You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />
chache tu mbele <strong>ya</strong> kutimilika kwake akaandika: “Itamalizika kwa tarehe 11 <strong>ya</strong> Agosti, 1840,<br />
wakati mamlaka <strong>ya</strong> Ottoman katika Constantinople kuweza kutazamiwa kuvunjika.”<br />
Maonyo Yalitimilika<br />
Kwa wakati kabisa uliotajwa, Turkey ilikubali ulinzi wa mamlaka za mapatano <strong>ya</strong> Ula<strong>ya</strong><br />
na kwa hivyo ikajitia yenyewe chini <strong>ya</strong> utawala wa mataifa <strong>ya</strong> Kikristo. Jambo kwa halisi<br />
kweli likatimiliza ukashiri. (Tazama Nyongezo.) Watu wengi walisadikishwa na kanuni za<br />
maelezo <strong>ya</strong> unabii <strong>ya</strong>liyokubaliwa na Miller na wafuasi wake. Watu wenye elimu na cheo<br />
wakajiunga pamoja na Miller katika kuhubiri na kutangaza maonyo <strong>ya</strong>ke. Tangu 1840 hata<br />
1844 kazi ikaenea kwa upesi.<br />
William Miller alikuwa na akili za kichwa cha nguvu, na akaongeza kwa ha<strong>ya</strong> hekima <strong>ya</strong><br />
mbinguni kwa kujiunga mwenyewe na Chemchemi <strong>ya</strong> hekima. Aliamuru heshima po pote,<br />
ukamilifu na tabia njema vilitumiwa. Kwa damani unyenyekevu wa Kikristo, alikuwa<br />
muangalifu na mpole kwa wote, ta<strong>ya</strong>ri kusikiliza wengine na kupima mabishano <strong>ya</strong>o.<br />
Alijaribu maelezo yote kwa Neno la Mungu, na mawazo <strong>ya</strong>ke halisi na maarifa <strong>ya</strong> Maandiko<br />
vikamwezesha kukanusha makosa.<br />
Lakini, kama pamoja na Watengenezaji wa kwanza, kweli alizoonyesha hazikukubaliwa<br />
na walimu wengi wa dini. Kwa hivyo hawa hawakuweza kudumisha hali <strong>ya</strong>o kwa Maandiko,<br />
wakarejea kwa mafundisho <strong>ya</strong> watu, ha<strong>ya</strong> kiasili cha Wababa. Lakini Neno la Mungu lilikuwa<br />
ni ushuhuda pekee uliokubaliwa na wahubiri wa kweli wa kuja kwa Yesu. Cheko na zarau<br />
vilitumiwa kwa upande wa adui katika kusingizia wale waliotazamia kwa furaha juu <strong>ya</strong> kurudi<br />
kwa Bwana wao na walikuwa wakijitahidi kuishi maisha takatifu na kuta<strong>ya</strong>risha wengine kwa<br />
kuonekana kwake. Ilifanyika kuonyesha zambi kwa kujifunza mambo <strong>ya</strong> unabii wa kuja kwa<br />
Kristo na mwisho wa dunia. Kwa hivyo kazi <strong>ya</strong> mapadri wa watu wengi ikapunguza imani<br />
katika Neno la Mungu. Mafundisho <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong>kafan<strong>ya</strong> watu kuwa watu kutokuwa Waaminifu,<br />
na wengi wakajiruhusu kwa kutembea kwa tamaa mba<strong>ya</strong>. Halafu watenda maovu<br />
waka<strong>ya</strong>weka yote juu <strong>ya</strong> Waadventisti.<br />
Ingawa Miller akavuta makundi <strong>ya</strong> wasikilizi wenye akili, jina lake lilitajwa kwa shida na<br />
magazeti <strong>ya</strong> dini isipokuwa tu kwa cheko ao mashitaki. Waovu, waliposukumwa na walimu<br />
wa dini, wakakimbilia kwa mabisho <strong>ya</strong> matukano juu <strong>ya</strong>ke na kazi <strong>ya</strong>ke. Mzee huyu mwenye<br />
imvi aliyeacha makao <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kupendeza kwa kusafiri kwa garama <strong>ya</strong>ke mwenyewe kuletea<br />
dunia onyo kubwa la hukumu inayokaribia akasitakiwa kama upumbavu.<br />
Usikivu na Kutokuamini<br />
Usikivu ukaendelea kuongezeka. Kutoka kwa makumi mawili na mamia, makutano<br />
<strong>ya</strong>kaongezeka kwa maelfu mengi. Lakini baada <strong>ya</strong> wakati, upinzani ulionekana juu <strong>ya</strong> hawa<br />
waliogeuka, makanisa <strong>ya</strong>kaanza kuchukua hatua za kutiisha kwa wale waliokubali maoni <strong>ya</strong><br />
Miller. Jambo hili likaita jibu kwa kalamu <strong>ya</strong>ke: “Kama tunakuwa wakosefu ninawaomba<br />
mtuonyeshe kwa namna gani kosa letu linakuwa kutoka katika neno la Mungu; tulichekwa <strong>ya</strong><br />
136