You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Sura 19. Sababu gani Uchungu Mkubwa Ule?<br />
Kazi <strong>ya</strong> Mungu huonyesha mwaka kwa mwaka, mfano wa kutisha kila matengenezo<br />
makubwa ao mwenendo wa dini. Kanuni za matengenezo <strong>ya</strong> Mungu kuhusu watu <strong>ya</strong>nakuwa<br />
mamoja daima. Mabadiliko makubwa <strong>ya</strong> sasa <strong>ya</strong>nakuwa na uhusiano na <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> wakati<br />
uliopita, na maarifa <strong>ya</strong> kanisa katika vizazi v<strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong>nakuwa na mafundisho kwa wakati<br />
wetu.<br />
Mungu kwa Roho Mtakatifu wake kwa upekee huongoza watumishi wake duniani katika<br />
kuepeleka mbele kazi <strong>ya</strong> wokovu. Watu ni vyombo katika mkono wa Mungu. Kwa kila<br />
chombo kulitolewa sehemu <strong>ya</strong> nuru <strong>ya</strong> kutosha kwa kumwezesha kufan<strong>ya</strong> kazi aliyopewa<br />
kufan<strong>ya</strong>. Lakini hakuna mtu kamwe aliyefikia ufahamu kamili wa kusudi la Mungu katika<br />
kazi kwa wakati wake mwenyewe. Watu hawafahamu kabisa katika uchukuzi wake wote<br />
ujumbe ambao wanaoutoa katika jina lake. Hata manabii hawakufahamu kabisa mambo <strong>ya</strong><br />
ufunuo <strong>ya</strong>liyotolewa kwao. Maana <strong>ya</strong> ufunuo ilikuwa <strong>ya</strong> kufunuliwa toka kizazi kwa kizazi.<br />
Petro anasema: “Katika habari za wokovu huu manabii walitafuta na kuchunguza, wao<br />
waliotabiri juu <strong>ya</strong> neema itakayowafikia ninyi; walichunguza nini ao wakati wa namna gani<br />
Roho <strong>ya</strong> Kristo aliyekuwa ndani <strong>ya</strong>o aliwaonyesha wakati aliposhuhudia mbele mateso<br />
<strong>ya</strong>takayompata Kristo, na utukufu utakao <strong>ya</strong>fuata. Wakafunuliwa <strong>ya</strong> kuwa si kwa ajili <strong>ya</strong>o<br />
wenyewe lakini ni kwa ajili yetu waliohudumiwa.” 1 Petro 1:10-12, Ni sisi herufi<br />
tofauti(italics). Fundisho la namna gani kwa watu wa Mungu katika kizazi cha ukristo! Watu<br />
hao “watakatifu wa Mungu” walitafuta na kuchunguza “kwa bidii” kwa ajili <strong>ya</strong> mafunuo<br />
zilizotolewa kwa vizazi ingawa vilikuwa havijazaliwa bado. Kemeo gani kwa ukavu wa<br />
macho wa wapenda dunia ambayo wanatosheka kutangaza kwamba mambo <strong>ya</strong> unabii<br />
ha<strong>ya</strong>wezi kufahamiwa.<br />
Si mara chache mafikara hata <strong>ya</strong> watumishi wa Mungu <strong>ya</strong>nakuwa <strong>ya</strong> kupofushwa sana<br />
kwa manebo <strong>ya</strong> asili na mafundisho <strong>ya</strong> uwongo ambayo wanashika kwa nusu tu mambo<br />
<strong>ya</strong>liyofunuliwa katika Neno la Mungu. Wanafunzi wa Kristo, hata wakati Mwokozi alikuwa<br />
pamoja nao, walikuwa na wazo la kupendwa na watu wote juu <strong>ya</strong> Masi<strong>ya</strong> kama mfalme wa<br />
mda aliyepashwa kuinua Israel; kwa mamlaka <strong>ya</strong> wakati wote. Hawakuweza kufahamu<br />
maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>liyotabiri mateso na mauti <strong>ya</strong>ke.<br />
“Wakati Umetimia”<br />
Kristo aliwatuma na ujumbe: “Wakati umetimia, ufalme wa Mungu ni karibu. Tubuni<br />
mukaamini Habari Njema.” Marko 1:15. Ujumbe ule ulikuwa na msingi katika unabii wa<br />
Danieli 9. ‘’Majuma makumi sita na tisa” <strong>ya</strong>lipashwa kufikia kwa Mfalme na wanafunzi<br />
walitazamia mbele kuimarishwa kwa ufalme wa Masi<strong>ya</strong> kule Yerusalema ili atawale juu <strong>ya</strong><br />
dunia yote nzima.<br />
139