You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Wakahubiri habari iliyotolewa kwao, ingawa walikosa kufahamu maana <strong>ya</strong>ke. Wakati<br />
matangazo <strong>ya</strong>o msingi wake ulikuwa katika Danieli 9:25, hawakuona katika shairi lililofuata<br />
kwamba Masi<strong>ya</strong> alipashwa “kukatiliwa mbali.” Mioyo <strong>ya</strong>o ilikuwa juu <strong>ya</strong> utukufu wa utawala<br />
wa kidunia; jambo hili likapofusha akili <strong>ya</strong>o.<br />
Kwa wakati kabisa walipotumainia kuona Bwana wao kupanda kwa kiti enzi cha Dawidi,<br />
walimwona akikatwa, kupigwa, kuzihakiwa, na kuhukumiwa juu <strong>ya</strong> msalaba. Kukata tamaa<br />
kwa namna gani na uchungu <strong>ya</strong>liumiza mioyo <strong>ya</strong> wale wanafunzi!<br />
Kristo alikuja kwa wakati halisi uliotabiriwa. Maandiko <strong>ya</strong>litimia katika habari yote. Neno<br />
na Roho wa Mungu ilishuhudia agizo la Mwana wake. Lakini mafikara <strong>ya</strong> wanafunzi<br />
<strong>ya</strong>lifunikwa na mashaka. Kama Yesu alikuwa Masi<strong>ya</strong> wa kweli wangetumbukia katika<br />
sikitiko na uchungu? Hili ndilo swali lililotesa roho zao wakati wa saa za kukata tamaa za<br />
Sabato ile iliyokuwa katikati <strong>ya</strong> kifo chake nakufufuka kwake.<br />
Lakini hawakuachwa. “Nikikaa katika giza, Bwana atakuwa nuru kwangu... Atanileta inje<br />
kwa nuru na nitatazama haki <strong>ya</strong>ke.” “Kwa wenye haki nuru inangaa gizani.” “Nitafan<strong>ya</strong> giza<br />
kuwa nuru mbele <strong>ya</strong>o; na pahali pa kupotoka patanyoshwa. Maneno ha<strong>ya</strong> nitawafanyia, wala<br />
sitawaacha.” Mika 7:8, 9; Zaburi 112:4; Isa<strong>ya</strong> 42:16.<br />
Matangazo <strong>ya</strong>liyofanywa na wanafunzi <strong>ya</strong>likuwa halisi “Wakati umetimia, ufalme wa<br />
Mungu ni karibu.” “Kwa mwisho wa wakati” majuma makumi sita na tisa <strong>ya</strong> Danieli 9<br />
ambayo <strong>ya</strong>lipashwa kufikia kwa Masi<strong>ya</strong>, “Mupakaliwa”--Kristo alipokea mafuta <strong>ya</strong> Roho<br />
baada <strong>ya</strong> ubatizo wake kwa Yoane. “Ufalme wa Mungu” haikuwa, kama walivyofundishwa<br />
kuamini, ufalme wa kidunia. Wala ule ujao, ufalme wa milele ambao “na wote wenye<br />
mamlaka watamutumikia na kumutii.” Danieli 7:27.<br />
Neno hili “Ufalme wa Mungu” linatumiwa kutaja mambo yote mawili ufalme wa neema<br />
na ufalme wa utukufu Mtume anasema: “Basi, tukaribie kiti cha neema pasipo woga,” ili<br />
tupate huruma na kuona neema. Waebrania 4:16. Kuwako kwa kiti cha ufalme kunaonyesha<br />
kuwako kwa ufalme. Kristo anatumia neno la “Ufalme wa mbinguni” kutaja kazi <strong>ya</strong> neema<br />
juu <strong>ya</strong> mioyo <strong>ya</strong> watu. Kwa hiyo kiti cha utukufu kinaonyesha ufalme wa utukufu. Matayo<br />
25:31, 32. Ufalme huu ukingali wa wakati ujao. Hautasimamishwa hata wakati wa kuja kwa<br />
Kristo mara <strong>ya</strong> pili.<br />
Wakati Mwokozi alipotoa maisha <strong>ya</strong>ke na akalia kwa sauti kubwa, “imekwisha,” ahadi <strong>ya</strong><br />
wokovu iliyo fanywa kwa mme na mke wenye zambi katika Edeni ikatimilika. Ufalme wa<br />
neema, ambao ulikuwako mbele kwa ahadi <strong>ya</strong> Mungu, ukaimarishwa.<br />
Kwa hiyo kifo cha Kristo jambo ambalo wanafunzi walitazamia kama maangamizi <strong>ya</strong><br />
tumaini lao ilikuwa ni milele kwa kweli. Wakati ilileta uchungu mkali, ilikuwa ushahidi<br />
kwamba imani <strong>ya</strong>o ilikuwa halisi. Jambo lililowatumbukiza katika kukata tamaa likafungua<br />
mlango wa tumaini kwa waaminifu wote wa Mungu katika vizazi vyote.<br />
140