Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
lilitukuzwa na kuwako kwa uhai kwa yule ambaye alikuwa Mungu mwenyewe katika mwili.<br />
“Mapenzi <strong>ya</strong> mataifa yote” <strong>ya</strong>likuja kwa hekalu lake wakati Mtu wa Nazareti alipofundisha<br />
na kuponyesha katika viwanja takatifu. Lakini Israeli alikataa zawadi <strong>ya</strong> matoleo <strong>ya</strong><br />
mbinguni. Pamoja na Mwalimu mnyenyekevu aliyepita kutoka kwa mlango wake wa zahabu<br />
siku ile, utukufu ukatoka hata milele kwa hekalu. Maneno <strong>ya</strong> Mwokozi <strong>ya</strong>litimia: “Nyumba<br />
yenu imeachwa kwenu tupu”. Matayo 23:38.<br />
Wanafunzi walishangazwa sana kwa utabiri wa Kristo wa maangamizi <strong>ya</strong> hekalu, na<br />
walitamani kufahamu maana <strong>ya</strong> maneno <strong>ya</strong>ke. Herode Mkubwa alitoa kwa ukarimu juu <strong>ya</strong><br />
hekalu hazina za Waroma na Wa<strong>ya</strong>hudi. Vipande vikubwa v<strong>ya</strong> marimari nyeupe, vilipelekwa<br />
kutoka Roma, vikafan<strong>ya</strong> sehemu <strong>ya</strong> ujenzi wake. Kwa mambo ha<strong>ya</strong> wanafunzi waliita<br />
uangalifu wa Bwana wao, kusema: “Tazama mawe na majengo ha<strong>ya</strong>”! Marko 13:1.<br />
Yesu akatoa jibu la wazi na la kushitusha: kweli ninawambia ninyi, Halitabaki jiwe juu <strong>ya</strong><br />
jiwe pasipo kubomolewa”. Matayo 24:2. Bwana aliwaambia wanafunzi kwamba atakuja mara<br />
<strong>ya</strong> pili. Kwa hiyo, alipotaja hukumu juu <strong>ya</strong> Yerusalema, mafikara <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>karejea kwa kurudi,<br />
na wakauliza: “Maneno ha<strong>ya</strong> yote <strong>ya</strong>takuwa wakati gani? na nini alama <strong>ya</strong> kuja kwako, na <strong>ya</strong><br />
mwisho wa dunia”? Matayo 24:3.<br />
Kristo akaonyesha mbele <strong>ya</strong>o ishara <strong>ya</strong> mambo makubwa <strong>ya</strong> kuonekana kabla <strong>ya</strong><br />
kufungwa kwa wakati. Unabii alioutaja ulikuwa na sehemu mbili maana <strong>ya</strong>ke. Wakati<br />
ulipokuwa ukitabiri uharibifu wa Yerusalema, unabii huu ulionyesha pia mfano wa matisho<br />
<strong>ya</strong> siku kubwa <strong>ya</strong> mwisho.<br />
Hukumu zilipashwa kuwekwa juu <strong>ya</strong> Israeli kwa sababu walikataa na wakasulubisha<br />
Masi<strong>ya</strong>. “Basi wakati munapoona chukizo la uharibifu lililosemwa na Danieli nabii,<br />
likisimama kwa pahali patakatifu (yeye anayesoma afahamu), halafu wale walio katika Yudea<br />
wakimbie kwa milima”. Matayo 24:15,16. Tazama vile vile Luka 21:20,21. Wakati kawaida<br />
za kuabudu sanamu za Waroma zitakapo wekwa katika kiwanja kitakatifu inje <strong>ya</strong> kuta za mji,<br />
ndipo wafuasi wa Kristo watapashwa kutafuta usalama katika kukimbia. Wale watakao okoka<br />
hawapashwe kuchelewa. Kwa ajili <strong>ya</strong> zambi zake, hasira ilikwisha kutajwa juu <strong>ya</strong><br />
Yerusalema. Ugumu wa kuto kuamini kwake ulifan<strong>ya</strong> maangamizo <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli. Tazama<br />
Mika 3:9-11.<br />
Wakaaji wa Yerusalema walimshitaki Kristo kwa chanzo cha taabu zote ambazo zilifika<br />
juu <strong>ya</strong>o katika matokeo <strong>ya</strong> zambi zao. Ingawa walimjua yeye kuwa bila kosa, wakatangaza<br />
kifo chake kuwa cha lazima kwa ajili <strong>ya</strong> salama <strong>ya</strong>o kama taifa. Wakapatana katika maamuzi<br />
<strong>ya</strong> kuhani wao mkuu kwamba inafaa mtu mmoja afe kwa ajili <strong>ya</strong> watu wote, wala taifa lote<br />
lisiangamie. Tazama Yoane 11:4753.<br />
Wakati waliua Mwokozi wao kwa sababu alikemea zambi zao, wakajizania wao wenyewe<br />
kama watu waliopendelewa na Mungu na kutumainia Bwana kuwakomboa kwa adui zao!<br />
Uvumilivu wa Mungu. Karibu miaka makumi ine Bwana alikawisha hukumu zake. Kulikuwa<br />
7