Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
Makanisa <strong>ya</strong> Waprotestanti wakadai kwamba sehemu kubwa <strong>ya</strong> Maandiko matakatifu--<strong>ya</strong>le<br />
<strong>ya</strong>nayotoa nuru kwa Neno la Mungu, sehemu ile inayofaa zaidi kwa wakati wetu, haikuweza<br />
kufahamika. Wachungaji wakasema kwamba Danieli na Ufunuo vilikuwa vitabu v<strong>ya</strong> siri<br />
isiyoweza kufahamika kwa wanadamu.<br />
Lakini Kristo aliongoza wanafunzi wake kwa maneno <strong>ya</strong> nabii Danieli, “Yeye anayesoma<br />
afahamu.” Matayo 24:15. Na kitabu cha Ufunuo kinapaswa kufahamika. “Ufunuo wa Yesu<br />
Kristo aliopewa na Mungu aonyeshe watumishi wake maneno <strong>ya</strong>liyopaswa kuwa upesi... Heri<br />
anayesoma nao wanaosikia maneno <strong>ya</strong> unabii huu, na kushika maneno <strong>ya</strong>liyoandikwa ndani<br />
<strong>ya</strong>ke; kwa maana wakati ni karibu.” Ufunuo 1:1-3, matoleo <strong>ya</strong> herufi za italics.<br />
“Heri anayesoma” kunakuwa na wale hawatasoma; na “nao wanaosikia” hapo kuna<br />
wengine wanaokataa kusikia kitu cho chote juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> unabii; “na kusikia maneno<br />
<strong>ya</strong>liyoandikwa ndani <strong>ya</strong>ke” wengi wanakataa kusikia mafundisho katika Ufunuo; hakuna kati<br />
<strong>ya</strong> hawa anayeweza kudai mibaraka iliyoahidiwa.<br />
Namna gani watu husubutu kusingizia kwamba Ufunuo ni siri inayopita fahamu <strong>ya</strong><br />
wanadamu? Ni siri iliyofunuliwa, kitabu kilichofunuliwa. Ufunuo unaongoza mawazo kwa<br />
Danieli. Wote wawili wanaonyesha mafundisho makubwa juu <strong>ya</strong> mambo makubwa kwa<br />
mwisho wa historia <strong>ya</strong> dunia. Yoane aliona hatari, vita, na kukombolewa kwa mwisho kwa<br />
watu wa Mungu. Aliandika mambo <strong>ya</strong> ujumbe wa mwisho unaopasa kukamilisha mavuno <strong>ya</strong><br />
dunia, au kwa gala la mbinguni au kwa moto wa uharibifu, ili wale wanaogeuka kutoka kwa<br />
maba<strong>ya</strong> hata kwa ukweli waweze kufundishwa juu <strong>ya</strong> hatari na mapigano <strong>ya</strong>nayo kuwa mbele<br />
<strong>ya</strong>o.<br />
Sababu gani, basi, juu <strong>ya</strong> ujinga huu unaoenea sana juu <strong>ya</strong> sehemu kubwa hii <strong>ya</strong> Maandiko<br />
matakatifu? Ni matokeo <strong>ya</strong> juhudi iliyokusudiwa <strong>ya</strong> mfalme wa giza kwa kuficha watu <strong>ya</strong>le<br />
<strong>ya</strong>nayofunua madanganyifu <strong>ya</strong>ke. Kwa sababu hii, Kristo Bwana wa Ufunuo huu, kwa kuona<br />
mbele <strong>ya</strong> wakati vita juu <strong>ya</strong> fundisho la Ufunuo, akatangaza baraka kwa wote watakaoweza<br />
kusoma, kusikia, na kushika unabii.<br />
138