12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Zahabu safi <strong>ya</strong> upendo wa wanafunzi kwa ajili <strong>ya</strong> Yesu ilichanganyika na msingi wa tamaa<br />

mba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> choyo. Maono <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>livutwa na kiti cha ufalme, taji, na utukufu. Kiburi chao cha<br />

moyo, kiu cha utukufu wa kidunia, vikawaongoza kupita bila kujali maneno <strong>ya</strong> Mwokozi <strong>ya</strong><br />

kuonyesha asili <strong>ya</strong> kweli <strong>ya</strong> ufalme wake, na kuonyesha zaidi kifo chake. Makosa ha<strong>ya</strong><br />

<strong>ya</strong>liishia kwa jaribio ambalo liliruhusiwa kwa ajili <strong>ya</strong> kusahihishwa kwao. Kwa wanafunzi<br />

ilikuwa ni kutolewa Habari Njema <strong>ya</strong> utukufu <strong>ya</strong> Bwana wao aliyefufuka. Kuwata<strong>ya</strong>risha kwa<br />

kazi hii, maarifa ambayo <strong>ya</strong>lionekana machungu sana <strong>ya</strong>liruhusiwa.<br />

Baada <strong>ya</strong> kufufuka kwake Yesu akajionyeshea kwa wanafunzi wake njiani kwenda<br />

Emausi, na, “akawaelezea maana <strong>ya</strong> maneno yote <strong>ya</strong>liyo andikwa juu <strong>ya</strong>ke.” Ilikuwa kusudi<br />

lake kukaza imani <strong>ya</strong>o juu <strong>ya</strong> “neno la kweli la unabii.” (Luka 24:27; 2 Petro 1:19). Si kwa<br />

ushuhuda wake mwenyewe tu, bali kwa mambo <strong>ya</strong> unabii wa Agano la Kale. Na kama hatua<br />

<strong>ya</strong> kwanza kabisa katika kutoa maarifa ha<strong>ya</strong>, Yesu akaongoza wanafunzi kwa “Musa na<br />

manabii wote” wa Maandiko <strong>ya</strong> Agano la Kale.<br />

Kutoka kwa Kukata Tamaa na Kuelekea Uhakikisho Tumaini<br />

Kwa namna kamilifu zaidi kuliko wakati wote wa mbele wanafunzi walikuwa<br />

“wamemwona, yule ambaye Musa katika sheria, na manabii, waliandika, juu <strong>ya</strong>ke.” Mashaka,<br />

kukata tamaa, <strong>ya</strong>katoa nafasi kwa uhakikisho, kwa imani isiyokuwa na wingu. Walipita katika<br />

jaribio kubwa lisiloawezekana na waliona namna gani neno la Mungu lilipata ushindi kwa<br />

kutimilika. Toka sasa na kuendelea nikitu gani kingeweza kutisha imani <strong>ya</strong>o? Katika huzuni<br />

kali zaidi walipata “faraja yenye nguvu”, tumaini lililokuwa kama “nanga <strong>ya</strong> roho, vyote<br />

viwili kweli na kusimama imara.” Waeb. 6:18, 19.<br />

Asema Bwana: “Watu wangu hawatapatishwa ha<strong>ya</strong> kamwe.” “Kilio kinakawia kwa usiku,<br />

lakini furaha asubui.” Yoeli 2:26; Zaburi 30:5. Kwa siku <strong>ya</strong> kufufuko kwake wanafunzi hawa<br />

wakakutana na Mwokozi, na mioyo <strong>ya</strong>o ikawaka ndani <strong>ya</strong>o walipokuwa wakisikiliza maneno<br />

<strong>ya</strong>ke. Kabla <strong>ya</strong> kupanda kwake, Yesu akawaagiza, “Kwendeni katika duniani pote,<br />

mukahubiri Habari Njema,” akaongeza “Na tazama, mimi ni pamoja nanyi siku zote.” Marko<br />

16:15; Matayo 28:20. Kwa siku <strong>ya</strong> Pentekote Mufariji aliyeahidiwa akashuka, na roho za<br />

waaminifu zikasisimka na kwa kuona kuwapo kwa Bwana wao aliyepanda (mbinguni).<br />

Ujumbe wa Wanafunzi Ulilinganishwa na Ujumbe wa 1844<br />

Maarifa <strong>ya</strong> wanafunzi kwa kuja kwa mara <strong>ya</strong> kwanza kwa Kristo <strong>ya</strong>likuwa na sehemu<br />

<strong>ya</strong>ke katika maarifa <strong>ya</strong> wale waliotangaza kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili. Kama vile wanafunzi<br />

walivyohubiri, “Wakati umetimia, ufalme wa Mungu ni karibu,’‘ vilevile Miller na washiriki<br />

wake walitangaza kwamba mda wa unabii wa mwisho katika Biblia ulikuwa karibu kuisha,<br />

kwamba hukumu ilikuwa karibu, na kwamba ufalme wa milele ulipashwa kuingizwa.<br />

Mahubiri <strong>ya</strong> wanafunzi kwa habari <strong>ya</strong> n<strong>ya</strong>kati <strong>ya</strong>lisimamia juu <strong>ya</strong> majuma makumi saba <strong>ya</strong><br />

Danieli 9. Ujumbe uliotolewa na Miller na washiriki wake ulitangaza mwisho wa siku 2300<br />

141

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!