotestanti milele.”
- Page 139 and 140: Kupinga ya Kiprotestanti 408 k.k -
- Page 141 and 142: Kupinga ya Kiprotestanti tarehe hii
- Page 143 and 144: Kupinga ya Kiprotestanti wakati wa
- Page 145 and 146: Kupinga ya Kiprotestanti kutosha; n
- Page 147 and 148: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 19. S
- Page 149: Kupinga ya Kiprotestanti Zahabu saf
- Page 153 and 154: Kupinga ya Kiprotestanti Miaka mita
- Page 155 and 156: Kupinga ya Kiprotestanti Imani ya n
- Page 157 and 158: Kupinga ya Kiprotestanti Watu wakas
- Page 159 and 160: Kupinga ya Kiprotestanti Lakini wal
- Page 161 and 162: Kupinga ya Kiprotestanti Giza ya ki
- Page 163 and 164: Kupinga ya Kiprotestanti Mwanamke (
- Page 165 and 166: Kupinga ya Kiprotestanti kupendeza
- Page 167 and 168: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 22. U
- Page 169 and 170: Kupinga ya Kiprotestanti Katika mat
- Page 171 and 172: Kupinga ya Kiprotestanti 408 k.k -
- Page 173 and 174: Kupinga ya Kiprotestanti wazi, akap
- Page 175 and 176: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 23. S
- Page 177 and 178: Kupinga ya Kiprotestanti ya mbingun
- Page 179 and 180: Kupinga ya Kiprotestanti mufano kuz
- Page 181 and 182: Kupinga ya Kiprotestanti kufanyika
- Page 183 and 184: “Tazama, Bwana Arusi Anakuja” K
- Page 185 and 186: Kupinga ya Kiprotestanti Wayuda was
- Page 187 and 188: Kupinga ya Kiprotestanti Kwa kujita
- Page 189 and 190: Kupinga ya Kiprotestanti linainua k
- Page 191 and 192: Kupinga ya Kiprotestanti “Mnyama
- Page 193 and 194: Kupinga ya Kiprotestanti kutolewa k
- Page 195 and 196: Kupinga ya Kiprotestanti Tangu siku
- Page 197 and 198: Kupinga ya Kiprotestanti Sura 27. M
- Page 199 and 200: Kupinga ya Kiprotestanti Sheria ya
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
za Danieli 8:14, mahali ambamo majuma makumi saba <strong>ya</strong>nakuwa Sehemu moja. Mahubiri <strong>ya</strong><br />
kila mojawapo <strong>ya</strong>lisimamia juu <strong>ya</strong> utimilifu wa sehemu mbalimbali za mda wa unabii ule ule.<br />
Kama wanafunzi wa kwanza, William Miller na washiriki wake hawakufahamu kabisa<br />
ujumbe waliuochukua. Makosa <strong>ya</strong>liyoanzishwa mda mrefu katika kanisa <strong>ya</strong>kazuia maelezo<br />
sahihi <strong>ya</strong> jambo kubwa katika unabii. Kwa hiyo, ijapo walitangaza ujumbe ambao Mungu<br />
aliwatolea, lakini katika kukosa kufahamu maana <strong>ya</strong>ke wakateseka kwa kukata tamaa.<br />
Miller akaingiza maoni <strong>ya</strong> kawaida kwamba dunia ni “mahali patakatifu,” na akaamini<br />
kwamba “kutakasika kwa mahali patakatifu” kulionyesha kutakasika kwa dunia na moto kwa<br />
kuja kwa Bwana. Kwa hiyo, mwisho wa siku 2300, akazani, zilifunua wakati wa kuja kwa<br />
Yesu mara <strong>ya</strong> pili.<br />
Kutakaswa kwa mahali patakatifu ilikuwa kazi <strong>ya</strong> mwisho iliyofanywa na kuhani mkuu<br />
katika utaratibu wa huduma wa mwaka. Ilikuwa ni kufunga kazi <strong>ya</strong> upatanisho--kuondoa ao<br />
kuweka mbali zambi za Israeli. Ilionyesha picha la kufunga kazi <strong>ya</strong> Kuhani Mkuu wetu<br />
mbinguni katika kuondoa ao kufutia mbali zambi za watu wake zilizoandikwa katika vitabu<br />
mbinguni. Kazi hii inaleta uchunguzi, kazi <strong>ya</strong> hukumu, na inatangulia bila kukawia kuja kwa<br />
Kristo katika mawingu <strong>ya</strong> mbingu, kwani atakapokuja kila jambo litakuwa limekwisha<br />
kukatwa. Asema Yesu: “Na mshahara wangu ni pamoja nami, kulipa kila mtu kama ilivyo<br />
kazi <strong>ya</strong>ke.” Ufunuo 22:12. Ni hii kazi <strong>ya</strong> hukumu inayotangazwa na ujumbe wa malaika wa<br />
kwanza wa Ufunuo 14:7. “Ogopeni Mungu, na kumutukuza kwa maana saa <strong>ya</strong> hukumu <strong>ya</strong>ke<br />
imekuja.”<br />
Wale waliotangaza onyo hili walitoa ujumbe wa haki kwa wakati unaofaa. Namna<br />
wanafunzi walikuwa hawakufahamu juu <strong>ya</strong> ufalme wa kusimamishwa kwa mwisho wa<br />
“majuma makumi saba,” vivyo hivyo Waadventisti hawakufahamu habari <strong>ya</strong> jambo<br />
lililopashwa kufanyika kwa mwisho wa “siku 2300.” Katika mambo mawili ha<strong>ya</strong> makosa<br />
inayopendwa na watu wengi ikapofusha akili kwa kutojua ukweli. Wote wawili wakatimiza<br />
mapenzi <strong>ya</strong> Mungu kwa kutoa ujumbe aliotamani utolewe, na wote wawili katika kukosa<br />
kufahamu maana <strong>ya</strong> ujumbe wao wakateseka kwa kukata tamaa.<br />
Lakini Mungu alitimiza kusudi lake katika kuruhusu onyo la hukumu kutolewa kama<br />
ilivyokuwa. Katika maongozi <strong>ya</strong>ke ujumbe ulikuwa kwa ajili <strong>ya</strong> uchunguzi na utakaso wa<br />
kanisa. Je, upendo wao ulikuwa juu <strong>ya</strong> dunia ao juu <strong>ya</strong> Kristo na mbingu? Je walikuwa ta<strong>ya</strong>ri<br />
kuacha tamaa zao mba<strong>ya</strong> za dunia na kukaribisha kuja kwa Bwana wao?<br />
Uchungu vile ungechunguza mioyo <strong>ya</strong> wale waliojidai kupokea onyo. Je, wangetupilia<br />
mbali tumaini lao katika Neno la Mungu walipoitwa kwa kuvumilia makemeo <strong>ya</strong> dunia na<br />
jaribu la kukawia na kukata tamaa? Kwani hawakufahamu mara moja mambo <strong>ya</strong> Mungu, je<br />
wangetupa pembeni kweli iliyo kubaliwa na ushuhuda wazi wa Neno lake? Jaribu hili linge<br />
fundisha hatari <strong>ya</strong> kukubali maelezo <strong>ya</strong> watu baadala <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> Biblia mtafsiri wake<br />
mwenyewe. Watoto wa imani wangeongozwa kujifunza kwa bidii sana Neno, na kuchunguza<br />
142